sanaa bila mpaka

sanaa bila mpaka Informations de contact, plan et itinéraire, formulaire de contact, heures d'ouverture, services, évaluations, photos, vidéos et annonces de sanaa bila mpaka, Société de médias/d’actualités, République démocratique du Congo/Sud Kivu/uvira, Uvira.
(1)

✅ Hapa tunapromote bila upendeleo
✅ Hapa vipaji vya mtaani vinapewa nafasi
✅ Hapa kazi zako zinafika mbali!
👑 Promota wako ni nani?
🎤 NGARAMBi FEI OG – yuko kwa ajili ya kukuinua na kukusukuma mbele!
📲 Follow ukurasa wetu sasa hivi
🎬 Tuma kazi zako dm

😳😳Najiuliza kwani kipi kibaya alichojibu Mbosso mpaka Diamond aongee yote haya ⁉️Mbona Mbosso aliongea kwa busara sana n...
22/08/2025

😳😳Najiuliza kwani kipi kibaya alichojibu Mbosso mpaka Diamond aongee yote haya ⁉️Mbona Mbosso aliongea kwa busara sana na hakua na lengo lakutengeneza mgogoro.Hii inatufanya tuanze kuamini kwamba kuna ukweli Babalevo huwa anatumwa

🚀 LA MONÉTISATION FACEBOOK DÉBARQUE DANS TOUS LES PAYS AFRICAINS !La monétisation sur Facebook devient enfin accessible ...
21/08/2025

🚀 LA MONÉTISATION FACEBOOK DÉBARQUE DANS TOUS LES PAYS AFRICAINS !

La monétisation sur Facebook devient enfin accessible à tous les pays africains !

À partir de septembre, plusieurs mises à jour majeures seront déployées sur les plateformes de Meta : Facebook, WhatsApp et Instagram.

Certains changements sont déjà visibles :

Sur WhatsApp :
- Vous pouvez désormais utiliser votre nom d’utilisateur à la place du numéro de téléphone.
- Il sera possible de vérifier que les comptes Instagram liés à votre WhatsApp vous appartiennent réellement.

Sur Facebook :
- Grande nouvelle pour les créateurs africains ! La monétisation Facebook évolue et sera disponible pour tous dans une dizaine de jours.
- Le tableau de bord du profil professionnel a été amélioré pour plus de clarté et d’options.

Sur Instagram :
- Le format du fil d’actualité change progressivement : fini le carré, place au vertical (ratio 4:5 – 1080 x 1350 pixels).
- Un bouton « Je n’aime pas » fera bientôt son apparition.

Ces changements vont impacter notre visibilité et notre audience, il est donc crucial de rester informé pour adapter vos stratégies.

Et ce n’est pas tout : TikTok lance également de nouvelles mises à jour, preuve que toutes les plateformes évoluent rapidement !

Msanii Vladimir shakis ametoa shukurani kwa management yake na shabiki wake kwa mapokezi mazuri baada ya kuchukua tuzo y...
20/08/2025

Msanii Vladimir shakis ametoa shukurani kwa management yake na shabiki wake kwa mapokezi mazuri baada ya kuchukua tuzo ya chipukizi bora EAST AFRIKA.
ujumbe wake hapa chini 👇

Sijuwi nita anzia wapi kusema Asante kwa heshima nilio pewa Jana baada ya kufika tu kalemie usiku nili itwa maali bila kujuwa kwa nini nime itwa nika ambiwa niende na tuzo (trophé) kwa manager wg ,
Ilikuwa ni bonge la surprise kwangu kukuta watu wa kubwa wenye eshima zao kuji unga naku nikaribisha Kwa Furah kijana wao baada ya kushinda tuzo iyi
Usema kweli nashukuru saana mungu awa bariki kwa kuni eshimisha kiasi kile 🙌🏻🙏

Team yangu, media, Vladfans , ma fans wg wangu woote nashukuru kwa kweli 🙌🏻🙏

19/08/2025

Mwanamuziki Tokea Nchini Tanzania Rayvanny ameweka rekodi mpya baada ya kufikisha wasikilizaji milioni 30.1 kwa mwezi kwenye YouTube Music.

Rekodi hii inachochewa zaidi na wimbo wake “Oh Mama Tetema”, uliowekwa kwenye chaneli kubwa ya muziki duniani, T-Series, yenye zaidi ya subscribers milioni 300. Uwepo wa wimbo huo kwenye jukwaa hilo umechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza idadi ya wasikilizaji wake kimataifa.

Kwa mafanikio haya, Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania na Afrika Mashariki kufikisha monthly audience kubwa ya kiwango hiki kwenye YouTube Music — hatua inayoonesha wazi ukubwa wa ushawishi wake kwenye muziki wa kidigitali.

Rayvanny anaendelea kuthibitisha nafasi yake k**a nembo ya muziki wa Afrika Mashariki, akifungua milango ya kimataifa kwa wasanii wengine wa kizazi kipya.

✍️ usikose kufuatilia sanaa bila mpaka kwaajili ya promosheni mbalimbali

  usikose kusikiliza kipindi sanaa ya nyumbani leo na 16h00 mpaka 17h00 tutakuwa naye  msanii mkubwa kutoka uvira Belami...
18/08/2025

usikose kusikiliza kipindi sanaa ya nyumbani leo na 16h00 mpaka 17h00 tutakuwa naye msanii mkubwa kutoka uvira Belami muka.
Tutaongea naye mengi jioni ya leo, usikose kutufuatilia.

usikose follow sanaa bila mpaka bila mpaka tutakuwa live.

  mpyaka
14/08/2025

mpyaka

14/08/2025

Unaweza kushangaa ila ukweli ni kwamba rapa 50 Cent ni maarufu sana duniani kuliko Jay Z.

Ameuza sana albamu zake kwa mauzo mengi wakati ameziachia kuliko Jay Z.

Jay Z ameshindwa hata kuuza kopi milioni tano punde anapoachia albamu.

50 Cent aliwahi kusema kwamba yeye ni maarufu duniani ila Jay Z anajulikana k**a mume wa Beyonce

Ila ukifikiria ni kweli🤔

Hivi hapa Tanzania hata ukitembelea saluni na sehemu nyingine, fulana na mengineyo, 50 Cent alitumika sana zaidi ya Jay Z.

Watu waliiga sana kuvaa k**a 50 Cent.

Mpaka leo hii wengi wanamjua Cent kuliko haya Jay Z.

Unaweza kuambiwa taja ngoma tatu za Jay Z usizijue ila ukazijua ngoma tatu za 50 Cent.

Unaweza kuulizwa utaje hit song moja ya Jay Z usiijue ila ukiambiwa ya 50 Cent ukaijua.

Tuendelee kupata mastori ya mastaa wa mbele kupitia sanaa bila mpaka kwaajili ya promosheni ya mambo ya sanaa na biashara

NAAM UMOJA CONCERT INAKUJIA TAREHE 24 MWEZI HUU MSANII SHADDY WANNY ANAENDA KUKUPATIA BURUDANI SAFI UNAKOSA JE SASA MWAM...
14/08/2025

NAAM UMOJA CONCERT INAKUJIA TAREHE 24 MWEZI HUU MSANII SHADDY WANNY ANAENDA KUKUPATIA BURUDANI SAFI UNAKOSA JE SASA MWAMBIE RAFIKI YAKO NAE AAMBIE MWENZAKE WASANII WENGI WAZURI WA TAKUWA PALE

USISAHAU KU FOLLOW sanaa bila mpaka kwaajili ya promosheni ya mambo ya sanaa na biashara

Katika tasnia ya muziki wa Uvira, jina la Dennis Classic limekuwa sauti ya matumaini, burudani na kipaji kisicho na kifa...
10/08/2025

Katika tasnia ya muziki wa Uvira, jina la Dennis Classic limekuwa sauti ya matumaini, burudani na kipaji kisicho na kifani.

Lakini hata mashujaa wakubwa hupitia nyakati za majonzi.

Leo, macho yetu yamejaa machozi na mioyo yetu imejaa huzuni tunapopokea taarifa za kuondokewa kwa baba mzazi wa Dennis Classic nguzo, mlezi na dira ya maisha yake.

Kifo ni mlango wa mwisho wa safari ya dunia, lakini pia ni kumbukumbu ya kila lililopandwa kwa upendo.

Tunamtambua baba yake k**a mtu aliyekuwa sehemu ya mafanikio ya Dennis,

kimya kimya nyuma ya pazia, akimlea, akimshauri, na kumpa msingi wa maadili na juhudi anazoonyesha leo.

Kwa niaba ya mashabiki, wanamuziki wenzake, na familia ya sanaa ya Kivu, tunamtumia Dennis Classic pole nyingi na faraja tele.

Dennis, tunakuombea nguvu, uvumilivu na amani katika kipindi hiki kigumu. Sanaa yako ni sauti ya wengi, lakini leo, ruhusu sisi kuwa sauti yako ya faraja.

Tutakuwa nawe. Pole sana Dennis classic officiel
Pumzika kwa amani mzee wetu.

INTERVIEWEXCLUSIVE  DR MALU Afunguka Kuhusu Ngoma ya "BAYEREKE" Ft Mr Gave* 🔥  🗣️ *Mtangazaji: Ivi kuna kazi gani nyingi...
07/08/2025

INTERVIEWEXCLUSIVE DR MALU Afunguka Kuhusu Ngoma ya "BAYEREKE" Ft Mr Gave* 🔥

🗣️ *Mtangazaji: Ivi kuna kazi gani nyingine tutakayoisubiri zaidi ya hii ya Bayereke?*

*Dr Malu*: “Nina ngoma zaidi ya 20 ambazo tayari zipo, nitaziweka moja baada ya nyingine. Hii Bayereke imekaa miaka 3, ilitakiwa aimbe msanii wa South Africa (Mzulu) lakini hakupita vizuri kwenye beat. Mtangazaji Matty Amissi akanishauri nifanye na msanii wa hapa nyumbani ndipo nikampata Mr Gave. Wasanii wengine watatu walijaribu lakini hawakupita k**a yeye.”

*Mtangazaji: Dr Malu ni mtu wa aina gani nje ya muziki?*

Dr Malu*: “Mimi ni mtu simple sana, napenda kuwa nyumbani. Sio mtu wa mazoezi sana japo nalipia gym. Pia ni mtu mpole, k**a mnavyoniona hata kwenye muziki."

Maneno kwa mashabiki?
“Nawapenda sana mashabiki zangu na watu wanaokubali kazi zangu. Waendelee kunisapoti, maana huko mbele kuna burudani kubwa inakuja!”

BAYEREKE bado inatamba, k**a hujaisikiliza... ni wakati wako sasa!



MaMalu SimbarMr GaveMatty amissiKivu fleverRAMA KELLY RKTinaMagamboLady SapnaMAPYA UVIRAasanaa bila mpaka

05/08/2025

MR MUONEKANO UVIRA HAKUNA MSANII ANAYE NIZIDI KWA CHOCHOTE K**A YUPO NAOMBA BATTLE

MSANII Vankson BoyV KUTOKA UVIRA AMBAYE KWASASA MAKAZI YAKE ANAYAFANYIA NCHINI MALAWI AWAJIA JUU WASANII WANAO IMBA NYIM...
01/08/2025

MSANII Vankson BoyV KUTOKA UVIRA AMBAYE KWASASA MAKAZI YAKE ANAYAFANYIA NCHINI MALAWI AWAJIA JUU WASANII WANAO IMBA NYIMBO ZA ASILI KATIKA LUGHA YA KIBEMBE SOMA ALICHOANDIKA 👇

"Wabembe wana zani, kuvaa ma nguo makubwa ( Koti linalo fika magotini, suruali bonge) ndio muonekano wa asili😀😀, awajui k**a wasio sikia lugha, wana wachukulia k**a comedian" 🤣🤣

Tujifunze kuvaa uhusika wa nyimbo tunazo imba. Ni ukweli ila kuna watu wata chukizwa nao."

tuendelee kusubiri ep yake ya nyimbo 4

usisahau ku follow sanaa bila mpaka kwaajili ya promosheni

Adresse

République Démocratique Du Congo/Sud Kivu/uvira
Uvira
20

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque sanaa bila mpaka publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Partager