28/02/2026
za Kimataifa, , ,
Baada ya taarifa kuenea kuhusu operesheni kubwa za kijeshi katika eneo la Mashariki ya Kati, Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran, pamoja na Masoud Pezeshkian, Rais wa nchi hiyo,taarifa za uhakika ni kwamba wapo salama na wenye afya njema, hii ni kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ripoti ya ABC News imeeleza