It's Namalwa Chesoli

It's Namalwa Chesoli Laugh you life ! Queen MC
(2)

Senge naomba uniulizie members Niko na watoto watatu from different  women. Nimepata mke ambaye tunapendana na kuelewana...
09/09/2025

Senge naomba uniulizie members
Niko na watoto watatu from different women. Nimepata mke ambaye tunapendana na kuelewana na nataka kumuoa na pia yeye ako na watoto wawili. Shida ni wazazi wangu wanakataa ati siwezi oa mwanamke ako na watoto Itakuwa Mzigo. Amekuja home Mara mbili na kila Mara wazazi wangu wanamyonyesha madharau. Ndio niwe na hao watoto from different women, wazazi walichangia coz kila walikuwa wanasema huyo Hana heshima,Mara hajui kupika Wala kulea boma! Babangu ananitishia ati nikioa mwanamke wa watoto ataninyima shamba nihangaike. Nisaidie mawaidha haki juu Mimi hufanya tu vibarua na kuwalisha hao wazazi na watoto wangu.

Senge’s advice: wazazi Jameni. Yaani kweli nyani haoni kundule kabisa Kabisa. Wacha nikunyweko busaa nirudi! Nimesirika sana

🎉 I earned the emerging talent badge this week, recognising me for creating engaging content that sparks an interest amo...
08/09/2025

🎉 I earned the emerging talent badge this week, recognising me for creating engaging content that sparks an interest among my fans!

They chote 🤣🤣🤣
08/09/2025

They chote 🤣🤣🤣

04/09/2025

Kwa kina ndoa sio kizuri haki🤣

01/09/2025

Ni kujituma tu,itajipa one day!

Hi senge .. My Husband hapendi watu wa kwao tangu nimjue as in alilelewa na step mother, ako na step sisters wawili waku...
26/08/2025

Hi senge ..
My Husband hapendi watu wa kwao tangu nimjue as in alilelewa na step mother, ako na step sisters wawili wakubwa kila mtu ako na mama yake, ata mama mwenye ako sai sio mama yao, baba ndio mmoja, so kuna time k**a sijakutana na hawa in-laws kuna mwenye alikuwa anakol bwanangu analenga calls zake nikiulza mbona hataki kumwongelesha, anasema ati anajua tu anataka kumuomba pesa na yeye hana, kuna siku nikiwa na simu yake nawatch Netflix nikaona text " Kwani huyo bibi yako ndio anafanya hutaki kuniongelesha, amekuja kwa life yako umeanza madharau?!, mjinga sana," nilinyamaza tu akajua niliona hiyo text akasema pole, of late step sister mkubwa anamcall na pia hashiki simu . Leo amecall tena hakuchukua nikamuuliza mbona hushiki akarudia tu anataka kuniomba pesa na sina.. nikamshow shika simu uskie ni nini unaambiwa .... 😆 Amenijibu ati nataka ashike halafu baadae nianze kusema vile nachukia sister yake .. ati anajua tu sipendi watu wa kwao.
Ukweli me sichukii watu wa kwao ni ile mimi sipendi kukaa place kuna watu wengi.. tangu tumove in na yeye alinikataza kufanya job me ukaa tu kwa nyumba nikimaliza kazi najifungia nikitoka may be napeleka mtoto shule, niende nimchukue nirudi ndani ama niwe naenda church... Ata hivo hatukai nyumbani alitoka nyumbani ati hataki wazazi wake kunituma tuma ( nilikuwa nafulia hadi father in-law Nguo na vile unajua ni vibaya kwa waluhya. so my mum alinikataza vile nilimwambia may be ndio ilifanya akasema tutoke kwao) .. kitu imeniuma ni kusema ati me sipendi watu wa kwao . Aje sasa?! Juu nmemwambia ashike simu ya dada yake?!.. mahali tunaishi hakuna mtu wa kwao anajua na tunaishi town moja na brother yake lakini hajawai fika kwa hii nyumba,, nikiulza mbona anasema ati ni mwizi ,, oooh ako na fitina,,, .. nifanye aje juu naona anafanya watu wa kwao wananiaccuse kwa makosa sio yangu

Senge’s advice: watu wa kukaa kwa nyumba K**a sufuria mmefikiwa. Bwana yako ndiye anajua watu wa kwao , wacha kuforce issues! Halafu ndoa ni kusemwa 🤣kwani ni kesho! Na unafulia father Inlaw because of why? Kwani hujipendi! Wanawake wa kujipendekeza saurienu! Na ukapata nini kwa Nguo ya mkwe utasemaje🤣

Address

Bungoma

Telephone

+254712112778

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when It's Namalwa Chesoli posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to It's Namalwa Chesoli:

Share