Banza Media

Banza Media "Burudani | Gossip | Lifestyle
đź“© DM for Ads & Collabs
🎬 New content daily"

orodha ya akaunti 10 zenye wafuasi wengi zaidi kwenye TikTok nchini Tanzania, huku akaunti ya zerobrainer0 ikiongoza kwa...
26/02/2026

orodha ya akaunti 10 zenye wafuasi wengi zaidi kwenye TikTok nchini Tanzania, huku akaunti ya zerobrainer0 ikiongoza kwa kuwa na wafuasi milioni 18.8.
Nafasi ya pili inashikiliwa na Diamond Platnumz mwenye wafuasi milioni 10.2, akifuatiwa na ANKONZALA mwenye milioni 8.2 na Kili Paul mwenye milioni 7.0

Swipe ⬅️ for more

25/02/2026

moja kati ya wamama waliopewa pesa na msanii Diamond Platnumz siku ya wapendanao amefunguka kuwa alipewa laki moja na si milioni 4 k**a ilivyokuwa ikisemekana

Video ya Msanii harmonize Inayo 📉 mtandaoni Akisema kwamba Miaka ya mbele anajiona k**a daktari Ambae atakuwa akisaidia ...
25/02/2026

Video ya Msanii harmonize Inayo 📉 mtandaoni

Akisema kwamba Miaka ya mbele anajiona k**a daktari Ambae atakuwa akisaidia Watu

Ni hipi Kati ya Izi ilikupita ?Basi ingia banzamediatv kusoma Habari zote
23/02/2026

Ni hipi Kati ya Izi ilikupita ?

Basi ingia banzamediatv kusoma Habari zote

Msanii Tyla Aweka wazi aina ya mwanaume anayemvutia. Amesema hapendi wanaume wanaomfuata moja kwa moja, bali hupendezwa ...
21/02/2026

Msanii Tyla Aweka wazi aina ya mwanaume anayemvutia. Amesema hapendi wanaume wanaomfuata moja kwa moja, bali hupendezwa zaidi na wale wanaoonekana k**a hawana haraka au hawamuhitaji.

Vipi ww mwanadada Upande wako kupoje ?

HAPPY BIRTHDAY RIHANNA
20/02/2026

HAPPY BIRTHDAY RIHANNA

mashabiki wameonyesha kuchukizwa na kitendo cha msanii Harmonize kupaka rangi kwenye kucha zakeJe ni vibaya Kwa mwanamum...
20/02/2026

mashabiki wameonyesha kuchukizwa na kitendo cha msanii Harmonize kupaka rangi kwenye kucha zake

Je ni vibaya Kwa mwanamume kupaka rangi kwenye kucha ?

Muigizaji Eric Dane, maarufu k**a “McSteamy”alifanga vizuri katika Grey’s Anatomy, na kwenye the last ship amefariki dun...
20/02/2026

Muigizaji Eric Dane, maarufu k**a “McSteamy”alifanga vizuri katika Grey’s Anatomy, na kwenye the last ship amefariki dunia akiwa na miaka 53 baada ya kupambana na ugonjwa wa ALS. Kabla ya kifo chake, alijitolea kusaidia wagonjwa wa ALS kwa kushawishi Congress na kushiriki katika mashirika ya misaada. Atakumbukwa kwa kipaji chake na moyo wake wa kusaidia wengine.

Apumzike kwa amani.

__________________ENGLISH________________________

Actor Eric Dane, best known as “McSteamy” on Grey’s Anatomy, has died at 53 after battling ALS. In his final days, he advocated for ALS patients and worked with nonprofit organizations. He will be remembered for both his talent and his compassion. Rest in peace.

Muonekano mpya wa msanii r***r wa nigeria Vipi amependeza ama bado Sana
20/02/2026

Muonekano mpya wa msanii r***r wa nigeria

Vipi amependeza ama bado Sana

Mastaa Walioingia Kwenye "Club 100M"​Kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa kufikia Februari 19, 2026, hawa ndio vigogo wa...
19/02/2026

Mastaa Walioingia Kwenye "Club 100M"
​Kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa kufikia Februari 19, 2026, hawa ndio vigogo wanaotikisa kwa sasa

Swipe ⬅️ for more

Utafiti huu unachunguza makutano kati ya sayansi ya vifaa, biolojia ya binadamu, na usalama wa chakula. Lengo ni kubaini...
18/02/2026

Utafiti huu unachunguza makutano kati ya sayansi ya vifaa, biolojia ya binadamu, na usalama wa chakula. Lengo ni kubainisha jinsi mabadiliko madogo katika tabia za kila siku yanavyoweza kuzuia uharibifu wa teknolojia na kupunguza hatari za kiafya.

Swipe ⬅️ for more

CC : WHO | CDC | FDA Food safety | Battery University | Hearing Health Foundation


Address

Kiambu Road
Kiambu Road
1234

Telephone

+254745736132

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Banza Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Banza Media:

Share