19/10/2021
Babu Johnson : WIMBO WANGU "BACHWA LÙNGÉ" [BANAKUYA TENA] HAHUMLENGI MTU. ATAKAYEGUSWA YANI IMEMUHINGIA SAWASAWA
***********************************
K**a kweli utakuwa na kumbukumbu nzuri, utafahamu kuwa Babu Johnson, ni msanii anayefanya kazi kubwa licha ya ukimya anahokuwa nao kwa wakati fulani.
Ni msanii pekee ambaye hata anaweza timiza mwaka mzima bila kutowa track mpya, ila jina lake linabaki pale pale, na wimbo unaweza ukawa hahusikiki sana mitaani ila akihimba kwenye show utafikiri kapanga mashabiki huyu jama, maana wanahimba wimbo wote mwanzo mwisho.
Swala hilo limempelekea kuwa maharufu sana, si kwamba anafanya mihujiza, ila siri kubwa kwake ni ubunifu aliho naho na hasa kwa swala la kutowakosea ndugu zake wabembe kwa kuhimba lugha yao ya asili, na kuhitendea haki ipasavyo.
Bila shaka utajihuliza, kafanya nini hadi azungumziwe hivi, sasa hivi ana Ngoma mpya ambayo inakwenda kwa jina la , ikimahanisha .
Ujumbe uliyopo kwenye Wimbo huu, nazani k**a kweli wewe ni mzalendo utampa sheria ya kile alichokihimba.
Sasa, endapo hujabahatika kuhusikiliza, bonyeza kwenye link hapo chini👇👇👇 ili upate yale mambo ya kikubwa, Pia usisahahu ku Suscribe, comment na ku share kwa marafiki zako ili kumpa sapoti msanii huyu.
https://youtu.be/FGc00yz8zFg
Unafikiri akishiriki kwenye awards ya Baraka Flever mwaka huu, atahibuka kuwa mshindi kwa upande wa hip hop ?
Toa mahoni yako, na Usikose kupitia Channel YouTube yake.