03/11/2025
ÉTUDE BIBLIQUE
8e CEPAC SALEM-AMANI du 27/10 au 2/11/2025
Thème: *TABIA AMBAZO ZINAWEZA KUHARIBU WITO NA HUDUMA YAKO*
by pasteur ARON
Waefeso 4:1
Wimbo ulio bora 2:15
Tabia inapobadilika, ni lazima pia maisha ibadilike
Wokovu wa mtu huonekaniya kwa tabia zake.
Mungu hatumiki na watu ambao tabia zao hazimupendezi yeye
Huduma ya mtu inategemeya Na tabia zake
_TABIA ZIWEZAZO KUHARIBU HUDUMA_
*1. KUJIDANGANYA WITO wagalatia 6:3*
*2. KUKATAA KUONGEZA MAARIFA BAADA YA KUITWA NA MUNGU* waefeso 4:1
Kadiri uko najifunza ndipo ujinga Na upumbafu unapunguka
*Ili uongeze maarifa* :
-usiwe mvivu wa kusoma Na kujifunza mezali 4:13
-angalia mambo ambayo wanafanya Na ujuwe kutenga mazuri Na mabaya mezali 6:6-8
-uombe Mungu akupe roho ya maarifa
*3. KUTAMANI KUWA HURU KIROHO KULIKO KUWA CHINI ya UONGOZI WA MUNGU*
*4. KUKOSA FURAHA UNAPO MTUMIKIA MUNGU ALIYE kUITA*
zaburi 100:1-2, wafilipi 4:4
*Yanayomaliza furaha* :👇
-kutokulinda moyo wako wakati unatendewa mabaya
-kutokulinda moyo wako wakati unaposemewa uongo
-kushindwa kulinda moyo wako wakati unaonewa bila sababu
-kushindwa kulinda moyo wakati unatukanwa waefeso 4:29
-kushindwa kulinda moyo wakati unawekewa vikwazo njiani isaya 54
-kushindwa kulinda moyo wakati unasikia habari mbaya
*Utajuwaje wito wako?*
*Zamiri iliyo Safi inaongeya warumi 8:16
*Kwa njia ya unabii matendo 18:9 1Timotheo 4:14
*Kwa njia ya ndoto ao maono Luka 1:26-35 waamuzi 6:24
*Kwa kusikia sauti ya Mungu waebrania 4:7
*Kwa kusikiliza ushuhuda Yako kwa watu matayo 16:13-18
*Angalia matunda ya kazi yako ya kiroho Na ya kimwili
*Kwa njia ya maombi ta kumuita Mungu akuonyeshe Na kukujulisha yale usiyoyajuwa yeremia 33:3
*5. KUSHINDWA KUTEMBEYA NA MUNGU WAKATI UNAITWA KUMTUMIKIA*
Mwanzo 5:21
Ili utembeye Na Mungu:
-ni lazima umujuwe Mungu kwanza 1Timotheo 6:21 1samweli 3:6-7
-ni lazima ujifunze kuboresha uhusiano wako Na Mungu yohana 15:4-6
-ni lazima ujifunze kila Siku neno la Mungu Yoshwa 1:8
-ni lazima ujifunze kuomba ki