Malkia Lozi

Malkia Lozi Journalist,
Digital Creator
Content Creator
Fashion Brand Ambassador
Storyteller

Yaani mara ya mwisho Arsenal kushinda EPL nilikuwa sijazaliwa😂 Hii ndio ile unaskia ngoja deal fulani iivane.
20/05/2026

Yaani mara ya mwisho Arsenal kushinda EPL nilikuwa sijazaliwa😂 Hii ndio ile unaskia ngoja deal fulani iivane.

19/05/2026

Kuna mtu amelala saii na kwao bado wanakunywa Chai na vikombe 😂😂😂

Before U like this photo, umeipata ikiwa na likes ngapi? Me nimeipata 0.saiii Iko 1
16/05/2026

Before U like this photo, umeipata ikiwa na likes ngapi? Me nimeipata 0.saiii Iko 1

Mapema nimejieleza mapema....
16/05/2026

Mapema nimejieleza mapema....

Niko live kwenye Coco FM Karibu tujifunze lugha ya kiswahili. 🙏Coco FM
16/05/2026

Niko live kwenye Coco FM Karibu tujifunze lugha ya kiswahili. 🙏
Coco FM

16/05/2026
Kuibiwa simu na kuibiwa mpoa gani inauma zaidi?
14/05/2026

Kuibiwa simu na kuibiwa mpoa gani inauma zaidi?

Men be honest, what's one thing that made you lose interest in the lady that you truly loved.
12/05/2026

Men be honest, what's one thing that made you lose interest in the lady that you truly loved.

Yaani kuna wakati mpenzi wako anakupenda mpaka unatamani ukatoe ushuhuda kanisani kisha kuna wakati anakuudhi hadi unata...
12/05/2026

Yaani kuna wakati mpenzi wako anakupenda mpaka unatamani ukatoe ushuhuda kanisani kisha kuna wakati anakuudhi hadi unatamani umtoe k**a dhabihu kisha ya kuteketeza🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Wewe umeona mahusiano sirious kati ya mwanaume mweupe na mwanamke mweusi?
12/05/2026

Wewe umeona mahusiano sirious kati ya mwanaume mweupe na mwanamke mweusi?

Address

Renatalozi98@gmail. Com
Kilifi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Malkia Lozi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share