03/06/2026
MAHAKAMA YA KILIFI YAWATUPA GEREZANI WASHTAKIWA ZAIDI YA 10
Mahakama ya Kilifi imetoa hukumu kwa washtakiwa zaidi ya 10 waliowasilishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka mbalimbali
ikiwemo kesi za unajisi na makosa ya jinai.
Katika vikao vya Mahakama, hakimu Ivy Wasike ametoa hukumu hizo huku wengine wakifungwa kwa zaidi ya miaka 30 gerezani.