DAKIKA MEDIA Kwa maoni, ushauri na maswali
Call/Wht +243 851 325 852
TikTok, Instagram, YouTube, whatsapp, telegram, twitter: DAKIKA MEDIA
(1)

04/06/2026

DUNIA SEASON 02 (Ep 28)

DUNIA SEASON 02 (Ep 28)
03/06/2026

DUNIA SEASON 02 (Ep 28)

Msanii Zainab Lipangile (Zay 😎 amefariki dunia siku ya leo na atazikwa saa 10:00 jioni Tabata Kinyerezi, kituo cha Msiki...
31/05/2026

Msanii Zainab Lipangile (Zay 😎 amefariki dunia siku ya leo na atazikwa saa 10:00 jioni Tabata Kinyerezi, kituo cha Msikitini ambapo msiba upo.

Zay B alikuwa ni moja ya rapa wa k**e walioacha alama kubwa kwenye historia ya muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania.

Aling’aa sana miaka ya 2000 na kufanya ngoma zilizovuma k**a Niko Gado na Mama Africa.



29/05/2026

Wanawake wengi hupitia hatua hizi kabla ya kubaini kuwa wametumika sana.

26/05/2026

DUNIA SEASON 02 (Ep 27)

Kombe la Dunia la 2026 linaendelea kuleta ubunifu wa kisasa kwenye soka.Mpira utakaotumika kwenye michuano hiyo utakuwa ...
23/05/2026

Kombe la Dunia la 2026 linaendelea kuleta ubunifu wa kisasa kwenye soka.

Mpira utakaotumika kwenye michuano hiyo utakuwa wa kidigitali zaidi, ambapo utahitaji kuchajiwa kabla ya mechi kuanza kutokana na kuwa na mfumo wa sensa ya ndani inayofuatilia kila mguso wake kwa usahihi wa hali ya juu.

Tofauti na Kombe la Dunia la 2022, ambapo sensa hiyo ilikuwa imeunganishwa kwa nyaya ndani ya mpira, kwa 2026 teknolojia hiyo imepachikwa moja kwa moja kwenye paneli moja ya mpira.

Taarifa zinazokusanywa na sensa hiyo zitaunganishwa na kamera 12 maalum zilizowekwa kuzunguka Uwanja, zikiwa zinaweza kufuatilia nafasi ya mpira na Wachezaji mara 50 kwa sekunde.

Data hizo zitatumwa moja kwa moja kwenye mfumo wa VAR kusaidia maamuzi muhimu k**a goli lililovuka mstari pamoja na matukio ya offside.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba sensa hiyo ni nyepesi kiasi kwamba haiathiri mchezo, na betri yake inaweza kudumu hadi saa 6 za mchezo.

Dakika media zaidi ya Habari.

20/05/2026

ZUCHU: MUZIKI UNA NYINYI ASIKWAMBIYE MTU

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Cawinna ametumia ukurasa wake wa instagram kuwa shukuru wote waliompa salamu...
20/05/2026

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Cawinna ametumia ukurasa wake wa instagram kuwa shukuru wote waliompa salamu za pole baada ya kuondokewa na baba yake.

''Alhamdulillah nimefika Salama na taratibu za kumpumzisha mzee zinaendelea …. Asanteni kwa pole zenu

Nb: arsenal bingwa'' Ameandika -Cawinna

19/05/2026

DUNIA SEASON 02 Ep 25

Adresse

Tanganyika
Lubumbashi

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque DAKIKA MEDIA publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L'entreprise

Envoyer un message à DAKIKA MEDIA:

Partager