28/10/2025
Timu ya wanawake ya Kenya Harambee Starlets imefuzu kushiriki fainali za kombe la kimataifa la wanawake Afrika WAFCON 2026 kufuatia ushindi wa bao pekee la DOGO na kuifuta Gambia katika michuano hiyo.
Kufuatia ushindi huo Starlets wanafunga kibindoni shilingi milioni 1 kila mchezaji ambayo ni ahadi ya Rais wa Kenya William Samoei Ruto kuwapatia motisha.