28/04/2025
ÜŤÀMŲ WA MABOSS🥵❤️1
SEHEMU YA 02
Alex alimkazia Linda macho🥺🥺alisimama akamsogelea ili amuone vizuri alihisi huenda hakuiona sura yake🥵🥵
Linda bado alimsukuma na kumwambia awe na adabu siku nyingine laa sivyo atamtwisha chupa ya pombe kichwani abomoe ubongo wake ulio lala
Alex baada ya kuona vile alipiga hatua na kuanza kutoka nje , Alex alitoka kwa hasira na kumpu uza kila aliekuwa anamuomba abaki pale baa na akaingia kwenye gari lake na Michael akiwa amekaa kando yake na gari likaanza kuondoka.
"Msichana huyo ni jasiri sana lakini nikimuona tena, sitamuacha,akasema Alex 🥵
Walifika kwenye jumba la Alex la kifahari na walinzi wakawafungulia mlango wa gari tukashuka.
"Vipi kuna taarifa yoyote ile kuhusu mambo ya PA" Alex alimuuliza Michael
"Mmmh..........." Michael Aliongea kwa kigugumizi
"Subiri, usiniambie kuwa hukuweka maelezo yoyote kuhusu mimi kutoa kazi hiyo, usikute hauja weka picha yangu, maana naamin WAnawake wakiona sura yangu watataman kufanya sana kazi na mm" akasema Alex 🥵🥵
"Samahani bado sijafanya hivo... Alisema Michael na Alex akahema na kufoka.
Kwanini unanifanyia hivi,
Yaan Leo mnanitibua TU🥺🥺,
Kwanza ni yule binti aliyenipiga kofi akaniacha nikiwa na aibu sasa ni wewe ambae huwez kufanya kazi uliopewa, Alex akafoka .
"Fanya kinachohitajika, nataka kumpata msaidizi wangu wa kazi kesho asubuh" Alex alisema kabla ya kwenda chumbani kwake na Michael akaondoka kuelekea nyumbani kwake.
"Michael Ni rafiki yangu lakini pia ananifanyia kazi na namlipa. najua mimi ni mkali kwake lakini ubinafsi wangu na kiburi hauniruhusu nishushe utu wangu,akawaza Alex maana alihisi k**a hajamfanyia vzr rafiki yake Michael 🥵🔥
"Kwa vyovyote vile nilikuwa na siku ndefu sana na nahitaji kulala,akawaza Alex 😴😴
lakini alipokaribia kufunga macho yake ili alale, simu yake ilianza kuita kwenye droo kwa hasira Alex aliutupa mto wake ukutani na ukatua chini
"Nani ananipigia simu sasa hivi, akasema kwa ukali
Alex aliangalia mpigaji na kuona jina