Lemera News Tunapatikana DRCongo, Kivu-kusini, Uvira/Lemera. Taarifa za habari zenye ukweli na uhakika, tembelea Lemera News

https://youtube.com/channel/UCXaLExJsr5w02xuOUJjovTA Lemera News, tupo kwaajili ya kukuletea habari za dunia popote ulipo kwa muda muafaka.

DR CONGO Bertrand Bisimwa, ahimiza heshima kwa mashujaa wote wa harakati za ukombozi waliotoweka kwenye uso wa dunia, bi...
26/02/2026

DR CONGO

Bertrand Bisimwa, ahimiza heshima kwa mashujaa wote wa harakati za ukombozi waliotoweka kwenye uso wa dunia, bila kutaja majina ya mashujaa hao.

DR CONGO Mkuu wa majeshi ya kundi la magaidi wa AFC-M23, Sultan Makenga, anaripotiwa kunusurika kifo baada ya kujeruhiwa...
26/02/2026

DR CONGO

Mkuu wa majeshi ya kundi la magaidi wa AFC-M23, Sultan Makenga, anaripotiwa kunusurika kifo baada ya kujeruhiwa vikali katika shambulio la ndege isiyo na rubani lililotekelezwa na vijana Wazalendo katika halmashauri ya Rubaya tarafani Masisi jimboni Kivu-kaskazini.
Makenga amejeruhiwa huku maafisa wengine wengi wa vikosi vya AFC-M23 wakiwa wamepoteza maisha katika tukio hilo ambalo waasisi hao mpaka sasa hawajatangaza wazi matokeo.
Mpaka sasa, serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo pia haijazungumza chochote kuhusiana na taarifa hizo.

DR CONGO Inasemekana kwamba, msemaji wa kijeshi wa AFC-M23, W***y Ngoma, amefia tarafani Masisi karibu na halmashauri ya...
25/02/2026

DR CONGO

Inasemekana kwamba, msemaji wa kijeshi wa AFC-M23, W***y Ngoma, amefia tarafani Masisi karibu na halmashauri ya Rubaya, kwa mujibu wa ripoti ya kundi hilo la magaidi.
Lakini taarifa kutoka vyanzo vyetu, zinaeleza kwamba Gaidi huyo alikuwa amepoteza maisha tangu muda mrefu katika shambulio la ndege isiyo na rubani, alipokuwa tarafani Uvira kwa mara ya mwisho, yeye pamoja na maafisa wengine wengi wa ngazi za juu wa kundi hilo wakiwemo wengine wa jeshi la Rwanda na baadhi ya maafisa wa wizara ya ulinzi ya serikali ya dikteta Paul Kagame.

19/02/2026

Hali sio nzuri sana hapa Lemera.

Magaidi wa kundi la waasi la M23 na jeshi la Rwanda wanaendelea muligana na jeshi la taifa (FARDC) wanaoshirikiana na vijana wazalendo.
Mpaka sasa watu kadhaa wakiwemo raia wa kawaida wasio na hatia, wamesha poteza maisha, katika halmashauri za Lemera na Kigoma katika utawala wa Wafuliiru.

DR CONGO Askari zaidi ya 700 wa nchi ya Afrika kusini wanaohudumu katika vikosi vya Monusco, wanatarajia kuanza kurudi n...
08/02/2026

DR CONGO

Askari zaidi ya 700 wa nchi ya Afrika kusini wanaohudumu katika vikosi vya Monusco, wanatarajia kuanza kurudi nchini kwao ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2026, k**a inavyoeleza barua ya Rais Cyril Ramaphosa iliyotumwa kwa katibu mkuu wa umoja wa matiafa, Antonio Gutteres

DR CONGO “ Ukishuka mtaani na swali la kutaka kujua Joseph Kabila alikuwa nani kabisa kiuhalisia?!Wakongomani wanalo jib...
08/02/2026

DR CONGO

“ Ukishuka mtaani na swali la kutaka kujua Joseph Kabila alikuwa nani kabisa kiuhalisia?!
Wakongomani wanalo jibu kwa swali hilo; wanafahamu ni nani aliyeipenda kweli kweli nchi hii”, Nehemia Mwilanya.

TANGAZIO KWA UMMA Tunataaifu umma kwamba kampuni ya uandishi wa habari ya lemera News kwa sasa haina mfanyakazi yeyote w...
04/02/2026

TANGAZIO KWA UMMA

Tunataaifu umma kwamba kampuni ya uandishi wa habari ya lemera News kwa sasa haina mfanyakazi yeyote wa kuisaidia kuendesha shughuli zake!
Hayo yametokana na wafanyakazi wote kujiuzulu kutokana na hali ya usalama kuendelea kuzorota kwa kiasi kikubwa na kuhofia usalama wa maisha yao kufuatia vitisho walivyokuwa wakipata kutoka kwa wapiganaji wa kundi la magaidi wa AFC-M23 wanaodhaminiwa na serikali ya kidikteta ya Paul Kagame wa Rwanda.

Kutokana na janga hilo, tutaomba radhi kwa wafuasi wetu kwasababu ratiba zetu zitaendeshwa kwa udhaifu mkubwa sana na ikibidi kusitisha huduma zetu kwa muda.

Ahsanteni!

Uongozi wa Kampuni.

Kutokana na wingi wa maswali kutoka kwa wasikilizaji wetu kuhusu kifo chake, Lemera News haina taarifa zozote kutoka kwe...
26/01/2026

Kutokana na wingi wa maswali kutoka kwa wasikilizaji wetu kuhusu kifo chake, Lemera News haina taarifa zozote kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika, zinazothibitisha kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo kwa muda mrefu, Joseph Kabila Kabange licha ya kwamba kwa sasa haijulikani alipo licha ya jitihada zote zinazoendelea kutaka kufahamu alipo kwa wakati huu.

Hujambo msomaji wetu.Unaendeleaje hapo ulipo?
23/01/2026

Hujambo msomaji wetu.

Unaendeleaje hapo ulipo?

09/01/2026

Paul Kagame

⚽ Algeria yaendeleza ubabe wake wa miaka mingi dhidi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.Umeuonaje mchezo ndugu?!
06/01/2026



Algeria yaendeleza ubabe wake wa miaka mingi dhidi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.

Umeuonaje mchezo ndugu?!

⚽ Ikumbukwe kwamba katika historia, DRC haijawahi kuifunga Algeria kwenye mchezo wowote wa mpira wa miguu ikiwemo michez...
31/12/2025


Ikumbukwe kwamba katika historia, DRC haijawahi kuifunga Algeria kwenye mchezo wowote wa mpira wa miguu ikiwemo michezo ya kirafiki.

Adresse

Lemera

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Lemera News publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L'entreprise

Envoyer un message à Lemera News:

Partager

Type