Coco FM

Coco FM We are a dynamic media company specializing in digital content creation, broadcasting, and storytelling.
(1)

We deliver cutting-edge news, entertainment, and educational content across various platforms. 98.9

Good morning! Ni   ndani ya   ukiwa nasi Anita Nzaro Nyanya RUKIA na Joseph Marwa mwenyewe kuanzia sasa hadi saa nne asu...
17/10/2025

Good morning! Ni ndani ya ukiwa nasi Anita Nzaro Nyanya RUKIA na Joseph Marwa mwenyewe kuanzia sasa hadi saa nne asubuhi



Ni siku nyigine njema, inayokupasa kuanza na neno la baraka hapa tu ndani ya   na mtumishi Pauline 'Mbarikiwa' Mwango um...
17/10/2025

Ni siku nyigine njema, inayokupasa kuanza na neno la baraka hapa tu ndani ya na mtumishi Pauline 'Mbarikiwa' Mwango umeiona siku ukiwa wapi?

Ndani ya   vibe imejipa akiwa mwenyewe genz HABZO, lazima team nzima ya usiku sacco ikubali.
16/10/2025

Ndani ya vibe imejipa akiwa mwenyewe genz HABZO, lazima team nzima ya usiku sacco ikubali.

AKISHIBA UTASHIBAKwa Fugo Fast Gro Advanced, kuku wako hukua haraka, wewe unavuna mapema. Kila punje ya Fugo Fast Gro Ad...
16/10/2025

AKISHIBA UTASHIBA
Kwa Fugo Fast Gro Advanced, kuku wako hukua haraka, wewe unavuna mapema. Kila punje ya Fugo Fast Gro Advanced ni nguvu ya ukuaji — lishe ya uhakika kutoka Unga Farm Care EA Limited

Baadhi ya bidhaa unazozihitaji zaidi kwa wewe mfugaji wa kuku ni pamoja na;
✅Chick and Duckling Mash
✅Grower Mash
✅Layer Compleat Meal
✅Starter Crumbs & Mash
✅Finisher Pellets & Mash
✅Starter Crumbs
✅Finisher Pellets
✅Kienyeji Chick Mash
✅Kienyeji Layers Mash
✅Kienyeji Grower Mash

Unanunua lini bidhaa yako!?



Mwalimu   ndo keshafika darasani, ndani ya shule ya Unyago, jishike ujipatapo na walo single wala msibanduke!
16/10/2025

Mwalimu ndo keshafika darasani, ndani ya shule ya Unyago, jishike ujipatapo na walo single wala msibanduke!


16/10/2025

VIONGOZI WA ODM KILIFI WAMUOMBOLEZA RAILA

Viongozi wa ODM kaunti ya kilifi wamemtaja Raila Odinga k**a kiongozi aliyepigania mageuzi pamoja na upatikanaji wa haki kwa wengi.



16/10/2025

WAWILI WAFARIKI KASARANI

Ghasia zazuka uwanjani Kasarani na kutatiza shughuli za kutazama mwili wa hayati Raila Odinga.

Polisi wamelazimika kutumia vitoa machozi kutuliza hali.



Rais William Ruto amewaongaza Wakenya na viongozi wengine mbalimbali kutoa heshima zao za mwisho kwa Hayati Waziri mkuu ...
16/10/2025

Rais William Ruto amewaongaza Wakenya na viongozi wengine mbalimbali kutoa heshima zao za mwisho kwa Hayati Waziri mkuu wa Zamani Raila Amollo Odinga katika uwanja wa Kasarani jijini Nairobi.



16/10/2025

RAIS RUTO AWAONGOZA WAKENYA KUTOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO HAYATI RAILA ODINGA.



Ungana na   tukiongea na wataalamu Dr. Prudence Mulongo na Jackson Kitsao kutoka Wananchi Hospital Kilifi kuhusu huduma ...
16/10/2025

Ungana na tukiongea na wataalamu Dr. Prudence Mulongo na Jackson Kitsao kutoka Wananchi Hospital Kilifi kuhusu huduma bora za afya! Lakini pia suala zima la KILIFI MEDICAL SERVICES WEEK.
.9

16/10/2025

HAYATI RAILA AMOLO ODINGA AVUNJA REKODI.

Ni wazi kuwa Raila ndiye mkenya aliyeenziwa zaidi wakati wa uhai wake na hata kufa kwake.
Je, unayajua matukio yanayokidhi kauli hii?
Coco FM inakufafanulia.



16/10/2025

MWILI WA RAILA WAWASILI KASARANI

Wakenya wamiminika katika uwanja wa Kasarani kutazama mwili wa Raila Odinga.



Address

Imarika Building-Kilifi
Kilifi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Coco FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category