26/09/2025
📢 Rasmi: Mamlaka ya Palestina, chini ya Rais Mahmoud Abbas, imewasilisha ombi la kujiunga kikamilifu na BRICS — muungano wa mataifa yanayoibuka kiuchumi k**a Brazil, Urusi, India, China, na Afrika Kusini.
🗣️ Palestina inasema imechoka kuwa “mwangalizi” tu, na sasa inataka sauti kamili katika masuala ya kiuchumi na kisiasa ya Global South.
📊 BRICS limepanuka hivi karibuni, likiwakaribisha Iran, Ethiopia, UAE, na Indonesia na sasa linawakilisha zaidi ya nusu ya watu duniani.
🔎 Je, Palestina itakubaliwa au itazuiwa tena kwa sababu za kisiasa?