03/08/2026
Iran imeripotiwa kuwateketeza kwa kunyonga wanaume wawili waliotuhumiwa kufanya ujasusi kwa Mossad na kusambaza viwianishi na taarifa za maeneo ya kijeshi na kiusalama kwa maafisa wa Israel.
Kwa mujibu wa taarifa za mahak**a ya Iran, watuhumiwa hao walihukumiwa kwa ushirikiano wa kijasusi, na hukumu zao ziliidhinishwa na Mahak**a Kuu kabla ya kutekelezwa.
Taarifa za Reuters zinaongeza kuwa watuhumiwa walidaiwa kuwa sehemu ya mtandao wa ujasusi uliopokea mafunzo nje ya nchi na kupanga mashambulizi ndani ya Iran.