26/02/2026
orodha ya akaunti 10 zenye wafuasi wengi zaidi kwenye TikTok nchini Tanzania, huku akaunti ya zerobrainer0 ikiongoza kwa kuwa na wafuasi milioni 18.8.
Nafasi ya pili inashikiliwa na Diamond Platnumz mwenye wafuasi milioni 10.2, akifuatiwa na ANKONZALA mwenye milioni 8.2 na Kili Paul mwenye milioni 7.0
Swipe ⬅️ for more