Platform show

Platform show entertainment
contact us on :[email protected] Or [email protected]

Leo mitandao ya kijamii imetikisika baada ya mke wa msanii Ibraah TZ 🇹🇿 kuposti picha mpya inayomuonesha akiwa mjamzito,...
26/07/2025

Leo mitandao ya kijamii imetikisika baada ya mke wa msanii Ibraah TZ 🇹🇿 kuposti picha mpya inayomuonesha akiwa mjamzito, 🤰 jambo ambalo limewafanya mashabiki na wafuasi wengi kushangaa na kujiuliza maswali mengi.

Hii inakuja siku 4 tuu baada ya harusi yao kufanyika rasmi, ambapo alimuoa mchumba wake kwa ndoa halali na ya hadhara.

Licha ya harusi hiyo kufanyika kwa heshima na hadhi, mke wake hakuwa bado ameweka wazi ujauzito huo mpaka leo alipovunja ukimya kwa picha 6 zilizobeba ujumbe mzito.

Katika picha izo, mke wa Ibraah anaonekana mtulivu, mchangamfu, na akibeba ujauzito wa wazi hali iliyowafanya watu wengi kusema:
‼️“Kumbe tayari ni mjamzito, na ndo maana harusi ikafanyika haraka?”

Wengine wamepongeza uamuzi wa wenzi hao kuweka maisha yao binafsi kuwa ya faragha hadi walipokuwa tayari kushiriki na umma.

Mpaka sasa, Ibraah TZ hajatoa kauli yoyote rasmi kuhusu ujauzito huo, lakini mashabiki wengi wanaamini kwamba huenda wameamua kuanza maisha ya ndoa kwa hatua kubwa na ya kujiamini.

Hongera kwa familia mpya ya Ibraah TZ na sasa, kinachosubiriwa ni mtoto!

Kaneza Kellia Lagloire officially crowned Miss Burundi 2025 (number  #31 in the competition ).
25/07/2025

Kaneza Kellia Lagloire officially crowned Miss Burundi 2025 (number #31 in the competition ).

25/07/2025

Please subscribe to this Channel and leave your comment down there.For more info contact us on : gmail : [email protected]: +25761056996faceb...

UMURIRIMVYI Sat-B mukababaro kenshi kumbuga ziwe Yavuze Ati "Muze ndababwire ivyambayeho. Je narakoze accident ntatahuye...
25/07/2025

UMURIRIMVYI Sat-B mukababaro kenshi kumbuga ziwe Yavuze Ati "Muze ndababwire ivyambayeho. Je narakoze accident ntatahuye uko vyagenze kugira ibe. Ntwaye imodoka muri garage, mechaniciens bakuramwo ibi bintu mubona sinzi niba ari amaguru y’inkoko canke amaguru y’inkware afatanye sinzi ntumbaze. Ababizi ngira bombwire ivyariivyo.
Nari nanse kubishira hanze ariko nahiswemwo kubikora kugira n’uwbikoze amenye yuko twabimenye kandi ivyo yashaka bitabaye kubwubushake bw’IMANA. Kimwe co ntaco muzungira lriho ikimbona, Ubu rozi n’ibindi munkorerabizokwama bibagarukako.👏🏾✊🏾✊🏾😒😤"

Mukunzi Wa Platform Show Nabakunzi ba Industry muvuga kw'iki..?
Tanga Iciyumviro Cawe

Msanii maarufu wa Bongo Fleva,  , sasa ni rasmi ameoa! Taarifa zinaeleza kuwa Ibraah na mke wake wamefunga ndoa rasmi, n...
19/07/2025

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, , sasa ni rasmi ameoa! Taarifa zinaeleza kuwa Ibraah na mke wake wamefunga ndoa rasmi, na siku ya kuvaa mikoti ilifanyika leo k**a inavyoonekana kwenye picha zilizosambaa, wawili hao walivalia mavazi meupe yaliyopendeza na kutoa taswira ya upendo na furaha.

Hata hivyo, mashabiki wengi wamebaki na maswali kuhusu harusi rasmi, kwani inaelezwa kuwa haikuwepo sherehe kubwa wala wageni kutoka Tanzania waliohudhuria, jambo lililoacha sintofahamu mitandaoni. Wengine wanahoji ikiwa kuna mpango wa kumsafirisha mume kimyakimya au kuna sababu nyingine iliyosababisha harusi kutofanyika kwa mbwembwe k**a ilivyotarajiwa.

Pamoja na sintofahamu hiyo, mashabiki wameendelea kuwatakia kila la heri kwenye hatua hii mpya ya maisha yao, wakisubiri kusikia zaidi kutoka kwa msanii huyo au timu yake kuhusu mpango wa harusi kubwa au sherehe za baadaye.

16/07/2025

USIKU WA Nelly Nat Burundi N’UKWIGA KUNYONGA HASHE ABAGORE BAZOZA KWIGA 🔥🔥🔥🔥

NELLY NAT avugiye kumugaragaro urugendo rwiwe rwimyaka 10, Urusaku, Ibitutsi,Gufungwa/Abanya Buyenzi, Ubenyi bwokunyonga 🙈🙈
link : https://youtu.be/NIMZiQ7pXRg?si=Kd-YX5FU88PUcdmg

USIKU WA NellyNat Burundi : SHEREHE YA MIAKA 10 YA KAZI (UMBEA), KUJIFUNZA NA KUSHEREHEKEA WANAWAKE WA BURUNDI.Katika ul...
15/07/2025

USIKU WA NellyNat Burundi : SHEREHE YA MIAKA 10 YA KAZI (UMBEA), KUJIFUNZA NA KUSHEREHEKEA WANAWAKE WA BURUNDI.

Katika ulimwengu wa burudani ya Burundi, jina la Nelly Nat sio ligeni na linaendelea kuacha alama kubwa katika burudani ya umbea na Udaku Nchini humo. Mwaka huu, Mwanamitandao huyo maarufu wa burudani atatimiza miaka 10 tangu aanze safari yake ya udaku, kuchambana na Watu, na kwa kuadhimisha hilo, atafanya sherehe maalum aliyoipa jina "USIKU WA SOMO NA KUTUNZA".

Tukio hilo kubwa litafanyika siku ya Alhamisi, tarehe 24 Julai 2025, katika ukumbi wa kifahari Le Croco Brasseur, ulioko katikati ya Jiji la Bujumbura (eneo ambalo zamani lilijulikana k**a Havana, Boulevard de l’Uprona). Katika mkutano wake na Waandishi wa habari leo hii, Julai15, 2025, Nelly Nat alisema:

“Nimekaa kwenye tasnia ya burudani kwa miaka 10. Ni jambo la kujivunia, kwa sababu wengi tuliokuwa nao mwanzoni wameondoka au wamekata tamaa. Nilipitia changamoto nyingi, nilitukanwa, nikatakafungwa, lakini niliendelea kwa sababu ya Watu wanaothamini kazi zangu.”

Akaongeza:

“Sherehe hii ni fursa ya kushukuru, kushirikiana na pia kuwahamasisha Vijana kutumia mitandao kwa njia sahihi. Mitandao ina nguvu kubwa, inaweza kujenga au kubomoa.”

Zaidi ya burudani, USIKU WA NellyNat utakuwa pia jukwaa la elimu kwa Wanawake na Wasichana wa Burundi.

“Ninawaalika Wanawake wa kila rika. Tutazungumzia maadili ya kifamilia, nafasi ya Mwanamke katika ndoa, na namna ya kushughulika na Waume zao kwa hekima. Jamii yetu inahitaji ujenzi wa familia zenye misingi imara,” alisema Nelly.

Kiingilio na Vinginevyo

- Kiingilio: 100,000 Fbu (kikiwa na chakula na kinywaji - Pilao)

- Muda wa kuanza: Saa 11 jioni (17h00)
- Mahali: Le Croco Brasseur, katikati ya Bujumbura

Kwa Mashabiki wa burudani, wadau wa kijamii na Wanaharakati wa Wanawake, USIKU WA NellyNat si tukio la kukosa. Ni usiku wa kumbukumbu, kujifunza na kusherehekea mafanikio ya Mwanamke aliyebeba mzigo wa tasnia na bado kusimama imara kwa miaka 10. Hongera sana Dada yangu

Na hatimaye rasmi ni Bibi na Bwana Valentin! 💍❤️ Safari ya upendo wao imefikia hatua ya kuvutia zaidi ndoa takatifu. Hon...
15/07/2025

Na hatimaye rasmi ni Bibi na Bwana Valentin! 💍❤️ Safari ya upendo wao imefikia hatua ya kuvutia zaidi ndoa takatifu. Hongereni & Valentin kwa kuandika ukurasa mpya wa maisha yenu kwa furaha, upendo na baraka tele. 🕊️✨

15/07/2025

Please subscribe to this Channel and leave your comment down there.For more info contact us on : gmail : [email protected]: +25761056996faceb...

15/07/2025

Please subscribe to this Channel and leave your comment down there.For more info contact us on : gmail : [email protected]: +25761056996faceb...

14/07/2025

Please subscribe to this Channel and leave your comment down there.For more info contact us on : gmail : [email protected]: +25761056996faceb...

Address

Bujumbura

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Platform show posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Platform show:

Share