Coco FM

Coco FM We are a dynamic media company specializing in digital content creation, broadcasting, and storytelling.
(4)

We deliver cutting-edge news, entertainment, and educational content across various platforms. 98.9

17/12/2025

|| JANJARUKA 254... JANJARUSHA RELATIONSHIP WEDNESDAY || Passim Mbui na Binti Umazi || Monday to Friday from 10AM - 1PM

Leo kwenye Janjaruka showtunao wageni wetu Mchungaji Harriet Riziki (Agano Church) na Stephen Karisa, Mwenyekiti wa Kama...
17/12/2025

Leo kwenye Janjaruka showtunao wageni wetu Mchungaji Harriet Riziki (Agano Church) na Stephen Karisa, Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo – Agano Church.

Sikiliza kupitia COCO FM au pakua app yetu Play Store.


Ni vitu gani ukiona unajua tu baaasi krismasi ndio hiyoKaribu ndani ya     ukiwa na Binti Umazi
17/12/2025

Ni vitu gani ukiona unajua tu baaasi krismasi ndio hiyo
Karibu ndani ya ukiwa na Binti Umazi


17/12/2025

Viongozi wameshindwa kutumia pesa kutekeleza maendeleo ~ Anita Nzaro



17/12/2025

7AM || MIONZI YA COCO FM NA HAMISI KOMBE
Hamso Shupavu

17/12/2025

Shida ni polisi ama watumiaji wa barabara?
Anita Nzaro Nyanya RUKIA



17/12/2025

Tambua faini zilizowekwa kwa wanaokiuka sheria za barabarani ~ Anita Nzaro



BREAKING NEWS: COCO YASHINDA TUZO NYINGINE.Mwandishi wa Coco fm Joseph Mrima Jira ameshinda tuzo ya KENYA MEDIA AWARDS  ...
17/12/2025

BREAKING NEWS: COCO YASHINDA TUZO NYINGINE.

Mwandishi wa Coco fm Joseph Mrima Jira ameshinda tuzo ya KENYA MEDIA AWARDS katika kitengo Cha mwandishi bora wa taarifa kuhusiana na masuala ya afya na ubunifu.

Ni ushindi wa kujituma kikazi, dhamira na uandishi wenye tija.

Hongera Joseph Jira kwa kutwaa tuzo ya NCD Alliance Kenya Media Awards katika kitengo cha UHC & Health Technology Features.

Hii imetokea mwezi Mmoja tu baada ya kituo hiki Cha redio Coco fm kuvunja rekodi na kushinda tuzo ya African Championship, ambapo kilituzwa kwa kuwa kituo Kinachokuwa Kwa kasi zaidi , lakini pia mwandishi Lolani Kalu akapokea tuzo ya kuwa mwandishi bora zaidi katika taarifa kuhusu masuala ya jamii .

COCOFM HOYEEEE


17/12/2025

Tulifanya kazi ya kutafuta wapiga kura wakati wa uchaguzi mdogo kwa ahadi ya mia mbili kwa wapiga kura, ila kufikia sasa bado hatujalipwa ~ Shauri Kahindi, Magarini By-election ODM agent




Anita Nzaro

Good moooorning! Karibu   ukiwa nasi Anita Nzaro, Nyanya RUKIA , na Joseph Marwa mwenyewe in absentia. Saa nne za buruda...
17/12/2025

Good moooorning! Karibu ukiwa nasi Anita Nzaro, Nyanya RUKIA , na Joseph Marwa mwenyewe in absentia. Saa nne za burudani, hamasa, elimu, na updates kibao. Unaskiza ukiwa wapi? Kwema?


17/12/2025

live na Nyanya RUKIA na Anita Nzaro

17/12/2025

Wanadamu hubadilika,lakini hata hivyo maisha lazima yasonge mbele ~ Pauline 'Mbarikiwa' Mwango



Address

Imarika Building-Kilifi
Kilifi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Coco FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category