Clinton Iha

Clinton Iha Zhenda Chimuza

Vlogger | Photographer | Creator

A husband and a father.
(2)

06/06/2026

Yenyewe hii Economy ya Kenya ni mbaya mpaka Freemason wana advertise 😁😅🤣

06/06/2026

Ule wimbo wa Manu Bayaz FT Ooh Yes Artist - Nitamwitaja shemeji naona ni k**a nilikua naimbiwa mimi 😄😂😂

JOHN matata MUSIC

Msenangu The Band

Katibu Fikirini Jacobs ameungana na kanisa, marafiki na familia ya Col. Faith Hariri Mwangandi katika kijiji cha Shomela...
06/06/2026

Katibu Fikirini Jacobs ameungana na kanisa, marafiki na familia ya Col. Faith Hariri Mwangandi katika kijiji cha Shomela, eneo bunge la Magarini kumsindikiza mamake Mama Grace Kadzo Mwangandi.

Roho ya Mama Grace Kadzo ipumzike kwa amani.

Shida nyingine ya Kitsao Jogolo haendi ground mpaka Hon. Aisha Jumwa Katana awe anakuja Kaloleni
06/06/2026

Shida nyingine ya Kitsao Jogolo haendi ground mpaka Hon. Aisha Jumwa Katana awe anakuja Kaloleni

06/06/2026

' Wale walioziuza kura za Kaloleni nje, raundi hii mtaona moto. Nendeni mkazipige kabla ya siku ya uchaguzi maana nimejipanga na vijana wenzangu hatutaruhusa huu mchezo'

Kaloleni Ward MCA aspirant Agastone Thoya akitoa hili onyo kwenye hafla ya mazishi ya Jay Mdudu kule Vishakani.

Jeff Ria and Kitsao Jogolo lini mtajitokeza kwa ukak**avu mtake kiti cha ubunge Kaloleni??Sipendi jinsi jinsi mlivyo com...
06/06/2026

Jeff Ria and Kitsao Jogolo lini mtajitokeza kwa ukak**avu mtake kiti cha ubunge Kaloleni??

Sipendi jinsi jinsi mlivyo comfortable hapa Kaloleni. In 10 years of PK's tenure, I we have witnessed little or no development yet mmetulia tu as if mnashindana na newbie. PK amejiwekea mizizi na kutumia pesa yet he is not popular in with the people.

Kitsao toka Mariakani bana, you have 3 more wards ambazo uzunguke uombe kura. Kukaa Mariakani won't make you an MP!! Najua maybe funds zinaweza kukua challenge but I pia ukitokatoka kuanzia sahii, undasala matsoni na milomoni mwa athu tha hanjine ni kunerwa mbazi ukahapata kura... 😂

Jeff nawe komaa kisiasa. Huu sio mwanzo wake kuwania hiki kiti. Kumbuka zile resources umetumia tangu mwanzo, chamba misumari ikure na mbao hala nyundo ugonge yo misumari vikale. Ombola ombola Kaloleni yosi ta umanywe kila mudzi, if possible to camp here in Kaloleni. Siku mwenga mwenga hutsupire kuku mangwe mangwe hundakugwira mukono.

I tell you for sure, both Kitsao and Jeff have to attach themselves with the people. Hayo mambo ya UDA ticket tutaongea siku nyingine but for now wake up and face the people.

06/06/2026

Siku rasmi ya kunywa chupa millioni za pombe ya mnazi mjini Kilifi imetangazwa!!

Katibu Mkuu wa Mnazi Vendors Association, Shedrack Lewa ametangaza rasmi ndani ya mangwe moja mashuhuri mjini Mtwapa.

Wapwani nyote mnaombwa kujitokeza kwa wingi ili kuunga mkono juhudi za value addition kwenye hii rasilimali ya pombe ya mnazi.

Cc: Mnazi Ambassador -
Chirow Wehuh
Neville Gambo
Mathias Ngala

06/06/2026

Mwanamke mmoja ameelezea jinsi boss wake Saudia anavyomnyemelea na kumtaka kimapenzi.

Part 15

06/06/2026

Mwanamke mmoja ameelezea jinsi boss wake Saudia anavyomnyemelea na kumtaka kimapenzi.

Part 14

Address

Kaloleni
Kilifi
80105

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Clinton Iha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share