Romeo wa Shimaya

Romeo wa Shimaya Award winning singer,song writer and performer
From BUMAICA🇰🇪
DANCEHALL ARTIST

0713519958
(8)

My country people🥲🤣🤣nyinyi kuwasaidia ni ngumu sanaKenya be home of everything🤣🤣🇰🇪
10/12/2025

My country people🥲🤣🤣
nyinyi kuwasaidia ni ngumu sana
Kenya be home of everything🤣🤣🇰🇪

⁉️⁉️⁉️BREAKING NEWS💯  WEWE na MIMI  tupo kwenye orodha ya watu waliobarikiwa kuiona siku hii❣️🙏Sema AMEN🙏👏
09/12/2025

⁉️⁉️⁉️BREAKING NEWS💯
WEWE na MIMI tupo kwenye orodha ya watu waliobarikiwa kuiona siku hii❣️🙏Sema AMEN🙏👏

Another Evening to remind you thatGOD doesnt Exit🙏❣️💯
08/12/2025

Another Evening to remind you that
GOD doesnt Exit🙏❣️💯

niko free leo...nani ako na swalikwa BABA ZERO😂😂🫣🇰🇪
08/12/2025

niko free leo...nani ako na swali
kwa BABA ZERO😂😂🫣🇰🇪

08/12/2025

You were tagged in this reel��

😂😂😂kuna siku niliabiri gari  za Likoni papo hapo😄 Mzee  mmoja   alijiunga ndani    Wakati   wa   kugombania    kiti   ak...
08/12/2025

😂😂😂kuna siku niliabiri gari za Likoni papo hapo😄 Mzee mmoja alijiunga ndani Wakati wa kugombania kiti akaibiwa kibeti chake😭🙆‍♂️muda ulipofika wa kupeana nauli kuangalia mfukoni hana kibeti😁😁
Akasimama katikati ya gari akasema,
"Jamani naomba aliyeniibia kibeti changu arudishe haraka , tena fasta kabla sijafanya tukio k**a nililofanya 2007"
Abiria kuskia hivo wakaogopa 🤭🤭ikabidi mwizi ajitokeze, akarudisha kibeti na akaomba msamaha!!

Baada ya mambo kutulia nikauliza, "Mzee, kwani 2007 ulifanya nini?" 🤔🤔
Mzee akanijibu, " Nilitembea kwa miguu mpaka nyumbani. " 😊😊😊
wishing you a blessed day..kindly follow my page❣️💯

Ukiwa singol kipindi kirefu yaaniunaezafikiri ubavu wako ulipikwa supu😂😂umeambiwa Goodnight ama yangu itakufaa
07/12/2025

Ukiwa singol kipindi kirefu yaani
unaezafikiri ubavu wako ulipikwa supu😂😂
umeambiwa Goodnight ama yangu itakufaa

kuna siku mamangu aliniuliza 1+1=?mi nikamjibu 11 🤣😂na nilikuwa mbishi ajabu mpaka kila muda  nilikuwa namshinda kabisaa...
06/12/2025

kuna siku mamangu aliniuliza 1+1=?
mi nikamjibu 11 🤣😂
na nilikuwa mbishi ajabu mpaka kila muda nilikuwa namshinda kabisaa🫣🫣
so siku moja mathe alinipea 1 bob akanituma nibuy sweets
dukani nikapewa sweets mbili..
nikaletea mum akachukua moja akampea mdogo wangu afu nyingine akakula...
nikaulizia
ROMEO:Mum na mimi sweet?
MUM: nikuulize swali..1+1
ROMEO:Eleven(11)
MUM: wee kula hizo sweets tisa umebaki nazo😂😂😂😂

mpaka leo sijaheal🫣🫣

Just a short story..si huyu sasa alifikiria farasi ni nduthi huwa analean kwa mtu amembeba🤣🤣🤣mayoo kivumbii
06/12/2025

Just a short story..si huyu sasa alifikiria farasi ni nduthi huwa analean kwa mtu amembeba🤣🤣🤣
mayoo kivumbii

SO SAD😭😭😭😭😭Hii imefanyika leo Bungoma town....Dem alikuwa anadate na jamaa Fulani hapo na alikuwa na bwana,,,so leo morn...
05/12/2025

SO SAD😭😭😭😭😭
Hii imefanyika leo Bungoma town....
Dem alikuwa anadate na jamaa Fulani hapo na alikuwa na bwana,,,so leo morning huyo boyfriend aliamua kumpeleka out and this happened coz alikuwa amefuatwa nyuma na bwanake....ama kweli siku za arobaini ni mwizi..aah i mean arobaini za siku ni mwizi...nooo...kuna siku na arobaini na mwizi jipangie2💔💔😭her husband alimfuata tu pole pole k**a vile unafuatilia hii post kwani hauna kazi ingine ya kufanya💔💔💔🤣🤣
kujeni mniue

After church service Kevo kaambia beste yake Deno "Nataka unizubaishie pastor juu nataka kwenda kukula bibi yake"😋😋😋😋Den...
05/12/2025

After church service Kevo kaambia beste yake Deno "Nataka unizubaishie pastor juu nataka kwenda kukula bibi yake"😋😋😋😋Deno akamuuliza "Mmeongea na bibi yake ama unaenda kumkatia kwanza"🤔🤔🤔 Kevo akamjibu "Hii plan tulipanga friday so naenda k**a nimeanza kumnyandua juu ata najua saizi ako uchi akiwa ameningoja"😋😋😋😋 Deno akaskia vibaya kuskia Kevo anaenda kukulia pastor wao bibi🤣😂😂😂 lakini juu anapenda kusaidia Kevo sana kulingana na vile yeye pia hua anamsaidia ikabidi akubali😱😱😱😱 baada ya dakika k**a tano pastor akatoka kwa kanisa akiwa tayari kwenda kwake nyumbani lakini Deno akamwendea mbio alafu akamwambia anataka kuombewa ndio mapepo ya kuumwa na kichwa yamuishie🙂🙂🙂 na baada ya dakika k**a ishirini pastor ak**aliza kumuombea🤣😂😂😂 na akawa tayari kuondoka lakini Deno akamuuliza maswali kadhaa ya ujinga mpaka pastor akamuuliza mbona anauliza maswali za kijinga vile🤣🤣😂😂 Deno kuulizwa hivo akaskia ako guilty sana kumficha pastor kilichokua kikiendelea na ikabidi aambie pastor ukweli😱😱😱 pastor kuambiwa vile Kevo alikua ameambia Deno akacheka kamuuliza "unamaanisha yule kevo anapenda kuongea jokes saana???" Deno akajibu ndio🙂🙂pastor kuskia ivo akaambia Deno "itabidi ukaangalie bibi yako juu nik**a Kevo anakukulia bibi"😂😂😂 na pastor akaanza kucheka😂😂🤣🤣 Deno akamwambia "aliniambia ameenda kukula bibi yako lakini sii wangu"😂🤣🤣na akaanza kumchekelea pastor😂🤣🤣 pastor akamwambia skiza, mimi bibi yangu alikufa miezi mitano imeisha na sijaoa bibi mwingine kwa ivo nenda kabla kamwangalie bibi yako juu najua Kevo amemaliza kumkula already 😂😂🤣🤣 na hapo ndio Deno alikumbuka friday iliyopita alipata bibi yake wakiongea na Kevo😢😢😢 na huenda hio siku ndio Kevo aliahidiwa kupewa hio Sunday 😢😢😢😢 Deno alikimbia nyumbani lakini hakupata Kevo ....... Nitaendelea kuwaambia hii uongo kesho na nimeenda🚶🚶🚶 na hakuna kitu mtafanya 🤸🤸🤸

Mniite tupige sherehe sasa ama ningengoja kiasi🤣🤣
04/12/2025

Mniite tupige sherehe sasa ama ningengoja kiasi🤣🤣

Address

Bungoma
Eldoret
039

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Romeo wa Shimaya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share