Classic Media Ente10nment

Classic Media Ente10nment Maison de production Audiovisuelle et l'impression Général

Rwanda na Congo wamesaini mkataba wa amani kwa upatanishi wa Trump hapo jana December 4, 2025, Mkataba huo wa amani umes...
06/12/2025

Rwanda na Congo wamesaini mkataba wa amani kwa upatanishi wa Trump hapo jana December 4, 2025, Mkataba huo wa amani umesainiwa baada ya mafanikio ya Doha process na Washington Peace deal process ambao mchakato wake ulisainiwa kwa mara ya kwanza tarehe 27 Juni 2025 jijini Washington DC na mawaziri wa mambo ya nje wa nchi hizo tatu.

Mkataba huu ni maboresho (ratified) ya ule mkataba wa Washington Peace deal process na maazimio ya Doha process.

Mkataba huu, unafahamika k**a "2025 Democratic Republic of the Congo–Rwanda peace agreement (Au “Washington Accord of peace and prosperity”).

Wadau wakuu wa kikanda walioalikwa kushiriki k**a “guarantors" ni Kenya na Burundi huku Tanzania imeachwa nje.

Tanzania ndio key master wa siasa za maziwa makuu kwa miaka 40 sasa, ila kinachoonekana sasa nafasi hiyo imechukuliwa na Kenya.

Kwa sasa eneo la Afrika Mashariki, Marekani kaamua kuipa nafasi ya "Geopolitical Credibility" Kenya kuwa ndio mshirika wao mkuu wa kimkakati katika military, economic na diplomacy kiasi cha kuifanya Kenya kuwa Guarantor mkuu wa kusimamia mchakato mzima wa amani ya Kongo, isitoshe Donald Trump kamualika Ruto mwaka 2028 kuwa mgeni kwenye Mashindano ya dunia ya Olimpiki yatakayo fanyika Las Angelas.

Huku Burundi waalikwa Kuwa k**a mshirika wa usalama upande wa DRC,

Kwa mantiki hii kwasasa Marekani inaichukulia Kenya k**a “anchor state” ya eneo hili kuliko nchi zote za maziwa makuu.

Imeatolewa na Goatdirector Filmmaker Ismail

Classic Media Ente10nment

I’m Goatdirector Filmmaker IsmailThis is THE GUILD....THE GUILD — BRAND THINKING“The Power to Propel”When we set out to ...
13/10/2025

I’m Goatdirector Filmmaker Ismail
This is THE GUILD....

THE GUILD — BRAND THINKING

“The Power to Propel”

When we set out to define The Guild, we wanted to capture more than just what the company does. We wanted to express why it exists — and what makes it the kind of force businesses can depend on when the load gets heavy, literally and figuratively.

---

1. The Foundation — Strength Forged by Tradition

Every successful logistics brand needs a strong backbone, but in the world of heavy haulage, strength isn’t optional — it’s everything.
For The Guild, that strength is both physical and symbolic.

At its core lies an appreciation for endurance — the kind of strength that built empires, moved civilizations, and still moves industries today. That’s why our emblem is the Bull: an ancient, universal symbol of power, stamina, and relentless forward drive.

The bull doesn’t pause. It doesn’t hesitate. It represents the determination to deliver — no matter the terrain, no matter the weight.

Even the name The Guild is intentional. Historically, a guild was a collective of masters — craftsmen bound by shared standards of excellence. That same spirit defines this brand: a trusted network of logistics experts whose precision and reliability are their signature. We don’t just move freight; we uphold a legacy of skill and discipline.

---

2. The Trajectory — Powering the Future, Responsibly

While our foundation honors tradition, The Guild is not a company that looks backward.
The real story is about how we carry that legacy into the future.

The modern logistics world is messy — crowded routes, unpredictable delays, mounting pressure for sustainability. The Guild is the clear, steady force that cuts through that noise.

The bull’s forward stance captures that motion — strong, deliberate, and evolving. It’s not just strength for strength’s sake; it’s strength in service of progress.

Behind that symbolism lies real innovation: advanced telematics, optimized route design, and data-driven efficiency. We’re constantly evolving to make sure our operations aren’t just powerful — they’re intelligent, sustainable, and safe.

We’re building a logistics model that’s as forward-thinking as the clients we serve.

---

3. The Promise — The Strength to Deliver Tomorrow

For our clients — the builders, innovators, and global drivers of commerce — partnering with The Guild is not just about moving cargo. It’s about aligning with a force that embodies:

1. Power – The muscle and expertise to move what others can’t.
2. Vigilance – A gold standard of precision and protection for your assets.
3. Progress – Traditional mastery, adapted for a digital, dynamic world.

Choosing The Guild means choosing a partner who doesn’t just meet expectations but moves them forward.
Because in this business, it’s not just about moving goods — it’s about having the power to propel the future.

14/09/2025

Auchu on Yangu Day

“Miaka 10 iliyopita ulikataa kuchukua pesa kutoka kwangu kwa ajili ya collabo, ulijitolea kuifanya bure.” – Diamond Plat...
24/06/2025

“Miaka 10 iliyopita ulikataa kuchukua pesa kutoka kwangu kwa ajili ya collabo, ulijitolea kuifanya bure.” – Diamond Platnumz

“Nilipokuwa nikijaribu kupata nafasi huko Nigeria miaka 10 iliyopita, ulitoa beti (verse) ambayo ilibadilisha kabisa maisha yangu ya muziki. Ulilipia nauli yako mwenyewe, ukaja Tanzania tukarekodi. Tulipouliza kuhusu malipo, ukasema hakuna shida – ni sawa tu. Kila wakati kwako imekuwa ni kuhusu kukuza wengine. Unapenda kuwaona wengine wakikua, na ndiyo maana umekuwa mkubwa zaidi – 001 wa Afrika. Wanasema hakuna mtu mzuri, lakini wewe ni mzuri ndugu yangu. Hakuna anayeweza kujifanya kuwa mzuri kwa miaka 10. Mungu aibariki familia yako.” – Amesema Diamond Platnumz

Omo, si leo tu bwana – miaka 10 iliyopita? Dah! Kumbe 001 amekuwa akiinua wengine toka zamani. Ni miaka 10 na bado anaendelea kufanya hivyo.

Funzo: Davido anastahili kila kitu kizuri anachopata.

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Iran imejibu mashabulizi ya ufyatuaji vifaa vyao vya Nyuklia, huku akiliita s...
23/06/2025

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Iran imejibu mashabulizi ya ufyatuaji vifaa vyao vya Nyuklia, huku akiliita shambulizi hilo kuwa dhaifu dhidi yao.

Trump kupitia mtandao wake wa "X" ameeleza kuwa shambulio hilo walilitarajia na wamelikabili kwa ufanisi mkubwa na kueleza kuwa makombora 14 yalirushwa na Iran dhidi yao na walifanikiwa kuyazuia na kusema hakuna mtu aliye athirika na shambulizi hilo na Marekani ipo katika mwelekeo sahihi.

"Iran imejibu rasmi Ufyatuaji wetu wa Vifaa vyao vya Nyuklia kwa jibu dhaifu sana, ambalo tulitarajia, na tumekabiliana kwa ufanisi sana. Kumekuwa na makombora 14 yaliyorushwa-13 yaliangushwa, na 1 "iliwekwa huru," kwa sababu ilikuwa inaelekea katika mwelekeo usio na tishio.

Nimefurahiya kuripoti kwamba HAKUNA Waamerika waliodhurika, na hakuna uharibifu wowote uliofanyika. Muhimu zaidi, wameiondoa yote kwenye "mfumo" wao, na kwa matumaini, hakutakuwa na CHUKI zaidi. Ninataka kuishukuru Iran kwa kutupa taarifa ya mapema, ambayo iliwezesha hakuna maisha ya watu kupotea, na hakuna mtu kujeruhiwa.

Pengine Iran sasa inaweza kuendelea na Amani na Maelewano katika Eneo hili, na kwa shauku nitahimiza Israel kufanya vivyo hivyo. Asante kwa umakini wako kwa jambo hili"Alisema Trump.

TESSA GEORGESûrement le personnage le plus détesté du film.Agaçante. Froide. Parfois même cruelle sans le vouloir.Elle n...
16/06/2025

TESSA GEORGE

Sûrement le personnage le plus détesté du film.
Agaçante. Froide. Parfois même cruelle sans le vouloir.
Elle nous rappelle cet agent administratif insensible à nos urgences.
Ce médecin rigide qui attend le paiement avant de toucher à notre mère en détresse.
Ce genre de personne qui applique les règles sans jamais entendre la détresse.

Tessa George n’a rien fait de mal.
Et pourtant, elle a tout fait .

Mais la vraie leçon, elle est ailleurs.
Tessa nous apprend une vérité inconfortable :
Peu importe la sincérité de ton histoire, la noblesse de tes intentions, ou la clarté de tes explications ,
il y aura toujours des gens comme elle.
Des gens qui ne t’écouteront pas.
Qui ne te croiront pas.
Qui ne te soutiendront pas.

Et ce n’est pas grave.
Parce qu’on ne peut pas plaire à tout le monde.
Et surtout, on ne doit pas vivre pour être compris par tout le monde.
Goatdirector Filmmaker Ismail

UTALIPIA 165,000/=  KUPIGA PICHA NA DIAMOND PLATNUMZ LONDONUnaambiwa Tiketi Za Kusalimiana Na Kupiga Picha Na SIMBA 🦁  J...
14/06/2025

UTALIPIA 165,000/= KUPIGA PICHA NA DIAMOND PLATNUMZ LONDON

Unaambiwa Tiketi Za Kusalimiana Na Kupiga Picha Na SIMBA 🦁 Jijini London Ni Kiasi Cha £55 Ambazo Ni Takribani Tsh 165,000/=.

Tiketi Hii Inampa Nafasi Ya Kipekee Shabiki Kukutana Na (Meet & Greet) Kusalimiana Na Kupigana Nae Picha K**a Kumbukumbu. Na Tukio Hili Linatajwa Kufanyika Leo Jijini London.

Ukiachilia Mbali Hivo Tiketi Pia Za Onesho Hilo Kubwa Lililofanyika Ukumbi Wa Royal Albert Hall Zilikuwa Zinanzia Tsh 90,000/= Na Kuendelea . Hivyo Hii Inaonesha Thamani Na Mafanikio Makubwa Ya Star Huyu Wa Muziki Duniani. ( Swipe)

Safari ya kompyuta zote za Mac ambazo zinatumia chip/processor ya Intel imefika mwisho; na mwisho wake ni mwaka huu. Mfu...
12/06/2025

Safari ya kompyuta zote za Mac ambazo zinatumia chip/processor ya Intel imefika mwisho; na mwisho wake ni mwaka huu.

Mfumo wa macOS 26 Tahoe ambao umetambulishwa siku ya jana, utakuwa ni mfumo wa mwisho kukubali kompyuta ambazo zinatumia chip ya Intel. Ina maana kuwa, kuanzia 2026 Apple haitakuwa inatoa updates katika kompyuta hizo.

Mwaka huu Mac hizi zimepona na utakuwa mwaka wake wa mwisho:
💻 16-inch MacBook Pro ya mwaka 2019
💻 Intel 13-inch MacBook Pro ya mwaka 2020,
🖥️iMac 2020,
🖥️ na Mac Pro 2019

K**a una mpango wa kununua Mac ni muhimu kuepuka Macs hizi ili kuepuka kulazimika kubadili Mac baada ya miaka michache.

K**a unauza Mac, ni muda wa kuanza kufikiria Mac za Apple Silicon ambazo zinatumia chip za Apple badala ya chip za Intel.

_____________
#
Goatdirector Filmmaker Ismail
Classic Media Ente10nment

💔💔 I know Tems will be somewhere now wondering why Classic Media Ente10nment did not post about her on her birthday. She...
11/06/2025

💔💔 I know Tems will be somewhere now wondering why Classic Media Ente10nment did not post about her on her birthday. She is probably sad and thinks we forgot about her.

But the truth is, throughout the entire day today, I’ve been trying to picture the African music industry without Tems, and it just didn’t make sense. Tems is unarguably the biggest female artist to ever be born in Nigeria.

She came into the game with just talent and changed everything.

She didn’t need a big record label to sign her and invest billions in her music before she could be loved.

She didn’t need to show her body, even though she has very good raw materials behind her for us to watch her videos.

She came with just hard work and talent and changed everything for the Nigerian music industry. She was producing her own music in her room for the love of it and it made her who she is today!

She became the first Nigerian female artist to win two Grammy Awards in the 21st century.

She will be the first Nigerian to perform at the Club World Cup halftime show.

Rihanna loves her.

Beyoncé loves her.

Wizkid loves her.

And Music Base Africa, as the most Afrocentric African blog on Facebook, and all its admins love Tems.

She is a role model and an example for our young girls to follow!

Today, she turned 30 years old!

If you are a fan of her work and a true African, gather here and wish her a happy birthday!❤️

Happy Birthday, Temilade! 🎉🎉

Top 10 Investments To Become Rich 🤑💸• Index funds (set and forget)• Rental properties (cash flow + appreciation)• Your o...
10/06/2025

Top 10 Investments To Become Rich 🤑💸

• Index funds (set and forget)
• Rental properties (cash flow + appreciation)
• Your own business (scalability)
• REITs (real estate without the hassle)
• Dividend stocks (passive income)
• High-yield savings (liquidity + security)
• Private equity (long-term growth)
• Yourself (skills, network, knowledge)
• Side hustles (extra income + tax benefits)
• Peer-to-peer lending (alternative income)

You need to Start early & stay consistent!

Mwanamitandao maarufu anayeshikilia rekodi ya kuwa na wafuasi wengi TikTok, Khabi Lame amek**atwa nchini Marekani 🇺🇸 na ...
08/06/2025

Mwanamitandao maarufu anayeshikilia rekodi ya kuwa na wafuasi wengi TikTok, Khabi Lame amek**atwa nchini Marekani 🇺🇸 na baadae kufukuzwa nchini…

Raia huyu wa Italy 🇮🇹 mwenye asili ya Senegal 🇸🇳 amek**atwa na maafisa wa uhamiaji nchini Marekani 🇺🇸 kwa kosa la kuzidisha muda wa kukaa nchini humo (overstay)…

Khabi Lame, miaka 25, mwenye followers Milioni 162 Tiktok, aliteuliwa mwezi February 2025 kuwa Balozi wa UNICEF… Alikuwa nchini Marekani 🇺🇸 tangu mwezi April…

01/06/2025

Adresse

Bukavu

Heures d'ouverture

Lundi 09:00 - 17:00
Mardi 09:00 - 17:00
Mercredi 09:00 - 17:00
Jeudi 09:00 - 17:00
Vendredi 09:00 - 17:00
Samedi 09:00 - 17:00
Dimanche 09:00 - 17:00

Téléphone

+243970074377

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Classic Media Ente10nment publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L'entreprise

Envoyer un message à Classic Media Ente10nment:

Partager