John Njenga

John Njenga I like jokes so much. I also like to entertainment people. I like dancing, etc

09/03/2024

Njeraini ciitu

26/02/2024
29/10/2023

FAKERS (FAKE A*S)

EPISODE TWO (2))

ILE barabara ilikuwa private road.So ispokua ile Noah hakukuwa na gari ingine iliyokuwa ikipita.Hivyo basi ilimbidi Mike arudi nyuma ili kujua rada.Alipokuwa anakaribia yule madam naye alishuka mbio kwa gari na kumkuta yule mjamaa aliyekuwa amelala pale mbele.Mike alipofika aliona yule mjamaa alikuwa mchafu mchafu ivi.Wakati madam alimguza yule jamaa aliinuka na kuketi kwa lami.

JAMAA:Wee mathe kwani ni kuona huoni 🥲?!
MADAM:Am so sorry!Aki sikuwa nimekuona 🙆🏽‍♀️!
JAMAA:Sasa unathania kizungu yako mingi itaokoa maisha yangu?!(akikunja sura)Aaah 😭...mbavu zangu!
MADAM:Pole pole pole 🥺! Panda basi twende hosi...
JAMAA:Ati hosii?!We nipee ngiri kumi ama nikushtaki!
MADAM:Kama umeumia vibaya si ni poa nikukimbize hosi?Na hata haiko mbali...
JAMAA:We nijenge thao kumi nijipeleke!Nishaona number plate yako!

Kaang'ura!Mike alishikanisha mara moja vile kulikuwa kunaenda.So alimuita madam kando;

MIKE:Wakati umenipita umeongeza speed?
MADAM: Hapana!Hata nashangaa vile nimemgonga!Nimeshtukia tu kuh!
MIKE:(Alimgeukia yule mjamaa)Rada morio?Si ungeambia mathe unataka tu za lunch?
JAMAA:(Alianza kuangalia kandokando Mike akajua amemshika)Ati...ati nini?
MIKE:(Alisonga pale mbele ya gari na kuisorora)Huyu mathe amenipita tu sahii,na hii gari alikuwa anaiendesha polepole sana.Kwa hivo wewe ulijua akikuona mbele atakanyaga brakes.Venye amekanyaga brakes ukajigongesha hapa 😉 ndo aamini amekugonga.Usikue fala morio wangu 😅!
JAMAA:We ebu ishia!Unaona nimevunjika mbavu na unaanza kimdomo?
MIKE:Hebu inua shati tuone...
JAMAA:We toka hapa!
MIKE:Wewe ni wewe unafaa kwenda usake kazi ya maana.Hata hujui venye huyu mathe anang'ang'ana apate hizo ngiri kumi unataka kum'con!
JAMAA:(akiamka)Keino wewe🙄!

Alianza kuondoka lakini mathe akamsimamisha.Aliingia kwa gari akatoa chwani na kumpa.

MADAM:Ungeniomba labda ningekupea zaidi ya hiyo...

Kijamaa kilichukua ile chwani na kwenda zake bila hata shukrani.Alipoishia mathe naye alimgeukia Mike;

MADA

29/10/2023

FAKERS (FAKE A*S)

EPISODE ONE

VENYE Mike alimada form four alijua maisha ya huku nje itakuwa nywee,kwanza venye results zilitoka na akajiona na B+.Watu kijijini walifanya mchango kijana akaingia KU.Enyewe siku za kwanza akiingia aliona kila kitu kitakuwa fine,kwanza mfukoni amepewa pocket money hapo 10k.Lakini ndo aligundua university na secondary ni tofauti sana.
Alikuwa anaangalia vitu zinafunzwa hapo anashangaa kwani ako nchi ingine 😳!Sasa wacha hivo 😂! Wakati yeye anajiona hapo ati amepewa ngiri kumi alikuwa anaona vijana wanaingia shule na Harrier na V8!Alafu kuna wale madem wananusanga pesa kwa umbali k**a vile shark 🦈 hunusa d...amu.Kijana wetu alipatana na Njoki Kubururuka.Njoki Kubururuka alimuonyesha mapenzi,kijana naye akamwaga manoti.Kusema mwezi na nusu iishe alikuwa amebaki na mia mbili.
Njoki Kubururuka alipoona kijana amesota alijikata ⛹️🌪️.Mike naye njaa ilianza kumtwanga.Alafu shida ni ati wazazi wake ni wale watu wakikupea mia mbili wanatarajia uitumie mwaka mzima.Wakati aliwapigia simu kuwaambia anahitaji doo walimwambia angoje huo mwezi uishe.Kijana aliangalia, akaona bado wiki tatu mwezi uishe akaona anaweza angamia.Alafu wale ma'richkid wa shule walianza kumbeba ufala.Imagine kuna time alitembelewa kwa hostel yake,mavijana wanataka sim 2.Hapo ilimbidi ajipiganie,naye in the process alishonwa dondi moja takatifu akaona jino likianguka.
Venye aliponea hiyo asubuhi iliyofuata aliamka na kutembea mpaka mtaa ju hakuwa hata na fare.Alipofika mtaani wazazi walijaribu kumsihi arudi shule lakini walikuwa wanaongea na ukuta.Yeye aliona maisha ya university hayawezi.Ili kuepuka magombezi ya wazazi alikuwa anaamka anatoka mtaani mapema na kurudi jioni anakula supper na kujiekelea 🛌.Nataka uelewe kwa kina Mike yeye ndo alikuwa lastborn akiwa ametanguliwa na sisters wawili.The fact that yeye ndo alikuwa tu mvulana kwa boma bado ilifanya wazazi wake wampende hata licha ya ile hasara alikuwa amewapeleka.
Alipoona kushinda akizurura mchana mzima haileti

I love my job
27/10/2023

I love my job

26/07/2023

Kamau👨,Kariuki👨🏻 and john 👨🏽 were kidnapped.They were taken to a place they didn't know,all three were told by kidnappers waende wakam na matunda kumi kila mtu.Kamau👨 alikuwa wa kwanza kukam na machungwa🍊🍊 zake kumi.Kumbe hizo matunda ulkuwa uingize kwa Anus💩 ziingie zote ndiyo uachiliwe.Kamau aliingiza ya kwanza,ya pili akashindwa🥲🥲. Sijui Kariuki👨🏻 akinjajaruka aje akakam na grapes...sa juu grapes🍇 ni ndogo akaingiza 1,2,3,4,5,6,7,8,9 kuenda kuingiza ya kumi akacheka zikamwagika zote.Ma kidnappers🤨🤨 wakamuuliza kwa nini amecheka akajibu"nimeona John 👨🏽 na watermelon 🍉"... Am still laughing

🏃🏃🏃🏃

25/07/2023

💏MY BABY 💏
💔 PART ONE 💔

MARA ya kwanza ambapo Jared alionyesha kumtamani Victoria marafiki zake walimuonya."Huyo dem ni psycho bro! Anakuwanga kisirani!",walijaribu kumuonya lakini aliwapea jibu simple,"Watu ni kuelewana 😊".Hata marafiki zake walipoona kuwa ashapenda waliachana na yeye huku wakiamini ataachwa mataani.
Jared naye hakuwai kubali kufishwa moyo.Hivo basi alimfuata yule Victoria,hata ingawa alisumbuka sana,mpaka dakika ya mwisho Victoria akamkubali.Hakuelewa k**a ilikuwa kupofushwa na mapenzi ama ni marafiki zake walikuwa wakimdamganya ile Jared hakuona kisirani yoyote kwake Victoria.Alijikaza akampemda Vicky kwa dhati na hata Vicky akaonekana kumpenda pia.
Mapenzi yao yalipopamba moto walikubaliana wakakomboa nyumba kule Donholm,nyumba simple tu kwa ghorofa.Pesa hazikuwa stress ju Jared alikuwa job.Shida ilianzia pale ambapo Vicky alipata mimba🤰.Alikuwa tu kisirani karibu kila saa,ila Jared akajiambia labda akijifungua atatulia.So kwa ule muda ambapo Vicky alikuwa mjamzito Jared alijikaza kabisa asije akamkasirisha.
Basi miezi tisa zikatimia, Vicky akapelekwa hospitalini na kule akajifungua msichana mrembo sana.Hapo na hapo mapenzi yake Jared kwake Vicky yakaongezeka mara dufu.Alimtunza Vicky k**a malkia,ama k**a yai ambalo hangetaka lianguke na kuvunjika.Chochote Vicky angeitisha alipewa.Ikaendelea hivo mpaka alipomaliza kunyonyesha 🤱.
Siku moja Jared alifika nyumbani usiku ikielekea saa tatu.Alimpata Vicky ameketi pale sebuleni akiwa amenuna 😐. Alipojaribu kumuongelesha msichana aliamka tu na kwenda kulala.Siku iliyofuata, vile vile.Siku baada yake,vile vile.Aiii, Jared akaona ipo shida.So baada ya wiki moja aliamua lazima ajue chanzo cha kununiwa...

JARED:Baby?
VICTORIA:(Hakumuangalia wala kumjibu.Aliamka tu na kuanza kuelekea kwa chumba cha kulala.Jared naye alikimbia na kusimama mbele yake kisha akamshika uso)
JARED: Baby,ni nini mbaya?Mbona hivi siku hizi?
VICTORIA:(Bila kumtazama)Mbona nini 😏?
JARED:Hivi...Ona hata hutaki kuniangalia.N

Address

Delhi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when John Njenga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to John Njenga:

Share