Platform show

Platform show entertainment
contact us on :[email protected] Or [email protected]

📣 BUJA FLEVA 2025 🔥Mwaka 2025 mpaka sasa kumekuwa na ushindani mkubwa sana kwenye game ya muziki wa Buja Fleva 🎶💥Wasanii...
16/10/2025

📣 BUJA FLEVA 2025 🔥

Mwaka 2025 mpaka sasa kumekuwa na ushindani mkubwa sana kwenye game ya muziki wa Buja Fleva 🎶💥
Wasanii wapya na wale wakubwa wote wameendelea kufanya vizuri, kila mmoja akileta ladha yake tofauti kwenye industry 🇧🇮

Leo tunakuwekea orodha ya wasanii wa kiume ambao nyimbo zao zimefanya vizuri zaidi mwaka huu 👇🏽

1️⃣ Kirikou Ak Kili
2️⃣ Double Jay
3️⃣ Sat-B
4️⃣ Drama T
5️⃣ Fernando Ayee
6️⃣ Nani mwingine unamwona anastahili kuwepo hapa? 🤔

💬 Tuambie kwenye comment — ni nani kwako anafaa kabisa kushinda TUZO ya MSANII BORA 2025 🏆?
https://whatsapp.com/channel/0029VbBLSdV6BIEYmfkRw636

16/10/2025

🔥 KAULI NZITO YA Sat-B YAZUA MJADALA MKUBWA! 🔥

“Game yetu imeuwawa na ubinafsi” hayo ndiyo maneno mazito aliyo tamka SAT-B akizungumzia hali ya muziki wa Burundi 🇧🇮

SAT B amesema kuwa muziki wa majirani zetu k**a 🇹🇿 Tanzania, 🇷🇼 Rwanda, 🇨🇩 Congo, 🇺🇬 Uganda na 🇰🇪 Kenya uliwahi kupokelewa kwa moyo umoja nchini Burundi lakini kizazi kipya cha sasa hakijarudisha sapoti ile ile ambayo Burundi iliwahi kutoa hapo mwanzo.

❓Je, ni kweli kauli hii ya SAT-B ina ukweli ndani yake?
Kwa sababu ukiangalia leo, Rwanda na Tanzania wanatoa sapoti kubwa kwa wasanii wa Burundi, na burudani inazidi kukua kwa pamoja.

Wengine wanasema tatizo kubwa liko ndani ya Burundi yenyewe wasanii kutopana sapoti na kukosa connection ya kweli.

🎙️ Swali kwa mashabiki:
Wewe unaonaje? Kauli ya SAT-B ina ukweli au la? 👇

Kirikou A Kili ATOBOA: Bruce Melodie alinishauri niache Rap, nitoke k**a Msanii wa kawaida - Na imekuwa na mafanikio!Mwa...
14/10/2025

Kirikou A Kili ATOBOA: Bruce Melodie alinishauri niache Rap, nitoke k**a Msanii wa kawaida - Na imekuwa na mafanikio!

Mwanamuziki kutoka Burundi Kirikou Akili amefichua kuwa Msanii Nyota kutoka Rwanda, Bruce Melodie, ndiye aliyemshauri kwa dhati kuachana na mtindo wa rap na kujielekeza zaidi kwenye muziki wa kawaida (kuimba). Ushauri huo, kwa mujibu wa Kirikou, umeanza kuzaa matunda.

Katika mahojiano, Kirikou alisema: “Kuwa Msanii mwenye kipaji ambaye hapendwi na wasichana au Wanawake ni vigumu sana kufanikiwa au kupiga hatua. Wao ndio mashabiki wakubwa. Na ukiendelea tu na mdundo wa rap pekee, hawatakupenda sana.”

Alifafanua kwamba hajawahi kuachana kabisa na rap, lakini sasa atakuwa akiifanya kwa nadra sana.

Kirikou pia alieleza kuwa ushauri huo aliupokea moja kwa moja kutoka kwa Bruce Melodie na anamshukuru sana kwa hilo:

“Ninamshukuru sana Bruce Melodie, ndiye Msanii ninayempenda sana. Ikiwezekana, nitakwenda Rwanda tushirikiane tena kufanya wimbo mwingine.”

Kirikou alisisitiza kwamba kubadilika kwake kimuziki kumemfungulia milango mipya na kumletea mafanikio, jambo linaloashiria kuwa ushauri wa Bruce haukuwa wa bure.

Je, unakubaliana na Kirikou kwamba rap pekee haitoshi kumtoa Msanii?

Toa maoni yako

14/10/2025

Sat-B na Mista Champagne wazichapa hadharani! Chanzo cha bifu chafichuliwa yote yaanza baada ya Sat-B kurejea kutoka Tanzania 🇹🇿 , alipo fika airport watangazaji walipo mpokeya alitokeya mtangazaji mmoja na kuweza kumuuliza swali kuhusu Mr Champagne. adaiwa kuwa kiini cha yote!”
https://www.youtube.com/watch?v=_22iKytOWP8

Sat-B na Mista Champagne waendelea kuwa gumzo mtandaoni baada ya majibizano mengine kuhusu wimbo “HERITAGE”Mtandao wa ki...
14/10/2025

Sat-B na Mista Champagne waendelea kuwa gumzo mtandaoni baada ya majibizano mengine kuhusu wimbo “HERITAGE”

Mtandao wa kijamii wa Facebook umezidi kusisimka baada ya Msanii nguli wa muziki wa Burundi, Sat-B, kumtupia maneno yenye utata Msanii mwenzake Mista Champagne akimtaka awe makini na kazi zake.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Sat-B aliandika:

“Ndugu Mr. Mukobelwa, ukitowa ngoma bovu umetumiya brand yangu basi juwa kwamba utapata fimbo. Unatakiwa utowe wimbo utakao zidi wangu, okey?? Ahaa mashahidi wapo?”

Kauli hiyo imeonekana kuelekezwa moja kwa moja kwa Mista Champagne, ambaye hakusita kujibu mapigo. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mista Champagne aliandika kwa majibu ya moja kwa moja:

“Ndugu yangu Sat-B, mimi nimetumiya pesa nyingi sana kwa ku-shoot hii video yangu ya HERITAGE… gharama yake ni kubwa zaidi kuliko video zako zote toka uanze muziki.”

Aidha, Mista Champagne aliendelea kutangaza kwamba:

“Clips Video ya HERITAGE itakuwa YouTube kesho.”

Mashabiki wa muziki wa Burundi wamegawanyika mitandaoni, wengine wakimsapoti Sat-B kwa kauli yake ya kuhimiza ubora, huku wengine wakimpongeza Mista Champagne kwa kuonyesha kujiamini na kujituma katika kazi yake mpya.

Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kuona video ya HERITAGE ikitoka kesho k**a ilivyotangazwa, ili kujionea ni nani kati ya wawili hawa atakayeibuka na kazi bora zaidi.

Toa maoni yako

12/10/2025

Je, muziki wa Rwanda 🇷🇼 umeshuka au Wasanii wa Burundi 🇧🇮 wanajivunia mafanikio yao
Sat-B / Kirikou A Kili / Mista Champagne
hakikisha una angaliya video nzima ipo tayari youtube
https://youtu.be/Yt2mXUfo6gs?si=IQBzUB4XWyLPG9y_

Media Kubwa Tanzania Yatupiwa Lawama baada ya Kumpaka Matope Msanii mkubwa Kutoka Burundi, Sat-BMedia moja kubwa kutoka ...
12/10/2025

Media Kubwa Tanzania Yatupiwa Lawama baada ya Kumpaka Matope Msanii mkubwa Kutoka Burundi, Sat-B

Media moja kubwa kutoka Tanzania imejikuta ikikosolewa vikali na mashabiki wa muziki kutoka Burundi 🇧🇮 baada ya kuposti video ya SAT-B, aliyekuwa nchini humo kwa ajili ya promosheni ya kazi zake mpya.

Katika post hiyo, media hiyo iliweka caption yenye utata ikisema:

“Mbwa wa Chief Godlove amfukuza k**a mwizi, msanii kutoka Burundi aliyeingia nyumbani kwake kwa promo.”

Kauli hiyo imezua mjadala mkubwa mtandaoni, ambapo mashabiki wengi kutoka Burundi wameonyesha kutoridhishwa na namna media hiyo ilivyomdhalilisha msanii wao. Wengi wamesema tukio hilo halikuwahi kutokea kabisa, hivyo kuhoji lengo la media hiyo kuandika maneno hayo.

Baadhi ya wachambuzi wa burudani wameuliza k**a kitendo hicho kilikuwa mkakati wa kuvutia watazamaji zaidi (clickbait) au ni jaribio la kuichafua tasnia ya muziki wa Burundi, 🇧🇮 ambayo kwa sasa inaendelea kupaa kwa kasi katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Ni wazi kwamba SAT-B amekuwa mmoja wa wasanii wanaoibeba bendera ya Burundi kimataifa, na mara nyingi hujulikana kwa kujenga mahusiano mazuri na wasanii kutoka mataifa jirani, ikiwemo Tanzania.

Mashabiki sasa wanataka media hiyo iweke wazi ukweli wa tukio hilo, huku wengine wakisisitiza umuhimu wa vyombo vya habari kutumia maneno yenye heshima na kuzingatia ukweli wanaporipoti habari za wasanii.

leo ni sikukuu ya kuzaliwa kwa  moja katika watu ni vitegemezi sana kwenye industry ya muziki wa burundiHeri ya kuzaliwa...
10/10/2025

leo ni sikukuu ya kuzaliwa kwa moja katika watu ni vitegemezi sana kwenye industry ya muziki wa burundi

Heri ya kuzaliwa Jintre jintrino !
Mashabiki wanakudai kazi mpya
Happy birthday 🎂

"Ko umengo batanguye kugira ubwoba 😂😂 babwire ati “It’s just the beginning, the game isn’t over yet” Ivyo Bivuzwe n'umur...
09/10/2025

"Ko umengo batanguye kugira ubwoba 😂😂 babwire ati “It’s just the beginning, the game isn’t over yet” Ivyo Bivuzwe n'umuririrmvyi B-face On The'flo

Inyuma Yogutangazako Ibintu Bitaraja Kumurongo Bivanye N'ubuhinga Ubu Naho Yagaragaje Ko Nawe Vuba Agiye Kurekura Indirimbo Nshasha.

"Analyse: Umwe Mubafana Yabajije Bati Why Muriyimisi Abaririmvyi Benshi baza muri Système Yiterabwoba?"

Ivyo Nimurizimwe muma Comments"(Intererano) zimaze Imisi zigaragara Muvyo Tuyagira Abakunzi buruganda Rw'umuziki w'Uburundi.

Akabazo Mbega Nawe woba witeze Umuririmvyi B-face..?

D-ONE Offical Umwe Mubaririmvyi Bakunzwe Mugihugu C'uburundi Ekah nomubindi bihugu bigiye BitandukanyeUyumusi Yabashije ...
07/10/2025

D-ONE Offical Umwe Mubaririmvyi Bakunzwe Mugihugu C'uburundi Ekah nomubindi bihugu bigiye Bitandukanye

Uyumusi Yabashije Gutanga Ubutumwa Kubaririmvyi Bagenzi Biwe , kuko Muvyo Yagaragaje, Yagaragaje ko Nawe Vuba Cane Agiye Gusohora Indirimbo Nziza Nkuko Yabigaragaje Kunyandiko Yatanze Muvyo Yanditse kurubuga Rwiwe Rwa Facebook.

Mubigaragara Nkuko yavyivugiye:

D-one_official:

"Babwire basohore baheze kuko uwo tuzohurira munzira ni F-na -YE😁🔥

N.B:Uwiyemeje kwiruka nanje aravyemerewe gusa Abe agifise Pumzi✍️

Don’t Forget the way of🚶🚶niyo challenge🫡🔥"

Ivyo Biri muvyagerageje kweraka Abantu bagiye Batandukanye ko vuba Cane Agiye Gusubira kwandika Indirimbo nkora mutima kandi Indirimbo Igiye Kuryohera Isi Yose muri Rusangi.

Munywanyi wa Plateform show Nawe woba uri mubantu biteze Ikintu Gishasha kivuye kwa D-one?

Address

Bujumbura
Bujumbura
6314

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Platform show posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Platform show:

Share