Pax news Suivez l'actualité sportive avec Pax News✌️

24/05/2026
14/08/2025

Muhtasari

1. Kijana kuhusu Doha na Washington

Muungano Pamoja kwa Amani Ume lalamika kuhusu ku simama kwa mchakato wa amani na ku omba pande zote zinazo zozana ku tekeleza makubaliano yao ili ku punguza mateso ya wakaaji wa mashariki mwa nchi.

2. Karibu wiki chache kabla ya ku anza kwa mwaka wa shule wa 2025-2026, iliyo pangwa ku anza tarehe 1 Septemba, hali ina endelea kuwa ya utulivu kwenye masoko na mbele ya maduka ya vitabu mjini Bukavu.

Wazaaji, wanao kabiliana na matatizo ya kiuchumi, wana endelea taratibu na maandalizi, wakiwa na wasiwasi juu ya ku anza kwa mwaka wa masomo wakati huu mgumu.

3. Kesi ya Constant Mutamba – Mwendesha mashtaka ame omba miaka 10 ya kazi ngumu kwa waziri wa zamani wa haki kwa wizi wa fedha za ku jenga gereza Kisangani, pamoja na ku mu zuwiya haki ya ku piga kura na ku gombeya nafasi za uongozi.

Msani toka Bukavu MD BOY OCKSY ame   sema kwamba ata paka rangi chuo kizima cha UOB BukavuJe ana uwezo huo ? Richard rud...
28/07/2025

Msani toka Bukavu MD BOY OCKSY ame sema kwamba ata paka rangi chuo kizima cha UOB Bukavu
Je ana uwezo huo ?
Richard rudahindwa actus
Radio Svein 89.3Mhz

Roony Bardghji mérite-t-il d'hériter le numéro laissé par Lamine Yamal  ? # 19REBECCAKME F.C.B FC Barcelona
27/07/2025

Roony Bardghji mérite-t-il d'hériter le numéro laissé par Lamine Yamal ? # 19
REBECCAKME F.C.B
FC Barcelona

22/07/2025

Radio Svein 89.3Mhz
Linafoot RDC

21/07/2025

Mukhtasari wa habari

Maoni yana endelea ku tolewa kisha ku tiwa saini tamko la msingi kati ya Serikali ya Kongo na kundi la AFC/M23, kwa ajili ya ku unga mkono njia ya ku elekea mkataba wa amani.

Katika jarida hilo, uta wa sikia muungano wa kisiasa Lamuka pamoja na Oswald Rubasha, mwanaharakati wa kijamii kutoka katika mji wa Bukavu.

Habari nyingine zina husu tukio la ku tisha la usalama mdogo mjini Bukavu, ambapo kijana mmoja ame ji nyonga katika kata Panzi, na mwili wa kijana mwingine ume opolewa katika maji ya Ziwa Kivu, siku ya Jumatatu tarehe 21 Julai 2025.
Na katika ukurasa wa michezo, tutafunga jarida hilo kwa habari za ligi ya kitaifa ya mpira wa miguu (LINAFOOT).

Radio Svein 89.3Mhz

Pax one ✌
10/07/2025

Pax one ✌

09/07/2025

Kesi ya Constant Mutamba

Waziri wa zamani wa haki, Constant Mutamba, ali fanya muonekano wake wa kwanza mbele ya Mahakama ya Rufaa (Cour de cassation) Jumatano hii tarehe 9 Julai 2025.

Hatua hii ya kisheria ili kuwa iki subiriwa kwa hamu.

On doit en parler  !!! La ligue des nations de l'EUFA, avec un match qui mettait en face les grands favoris pour le ball...
06/06/2025

On doit en parler !!!

La ligue des nations de l'EUFA, avec un match qui mettait en face les grands favoris pour le ballon d'or 2025.

D'un côté O. Dembélé avec la France, de l' autre Lamine Yamal avec la Roja.

Une victoire 5-4 pour l'Espagne qui file en finale.

Si Dembélé, meilleur jouer de la ligue des champions UEFA 2024-2025 n'a pas brouillé ce soir avec les bleus, Yamal lui a profité pour exploser encore une fois son talent.

Pourtant, souvent mesurer à plusieurs joueurs français qui étaient en face de lui ce soir, le gamin du Barça n'a pas tremblé pour tutoyer ces challengers en inscrivant un doublé et permettre à sa nation de filé en finale pour affronter le Portugal de Christiano Ronaldo à Munich ( Allianz Arena) ce dimanche 08 juin à partir de 19h TU.

Parmi ces challengers face à lui, Kilyan Mpappé, star du Real de Madrid qui, bien évidemment a marqué pour les bleus sur penalty en réponse de celui de Yamal.

Il était également face à Désirer Doue qui a deux ans de plus que lui, et qui n'as pas fait grand chose dans cette rencontre avant d'être remplacer par Barcola.
Dembélé son challenger direct au ballon d'or, a fait une saison extraordinaire avec le PSG, mais n'est pas parvenu à le prouver dans une confrontation directe face à l' Espagnole de 17 ans.

Cette rencontre a permis au gamin du Barça de défier tous les défis auxquels il a été confrontés depuis le début de cette saison.

En brillant devant Mpappé, Dembélé, Doue, Barcola ou encore Michael Élysé, Lamine Yamal est- il déjà le meilleur jouer du monde ?

Mérite-t-il le ballon d'or cette saison ?

L'image actuelle du nouveau spotify camp NouFC Barcelona
31/05/2025

L'image actuelle du nouveau spotify camp Nou
FC Barcelona

Adresse

Bukavu

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Pax news publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Partager