Kazimia TV

Kazimia TV Kazimia TV ni kituo kinachokuhabarisha habari tofauti za Kazimia kwa upekee na za nchi nzima ya Congo

Waanga wa ugonjwa wa Kipindupindu Kazimia wanufaika kwa msaada Baada ya visa Congo vya Kipindupindu kuongezeka katika mj...
22/04/2025

Waanga wa ugonjwa wa Kipindupindu Kazimia wanufaika kwa msaada

Baada ya visa Congo vya Kipindupindu kuongezeka katika mji wa Kazimia ndani ya sekta ya NGANDJA atimaye shirika la médecin du monde limeweza kuwajia waanga kwa ajili ya msaada.

Kwake kiongozi wa PRECODESA katika mtaa wa afya wa KAZIMIA Bwana SHOMARI IBÙCHWA TRÉSOR amesema kwamba waanga wameweza kunufaika kwa ndoo moja, dumu moja pamoja Na mti mmoja wa sabuni.

" Baada ya visa vya Kipindupindu kuongezeka katika mtaa wa afya wa Kazimia, shirika la médecin du monde limeweza kuwaletea waanga msaada huu wa ndoo, dumu kwa ajili ya kuteka maji Na wamepata Pia Mti mmoja wa sabuni kwa ajili ya kufuwa Na kuoga kwa ajili ya kijikinga Na ujonjwa huo hatari wa Kipindupindu. Japo kuwa visa vimeisha ila hii ni kwa ajili ya kuwapa pole waanga" alieleza.

Mwishowe ameongeza kutoa ushauri ili kupunguza Na kukomesha ugonjwa huo

"Ni kwa masikitiko makubwa Sana kwani kuna baadhi ya watu wengine walikuwa wakishikwa Na ugonjwa huo wanachukuwa mganga nyumbani kwao"

Kazimia : waumini wa kanisa la Roman Catholique wameanza kusherehakea   sikukuu ya PASAKA jumamosi hii japo mahafa yaliy...
20/04/2025

Kazimia : waumini wa kanisa la Roman Catholique wameanza kusherehakea sikukuu ya PASAKA jumamosi hii japo mahafa yaliyotokea kwa baadhi ya waumini wao.

Kwa mujibu wake kiongozi wa kanisa hilo kutoka Uvira bwana Shemashe AUGUSTIN MBEO KIZITO kwenye interview naye mtangazaji wako amesema kuwa ni lazima wao k**a waumini wa kanisa la Roman Catholique kuweza kusherehakea sikukuu hiyo ya pasaka japo ya mahafa yaliyotokea.

"Ni kwa Mara ya pili sasa mimi kuweza kufika katika mji wa Kazimia, Na zamu hii ni kwa ajili ya kuhudhuria Na waumini wenzangu kusherehakea sikukuu hii ya pasaka ambayo ina kumbukumbu kubwa Sana kwetu Na tumeanza rasmi jumamosi hii" alieleza.

Mwishowe kiongozi huyo alitaja kutoa pole nyingi kwa waumini wenzake baada ya mahafa yaliyotokea katika Kijiji cha nguma wakitokea Katika Kijiji cha Kahela.

"Nilipofika nilikuta taharifa mbaya Sana ya waumini wenzetu watatu waliopoteza maisha baada ya boti ya waumini wengi walipokuwa nakuja kuhudhuria sikukuu hii, tunatoa pole Sana kwao Na kwa upendo wake Mungu tunatumaini kukutana nao katika paradiso ya Bwana"

Tufahamishe kuwa ajali hiyo iliweza kutokea tangu Siku ya alhamisi ya tarehe 17/04/2025.

Miraji NURDIN

*NDO BYABO by DOGO WILO* https://youtu.be/4C6mmXUASoE?si=xZEInu45hSeFtKw9Kijana mdogo mwenye kipaji cha kuimba pa Kazimi...
11/04/2025

*NDO BYABO by DOGO WILO*

https://youtu.be/4C6mmXUASoE?si=xZEInu45hSeFtKw9

Kijana mdogo mwenye kipaji cha kuimba pa Kazimia. Baada ya kuchekwa Na watu kuwa hawezi. Amekujia Na Kali hii. Fuatilia.

Usisahau Ku:
- Subscribe
- comment
- Like
- share

*Kazimia TV*

Kiongozi wa Al-Hikma Foundation, Sheikh Nurdeen Kishk, amesema kuwa taasisi hiyo itafungisha ndoa 200 mwaka huu katika j...
18/03/2025

Kiongozi wa Al-Hikma Foundation, Sheikh Nurdeen Kishk, amesema kuwa taasisi hiyo itafungisha ndoa 200 mwaka huu katika juhudi zake za kusaidia vijana kuingia katika ndoa.

Akizungumza katika Mashindano ya 25 ya Qur’an Tukufu yanayofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Sheikh Kishk amesema kati ya ndoa hizo, 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine Burundi.

Ameeleza kuwa Al-Hikma Foundation itagharamia mahari, majoho, vilemba, ukumbi pamoja na chakula kwa wanandoa hao siku ya harusi k**a ambavyo imefanya siku za nyuma.

Mwaka jana, taasisi hiyo ilifanikisha ndoa 100 nchini Tanzania.

'anCompetition

✍️ .lims
📸

*Kazimia : Chuo kikuu cha ufundishaji ISP-BARAKA chaandaa kufungua Milano yake katika mji wa Kazimia ndani ya secta ya n...
18/01/2025

*Kazimia : Chuo kikuu cha ufundishaji ISP-BARAKA chaandaa kufungua Milano yake katika mji wa Kazimia ndani ya secta ya ngandja* .

Kutokana Na ubora wa Elimu ndani ya nchi ya DRC hasa katika mji wa Kazimia ndani ya secta ya Ngandja, Chuo hicho cha ISP-BARAKA kimedai kufungua rasmi Milano yake mwezi huu wa january 2025.

Kwake msimamizi wa Chuo hicho pa Kazimia Directeur MLONGECA ametaja kuomba kwa vijana ambao tayari wamishapata Diplômes Zao waweze kuwai kujiandikisha kwake au kwenye shuleni kwake kwa 10$ pekee ili kuweza kunufaika Na Elimu bora.

Pia kiongozi huyo ameomba kwa wazazi waweze kutuma watoto wao kwenye Chuo hicho kwani hada yake ni nafuu.

Tukumbushe kuwa ISP-BARAKA ni Chuo cha pili sasa kufika katika mji wa Kazimia baada ya ISDR iliyofika tangu 2019.

Miraji NURDIN

21/11/2024

Hamjambo wanamemba wa Kazimia TV. Tupo kimya Sana kutokana Na mtandao kusumbua Sana. Hivo baki unafahamu kuwa film Yako ya TATIZO NI BABA EP 09 itakuwa hewani ifikapo tarehe 24/11/2024 Na Final itakuwa tarehe 01/12/2024.

Usikose kumalizia film Yako pendwa

MICHEZO: ATIMAYE TAREHE YA MATCH YA FC KAZIMIA VS FC NGANDJA IMEJULIKANA.Baada ya match hiyo kali iliyokuwa inasubiriwa ...
29/10/2024

MICHEZO: ATIMAYE TAREHE YA MATCH YA FC KAZIMIA VS FC NGANDJA IMEJULIKANA.

Baada ya match hiyo kali iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa Na mashabiki wa team hizo mbili pamoja Na wapendelevu wa mpira wa miguu Kazimia kushindwa kuchezeka Siku ya jumapili ya tarehe 27 octobre 2024 kutokana Na mvua kali iliyonyesha Siku hiyo, atimaye tarehe itakayochezwa match hiyo imewekwa wazi

Michuano inayoendelea katika mji wa Kazimia kwa jina la UMOJA WETU CUP wanaojizamini wenyewe huku wakiwa kwenye hatua ya Robo finali ndiko kumetokea tatizo k**a hilo.

Baada ya viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu Kazimia GROUFKA kukaa chini Na viongozi wa team hizo mbili, atimaye muafaka umechukuliwa match iweze kufanyika Na kuchezeka Siku ya Alhamisi tarehe 31 Octobre 2024 Na saa tisa Na nusu.

Shirikisho la mpira wa miguu Kazimia GROUFKA kupitia kibarua walichoandikia viongozi wa team hizo mbili, limetoa msisitizo Na kuomba kwa team hizo kuheshimu mahamuzi hayo kwani haitoweza kubadilishwa tena.

Kazimia TV

Kazimia : TUSAFISHE KAZIMIA wimbo mpya Na VIDEO imetolea haraka.Vijana wenye vipaji vyao kwa kuimba wametoa video ya wim...
29/10/2024

Kazimia : TUSAFISHE KAZIMIA wimbo mpya Na VIDEO imetolea haraka.

Vijana wenye vipaji vyao kwa kuimba wametoa video ya wimbo wao mpya unaokwenda kwa jina la TUSAFISHE KAZIMIA Usikose kutazama kwenye Channel yetu ya Kazimia TV

https://youtu.be/A3slbigKdpw?si=aB9x459jjINfKOH0

*TATIZO NI BABA EP 08* FILM YAKO PENDWA BADO INAENDELEA. NINI ALIKIFANYA IDAYA BAADA YA KUKUTA NYUMBA YAKE IMEUZWA, VIPI...
27/10/2024

*TATIZO NI BABA EP 08*

FILM YAKO PENDWA BADO INAENDELEA. NINI ALIKIFANYA IDAYA BAADA YA KUKUTA NYUMBA YAKE IMEUZWA, VIPI ALIKO SALIMA, VIPI KWENYE ALIKIMBILIA IDI.

https://youtu.be/vwU0tj8QRT8?si=cm2Pa9MDkEd4TNY4

MSAADA WAKO NI MUHIMU SANA KWETU JAPO SUBSCRIBE.

*Kazimia TV* T

21/10/2024
TATIZO NI BABA EP 06 ipo tayari kwenye Channel yetu ya Kazimia TV uko YouTube.Kipi kilitokea baada ya kijana IDI kuweza ...
05/10/2024

TATIZO NI BABA EP 06 ipo tayari kwenye Channel yetu ya Kazimia TV uko YouTube.
Kipi kilitokea baada ya kijana IDI kuweza kufumaniwa, bado mambo ni magumu.
Fata hiyo link upate kutazama.

Adresse

Baraka
Democratic Republic

Téléphone

+243826746555

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Kazimia TV publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter L'entreprise

Envoyer un message à Kazimia TV:

Partager