28/05/2025
🔴HABARI MTAMBUKA: NGUGI WA THIONG'O AMEFARIKI DUNIA
Mwandishi bingwa wa fasihi kutoka nchini Kenya Profesa Ngũgĩ wa Thiong'o amefariki dunia .
Kwa mujibu wa binti yake Wanjiku Wa Ngugi, Ngugi amefariki dunia hii leo Jumatano asubuhi, 28 Mei, 2025.
"Aliishi maisha yake, amevipiga vita vilivyo vyema. K**a alivyoomba, tusherehekee maisha na kazi yake." Ameandika.
Ngugi atakumbukwa kwa vitabu vyake vilivyoleta mapinduzi katika tasnia ya fasihi na kubadili maisha ya watu wakiwemo wanafunzi k**a vile Weep Not, Child (1964), The River Between (1967), A Grain of Wheat (1967) miongoni mwa vingine vingi.
Je unakumbuka kitabu gani chake ulichowahi kukisoma?
.4