13/02/2025
MCHEKESHAJI WA UVIRA KITWERA AMEVURUGWA SOMA ALICHO ANDIKA
"Uvira kwa Nini amujuwi samahani yetu sisi? 🚨Munaleta wa Artiste 3 tena wachekeshaji wazuri👌 Ila akuna ata muchekeshaji mmoja wa uvira ambaye atawakaribisha k**a muzalendo wa nyumbani 👈kisha nyuma unasema ooooooh mweye amuendaki mbali ,na wakutufanya Sisi tuende mbali zaidi ni nyinyi Ila uvira tukileta wasanii wa kubwa Sisi munatubaguwa kisha unawaza kesho ni kienda lomba collabo nao nasema Niko wa uvira 👈 wataelewa nini,sibatasema uvira tulikuwa atukuona wa comédiens 😭Kisha kesho goma inaendelea kutushinda aseme Sanaa yao inalipa , Calvin Mulingu wa kivu star njo alitowa fido drc👌kumukutanisha na wa artistes wa kubwa ,mukuwe najuwa kutuprepare sasa tulisha komala ,kicheche Tanzanie 🇹🇿 alifika apa akucheza na mtu juu yenu ,tena munatushusha mbele yake akatuona wa ovyo 😭ba congolais ya uvira 👈 déjà uvira ilisha kuwa ville,apa munapashwa tayarisha bangine ba comédiens ya uvira benye batapokeya benzabo, ata aiko miye Ila kukuwe tu !bauvira nabo njo besoin yang 👏 nama affiche zabo nabo zitoke za bote kwa pamoja njo vile banatoshaka talent za kunyumba 👈
NB: nawakati munawa invite Ku radio ita na bale bakunyumba kisha journaliste ana baambia aba njo nasiye betu banguvu apa🫷pale unatupa valeur,ata na kufanya collabo aita kuwa nguvu ju nabo batajuwa k**a nikifanya nauyu naweza kumubeba shabiki, uvira 👈 tuache bujinga,,
REMARQUE : problème Moya batu ya uvira tunakuwaka nayo ni iyi: unaleta artiste kutoka inje ya inchi ao inje ya uvira 👈 akifika uvira unashindwa kuonganisha mtoto wa nyumbani ju ya buduru Yako, kesho naye akomale ,mukuwe natuacha Ila ujuwe tu k**a ulisha fanya dépensé Yako kwa ule mtu ulileta aita punguka savile wenge mugere na mtoto wa nyumbani naye aende mbele zaidi 👈
Ivi amuko nasikiya haya baraka nayo yende natuzidi Ku comédie?? Leo Jackson wa kizazi kipya anakuwa juu zaidi 👈🤣🤣aiko anajuwa cheza ,apana ni watu kumusukuma mbele tu! Basi k**a munapenda twende nyuma kila Siku akuna shida 👈
K**a nilisema makosa naomba samahani sana"