MijiKenda

MijiKenda The nine Ethnic groups that make up the Mijikenda peoples are the Chonyi, Kambe, Duruma, Kauma, Ribe, Rabai, Jibana, Giriama, and Digo.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐  Eddy alikuja akaambia Neema,mbona umevaa unakubali proposal ring na unajua nimerudi,we are supposed to be togeth...
28/03/2025

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐

Eddy alikuja akaambia Neema,mbona umevaa unakubali proposal ring na unajua nimerudi,we are supposed to be together as a family..yani mwaka mmoja tu ushapata boyfriend? Neema akamwambia yoh! Ni fiance si boyfriend,Mark ni my fiance ama hunioni na ring...kisha Neema akamwambia,heri mimi imenichukua mwaka kuwa na boyfriend,what of you mwenye ulikua na dem yako just the same day ulitoka kwangu? Eddy alijaribu kujitetea lakini Neema akamwambia sikiza Eddy Samuel,uko na uhuru wa kuona watoto wako venye unataka but for me,iam Mark's property na uache kuingilia maisha yangu na Mark. Neema alimfungia Eddy mlango nje! Sina,wakati wako.

Jojo amemngoja mamake,akamuuliza,what's this,unapewa ring na bado uko married? Neema akamwambia yoh, sikujua yafaa nikuombe ruhusa..mimi na Mark tunapendana and nothing will change,get use that as early as now. Jojo alaimwamba k**a ni hivyo,then mimi na Ian tunatoka hapa..Neema alimwambia I already have your custody,na hakuna pahali mnaenda,period! Jojo aliambia mamake,iam already 18yrs so ia good to go...

Neema aliona ooh,so sitabishana na haka,kaende tu!

Huku hosi Lari aliambia Solomoni,yeye hajui kwenye Cate anakaa but Solomoni akasema na hiyo mimba lazima hakai mbali...

Babu alicall Neema kuuliza k**a watoto washarudi na Neema akaconfirm yeah, watoto washarudi. Babu Jay akamuuliza k**a waliletwa na Eddy,na Neema akamwambia yeah but akaambia babake,yeye na Eddy ishaisha and mimi na Mark tunapanga wedding soon. Babu Jay akamwambia hata hivyo, mimi na wife wangu tumeamua hatuendi honeymoon hadi mumalize story za divorce.

Jojo walikuja kuongea na Val na akamwambia venye soon watamove in na baba yao and she is soo happy about it lakini Val akamwambia, hata k**a mnamove in sijui k**a umenotice mamako hataki kuwa na babako? Jojo anajua thats the truth but akaambia Val,this is the part huwa nakuambia,MYOBπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Siku iliyofuata,Mark alikuja akampata Tom akamwambia jana kulikua na shida kiasi,Cate alienda kumeet uncle Lari na ba

ππ„π„πŒπ€ πŸ‘πŸπ’π“ πŒπ€π‘π‚π‡ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Follow MijiKenda𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Its aroundMijiKendao Val anafika kwa Mark huku mamake anamcall a...
28/03/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸ‘πŸπ’π“ πŒπ€π‘π‚π‡ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Follow MijiKenda
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Its aroundMijiKendao Val anafika kwa Mark huku mamake anamcall anamuuliza wewe mtoto umeenda wapi? Val akamwambia yoh,mum leo ni harusi yenu na hamjaenda honey moon so nikaona niwaache lakini Sharon ak**auuliza unaniachache na babako peke yetu? Val akamwmabia relax,unaongeaje as if baba hukula watu...Sharon akamuuliza na naona ataanza leo sasaπŸ˜‚πŸ˜‚Val alikachora,akaona aende apee mamake na babake space ya kuwa wawili! Sijui k**a mnaelewaπŸ˜‚πŸ˜‚

Val alifika but Jojo hakua,akaambiwa wameenda out na baba yao maybe watarudi late night.

Mark chenye kinamsumbua ni huyu babake Cate ni tu aina gani,yani mwanaume haachi mtoto akae na amani...

Sasa Sharon alimuuliza Dan,ulijua Val anaenda kwa kina watu? Dan akamwambia relax, hajaenda kwa kina watu ameenda kwa Neema na Mark,Sharon akamuuliza ooh,so ukaambia mtoto aende tubaki wawili ndio unifanyie maneno sindio! SindioπŸ˜‚πŸ˜‚Yani hadi Dan ashaanza kumshika shika Sharon,akamwambia darling,usinifanye hivi leo,nipeko tu!πŸ˜‚πŸ˜‚ni mwanzo mpya huo! Sharon alimuuliza sasa unataka kuliaπŸ˜‚leo Dan ameamua lero lero ni leeeeero! Hadi akamsurprise Sharon na kazawadi kwa necklace ingine expe sana. K**a kuna kitu hujazz Sharon ni tuzawadi😍😍This is love now..

Richard akiwa na Olivia,anapigiwa simu na Naomi but Richard anakata tu hadi Olivia akamwambia please babe just pick usikie anasema nini. Richard akapick akamwambia sikiza Naomi,kesho whether hauko ama uko,court inapeana finaly verdit ya divorce na from sai usinipigie pigie simu usiku,utaniharibia ndoa yangu hapaπŸ˜‚

Huku hosi,Solomoni aliambia Lari sikiza,hata k**a wewe ni bro wangu,just because hajaniset kwa polisi usidhani mambo imeisha,wewe pona pona haraka then nideal na wewe venye inafaaπŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²the audacity!

Cate ashatulia na amelala. Neema alikuja kumuona na first thing Cate alinotice ni ring kwa kidole cha Neema akamwambia manze,usiniambie M

08/03/2025

Huyu Presenter Kai .... Mwambie aachane na wake za watu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… undadza bigwa....

Nimemuona mkeo..amempigia magoti mchungaji kanisani... Nyumbani anakuwaga hivyo ama...
01/03/2025

Nimemuona mkeo..amempigia magoti mchungaji kanisani... Nyumbani anakuwaga hivyo ama...

My "where did you get my number from " yunajita.....πŸ₯²
01/03/2025

My "where did you get my number from " yunajita.....πŸ₯²

24/02/2025

Good night....Find time for yourself

17/02/2025

Uchonyi ugali
Lofty Matambo

11/02/2025

Lamukadze

09/02/2025

Kudzacha, kumekucha

08/02/2025

Mulazeto, Good night

08/02/2025

Mulamukadze kuno

Address

Kilifi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MijiKenda posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share