Lemera News Tunapatikana DRCongo, Kivu-kusini, Uvira/Lemera. Taarifa za habari zenye ukweli na uhakika, tembelea Lemera News

https://youtube.com/channel/UCXaLExJsr5w02xuOUJjovTA Lemera News, tupo kwaajili ya kukuletea habari za dunia popote ulipo kwa muda muafaka.

DR CONGOHuku Tshisekedi na Fayulu, na kule ni Kabila na watu wake.Wote ni mbio za kutafuta kutawala.
05/06/2025

DR CONGO

Huku Tshisekedi na Fayulu, na kule ni Kabila na watu wake.
Wote ni mbio za kutafuta kutawala.

DR CONGOKwaajili ya nchi, Martin Fayulu akumbatiana na Felix Tshisekedi kwa mara nyingine tena baada ya muda wa miaka mi...
05/06/2025

DR CONGO

Kwaajili ya nchi, Martin Fayulu akumbatiana na Felix Tshisekedi kwa mara nyingine tena baada ya muda wa miaka mitano.

DR CONGORais Tshisekedi kumpokea Fayulu, Ikulu leo kwaajili ya mazungumzo ya ana kwa ana katika nia ya kuinasua nchi kwe...
05/06/2025

DR CONGO

Rais Tshisekedi kumpokea Fayulu, Ikulu leo kwaajili ya mazungumzo ya ana kwa ana katika nia ya kuinasua nchi kwenye mikono ya adui.

DR CONGOKatumbi kuungana kisiasa na Joseph Kabila huku Fayulu na Tshisekedi nao wakifanya maandalizi yao ya kuungana kwa...
03/06/2025

DR CONGO

Katumbi kuungana kisiasa na Joseph Kabila huku Fayulu na Tshisekedi nao wakifanya maandalizi yao ya kuungana kwaajili ya kuikomboa nchi kwa mujibu wa kambi ya kisiasa ya Martin Fayulu.

Maoni yako ndugu msikilizaji.

DIPLOMASIAJamhuri ya kidemokrasia ya Kongo sasa ni mwanamemba wa baraza la usalama la umoja wa matiafa, baada ya kupigiw...
03/06/2025

DIPLOMASIA

Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo sasa ni mwanamemba wa baraza la usalama la umoja wa matiafa, baada ya kupigiwa kura 183 kwenye jumla ya 193 zilizopigwa.
DRC itahudimu K**a mwanamemba ambaye si wa kudumu, kwa muhula wa mwaka wa 2026-2027.

Msikilizaji, kuna mabadiliko yoyote ya kutegemewa katika hatua hii ya kidiplomasia ya DR Congo ?

DR CONGOWaziri wa sheria Mh Constant Mutamba ameripoti mahakamani leo kujibu kwa mara ya kwanza, tuhuma za ufisadi zinaz...
03/06/2025

DR CONGO

Waziri wa sheria Mh Constant Mutamba ameripoti mahakamani leo kujibu kwa mara ya kwanza, tuhuma za ufisadi zinazomkabili.

DR CONGOAsilimia 80 ya wafanyakazi wa shirika la habari la Lemera News , wajiuzulu nyadhifa zao na kutangaza rasmi kuach...
03/06/2025

DR CONGO

Asilimia 80 ya wafanyakazi wa shirika la habari la Lemera News , wajiuzulu nyadhifa zao na kutangaza rasmi kuacha kufanya kazi na shirika.

DR CONGORwanda Joseph Kabila na wadau wao, baada ya kukwama katika mipango yao, wanafikiria namna nyingine ya kujiinua k...
01/06/2025

DR CONGO

Rwanda Joseph Kabila na wadau wao, baada ya kukwama katika mipango yao, wanafikiria namna nyingine ya kujiinua kiuchumi na kijeshi kwaajili ya kuendeleza shughuli zao za kuivamia Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo na kuiteka nchi kwa umwagaji damu mkubwa wa wananchi ambao hawana hatia.

MUHINDO NZANGI«…Wazalendo walitakiwa kuuvamia mji wa Goma kumuaibisha Joseph Kabila na kumharibia mipango yake.Hakutakiw...
01/06/2025

MUHINDO NZANGI

«…Wazalendo walitakiwa kuuvamia mji wa Goma kumuaibisha Joseph Kabila na kumharibia mipango yake.
Hakutakiwa kupata usingizi katika mji ule…».

VITAL KAMERHE«...Constant Mutamba ataendelea kuwa waziri.Sio kwamba tumemuondolea mamlaka, hapana.Ila pale atakapo hitaj...
01/06/2025

VITAL KAMERHE

«...Constant Mutamba ataendelea kuwa waziri.
Sio kwamba tumemuondolea mamlaka, hapana.
Ila pale atakapo hitajika na vyombo vya sheria, atakuwa anaripoti mbele ya sheria.
Watu wasielewe vibaya kwasababu hii sio hukumu...».

Unaweza jiunge na chaneli ya WhatsApp ya Lemera News kupitia https://whatsapp.com/channel/0029VaFAU7gBPzjYsEAGGj1L kwaajili ya taarifa muhimu za kila siku.

Karibu sana.

DR CONGOBaada ya viongozi wa dini hiyo jana Alhamisi, Joseph Kabila atakutana na vijana wake wanaoongoza ugaidi wa AFC/M...
30/05/2025

DR CONGO

Baada ya viongozi wa dini hiyo jana Alhamisi, Joseph Kabila atakutana na vijana wake wanaoongoza ugaidi wa AFC/M23, mjini Goma, leo Ijumaa Mei 30.

DR CONGOVital Kamerhe amtoa sadaka Constant Mutamba.Maoni yako msikilizaji.
30/05/2025

DR CONGO

Vital Kamerhe amtoa sadaka Constant Mutamba.

Maoni yako msikilizaji.

Adresse

Lemera

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Lemera News publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L'entreprise

Envoyer un message à Lemera News:

Partager

Type