RAHAI

RAHAI WELCOME TO RAHAI ITS A MEDIA PLATFORM WICH PROVIDES YOU WITH LOCAL AND INTERNATIONAL NEWS.

Umoja wa Rastafari waishio Kenya mwanzoni uliwasilisha maombi ya mswada wa kisheria kutumika kwa Bhangi nchini humo.Mape...
18/11/2025

Umoja wa Rastafari waishio Kenya mwanzoni uliwasilisha maombi ya mswada wa kisheria kutumika kwa Bhangi nchini humo.

Mapema hii leo wamefika katika mahak**a kuu ya Milimani iliyopo jijini Nairobi kutetea hoja za madai yao kuhalalishwa kwa Bhangi wakidai ni sehemu ya tamaduni zao pindi wanapofanya maombi na sherehe nyingine za kitamaduni katika jamii ya Rastafari.

Hospitali ya The Nairobi Hospital iyopo jijini nairobi imetangaza malipo maalum kwa zoezi la tohara ama kutahiri.Itakuga...
15/11/2025

Hospitali ya The Nairobi Hospital iyopo jijini nairobi imetangaza malipo maalum kwa zoezi la tohara ama kutahiri.

Itakugarimu kulipa shilingi 90k kwa tohara ya ganzi ya jumla na 70k kwa ganzi ya ndani.

Kupitia hakimu mwandamizi Joy Mutimba, Mahak**a ya Kwale imejiridhisha kuachiliwa huru kwa Elwin Ter Horst raia wa Kihol...
14/11/2025

Kupitia hakimu mwandamizi Joy Mutimba, Mahak**a ya Kwale imejiridhisha kuachiliwa huru kwa Elwin Ter Horst raia wa Kiholanzi.

Ter Horst aliyek**atwa wiki mbili zilizopita kwa mash*taka manne kwa mujibu wa nyaraka za mahak**a, yakiwemo usafirishaji wa dawa za kulevya, kushambulia na kusababisha majeraha, uharibifu wa mali na kusababisha fujo. Ameachiliwa huru bila masharti hii leo baada ya mahak**a kupokea ripoti ya daktari kutoka hospitali ya Port Reitz iliyoonyesha msh*takiwa huyo anasumbuliwa na ugonjwa wa bipolar na hali nyingine za kiafya.

Kufuatia uamuzi huo wa mahak**a inafuta rasmi kesi namba CR:323/31/2025 na MISC/E124/2025 ambazo zilikuwa zikimkabili Mholanzi huyo.

Wimbo wa   yake   leo umetimiza miaka 3 tangu kuachilia hewani.Tembelea katika Youtube channel yake kuusikiliza wimbo hu...
13/11/2025

Wimbo wa yake leo umetimiza miaka 3 tangu kuachilia hewani.

Tembelea katika Youtube channel yake kuusikiliza wimbo huo. 🇰🇪

Hii inakuja kuwa filamu bora mkoa wa Pwani.Mkae mkao wa kula 🇰🇪
12/11/2025

Hii inakuja kuwa filamu bora mkoa wa Pwani.
Mkae mkao wa kula 🇰🇪




10/11/2025

Aliyekuwa katibu waziri wa jinsia Aisha Jumwa ametoa ahadi kufuatia hafla kubwa inayotarajiwa kufanyika Rabai, tamasha la kisanaa linalo unganisha wasanii mbalimbali kutoa burudani siku hiyo ya tarehe 22-12-2025 hapo Dr Kraph Ground.

Aisha Jumwa ambaye pia alikuwa mbunge wa Malindi na sasa ni miongoni mwa watia nia kugombea kiti cha ugavana kaunti ya Kilifi amesema atasimama na wasanii wa kaunti hiyo kuhakikisha wanapata soko ili kutanua kazi zao za kisanaa, ameomba pia kuhudhuria hafla hiyo k**a mgeni rasmi aje kuwatuza vijana hao.

Miongoni mwa wasanii wa kizazi kipya watakao toa burudani siku hiyo ambapo ni pamoja na na wengine wengii.

Muungano wa wasanii Rabai umepania kufanya tamasha kubwa la kihistoria ambapo linakuwa tamasha la kwanza baada ya kuunga...
07/11/2025

Muungano wa wasanii Rabai umepania kufanya tamasha kubwa la kihistoria ambapo linakuwa tamasha la kwanza baada ya kuungana kwao.

Tamasha hilo ambalo litahudhuriwa na watumbuizaji mbalimbali kwa lengo kile kinachotajwa wasanii wa Rabai wamewachwa nyuma kisanaa ili kuungana kushirikiana na kujitanuwa zaidi.

Burudani hilo linaletwa kwako bure bilashi katika uwanja wa Dr. Kraph Tarehe 22-12-2025.
Taarifa hii ukimpa mwenzako si umbea.

Ikiwa ni siku ya pili zoezi la kuandikishwa kwa watu waishio na ulemavu Kaloleni na Rabai Sub-county likiendelea, ambapo...
06/11/2025

Ikiwa ni siku ya pili zoezi la kuandikishwa kwa watu waishio na ulemavu Kaloleni na Rabai Sub-county likiendelea, ambapo huduma mbalimbali zimetolewa ikiwemo kuandikishwa kwa vyeti vya kuzaliwa kwa walemavu pamoja na vitambulisho lakini pia na kupatiwa certificates papo hapo.

Zoezi hilo ambalo limesimamiwa na wizara ya afya Kilifi kushirikiana na APDK.

Follow RAHAI for more_

Draw hatua ya makundi michuano ya kombo la shirikisho Afrika iliyofanyika hii leo ambapo Nairobi United imepangwa kwenye...
03/11/2025

Draw hatua ya makundi michuano ya kombo la shirikisho Afrika iliyofanyika hii leo ambapo Nairobi United imepangwa kwenye kundi B.

Nairobi United itachuana pamoja na Wydad AC ya Morocco, AS Maniema ya Congo na Azam FC ya Tanzania waliopangwa kundi moja.

Kaunti ya Kilifi kupitia wizara ya afya kwakushirikiana na shirika la Association for Physical Disabled of Kenya (APDK)....
03/11/2025

Kaunti ya Kilifi kupitia wizara ya afya kwakushirikiana na shirika la Association for Physical Disabled of Kenya (APDK).

Inatoa wito kwa wakaazi wa Kaloleni na Kata ndogo ya Rabai kujiandikisha kwa watu wote wenye ulemavu kwa ajili ya hatua nyingi za kiafya.

Zoezi hilo ambalo litafanyika kwa siku 3 kuanzia tarehe 5 mpaka 7 ya mwezi wa 11,2025 maeneo ya Gotani, Kizurini Special School na hospitali ya Tsangatsini.

Ni ngarambe yakushuhudiwa katika hatua ya robo fainali za michuano ya Chilibasi Super Cup.Home Boys FC wataingia dimbani...
01/11/2025

Ni ngarambe yakushuhudiwa katika hatua ya robo fainali za michuano ya Chilibasi Super Cup.

Home Boys FC wataingia dimbani kurusha karata yao dhidi ya Power United Jumapili ya tarehe 2 uwacha wa Lugwe saa 9 jioni saa za Afrika mashariki.

Home Boys Fc vs Power United
3:00 Pm
Lugwe Primary School

Timu ya wanawake ya Kenya Harambee Starlets imefuzu kushiriki fainali za kombe la kimataifa la wanawake Afrika WAFCON 20...
28/10/2025

Timu ya wanawake ya Kenya Harambee Starlets imefuzu kushiriki fainali za kombe la kimataifa la wanawake Afrika WAFCON 2026 kufuatia ushindi wa bao pekee la DOGO na kuifuta Gambia katika michuano hiyo.

Kufuatia ushindi huo Starlets wanafunga kibindoni shilingi milioni 1 kila mchezaji ambayo ni ahadi ya Rais wa Kenya William Samoei Ruto kuwapatia motisha.

Address

Kilifi

Telephone

+254793772989

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RAHAI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share