
08/08/2025
Nilienda harusi na kulikuwa na watu ka 50 hivi๐๐๐, nikakaa front seat then wakaanza kuserve food๐๐
Huyo mwanamke akaanza kuserve kutoka nyuma,unfortunately food ikaisha kabla haijatufikia huku mbele๐๐ฅ
Mwanamke mwingine akaanza pia kupeana soda,,akaanzia huko mbele na already nilikua nmeenda kiti ya nyuma,,zikaishia huko katikati,,tena nikakosa soda๐๐ง๐ฃ๐
Nikakasirika nikaamua niende..bt before niishie nikaona wanawake watatu wanakam wakiwa na mabakuli๐๐๐๐,this time I tried to be wise by sitting at the middle๐๐
Mmoja akaanza kuserve kutoka nyuma na mwingine kutoka mbele,, this time walikua wanaserve kuku fry๐๐๐๐
wakati walfika penye nmekaa tena kuku ikaisha๐ฅ๐ซ๐ญ
Nliboeka nikainamisha kichwa nikaeka mikono kwa uso..bt kuna huyu mwanamke wa tatu alikuja akaniguza,akaleta bakuli karibu ndo nipick...nikaingisha mkono kwa bakuli๐๐,..guesse n nini ilkua ndani๐๐?..TOOTHPICKS!!!๐๐ฅ๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Nilifaint Nikalala hiyo boma๐๐๐๐๐ ๐คฆ๐ฟโโ๏ธ๐คฆ๐ฟโโ๏ธ๐คฃ๐คฃ