Pwani Trends

Pwani Trends Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Pwani Trends, Beria, .
(7)

Blogger | Digital Creator | Entertainment Updates 🎥
Sharing trending stories, street vibes, and coastal culture daily. 🌊🔥

For Advertisement & Promotion Kindly Hit My DM📥

Msanii Mtemi Afrika aweka historia mpya kwenye mziki wake baada ya nyimbo yake aliyomshirikisha Kamanda Bushi wa kundi l...
16/05/2026

Msanii Mtemi Afrika aweka historia mpya kwenye mziki wake baada ya nyimbo yake aliyomshirikisha Kamanda Bushi wa kundi la Makamanda kuingia TRENDING katika mtandao wa YouTube! Nyimbo hiyo inayokwenda kwa jina HAUKO READY inazidi kufanya vizuri ikiwa na zaidi ya watazamaji elfu 74+ ikishikilia nambari 27 katika mtandao wa YouTube, zaidi Mtemi amewashukuru mashabiki na wadau l

' Content Creators, Silar Dee Kamanda Kutoka Mombasa Wazidi Kuteka Nairobi
16/05/2026

' Content Creators, Silar Dee Kamanda Kutoka Mombasa Wazidi Kuteka Nairobi

Mtoto Keziah Matuki Kupumzishwa Hii Leo
16/05/2026

Mtoto Keziah Matuki Kupumzishwa Hii Leo

' Mimi na Mume Wangu Presenter Kai, Tumekua na Kikao na Tumekubaliana Kuwa Nitaacha Kuvaa Nguo Fupi Nikienda Beach ' - -...
16/05/2026

' Mimi na Mume Wangu Presenter Kai, Tumekua na Kikao na Tumekubaliana Kuwa Nitaacha Kuvaa Nguo Fupi Nikienda Beach ' - - Diana Yegon

Hatimaye rapa Kaa La Moto aitikia wito na kuipoza kiu ya mashabiki waliozua gumzo tangu wiki jana kwamba hampi sapoti ms...
16/05/2026

Hatimaye rapa Kaa La Moto aitikia wito na kuipoza kiu ya mashabiki waliozua gumzo tangu wiki jana kwamba hampi sapoti msanii Mtalibani Halisi licha ya kufanya kolabo na wasanii kadhaa wa mziki wa sana shamba, Tayari picha Zmeonekana wakiwa lokesheni tayari kuandaa kitu!

Baada ya sakata Kubwa la Mzozo wa Mda Mrefu Tracia Nyevu Amefunguka Tena Kurudiana Na Harms Munga Kupitia Ukurasa Wake W...
16/05/2026

Baada ya sakata Kubwa la Mzozo wa Mda Mrefu Tracia Nyevu Amefunguka Tena Kurudiana Na Harms Munga Kupitia Ukurasa Wake Wa Facebook

Abdul swamad ambaye ni gavana wa kaunti ya Mombasa amewakera wakaazi wanaoupenda mziki wa Pwani. Wanasema ni bora Aonyes...
15/05/2026

Abdul swamad ambaye ni gavana wa kaunti ya Mombasa amewakera wakaazi wanaoupenda mziki wa Pwani. Wanasema ni bora Aonyeshe sapoti kwa wasanii wetu kuliko wa nje Kwa Sababu wasanii wetu wako chini na wanahitaji kujiendeleza Kuliko Kuwapa Shavu wasanii wa nje Walio jipata kimaisha..

Wengi wamempongeza Hassan joho kwa Uvumbuzi wa 001 music ambayo imewatoa wasanii wengi.
Pwani Trends

Rapa Kutoka Kilifi Simba Zee Asherehekea Siku yake ya kuzaliwa
15/05/2026

Rapa Kutoka Kilifi Simba Zee Asherehekea Siku yake ya kuzaliwa

Rapa mkongwe kutoka Kilifi maarufu MASTER KIMBO, afanya kikao na wanahabari kwa mara ya kwanza, kuja upya,uongozi mpya, ...
15/05/2026

Rapa mkongwe kutoka Kilifi maarufu MASTER KIMBO, afanya kikao na wanahabari kwa mara ya kwanza, kuja upya,uongozi mpya, miziki mipya na kolabo kubwa zaidi!

Taarifa zaidi kufata…
Pwani Trends

Mtoto Keziah Matuki Kuzikwa Kesho Jumamosi ' 🕊
15/05/2026

Mtoto Keziah Matuki Kuzikwa Kesho Jumamosi ' 🕊

Address

Beria

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pwani Trends posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share