MR VIBES

MR VIBES Road to 70k followers
GOD HELPS
FOR FUNS
ARSENAL DIE HARD Follo me on YouTube @ African talent 6
(5)

16/12/2025

BEB😍 ACHA POMBEπŸ˜‡ JIBU KA MLEVI🀨

09/12/2025

𝙬𝙖𝙝 π™’π™–π™Ÿπ™–π™’π™– 𝙒π™ͺπ™’π™šπ™–π™£π™œπ™–π™‘π™žπ™– π™£π™šπ™¬π™¨ π™¨π™–π™žπŸ€₯😡

08/12/2025

π˜½π™’π˜Όπ™‰π˜Ό π™”π™€π™Žπ™ π˜Όπ™Žπ™„π™π™„π™’π™€πŸ™ŒπŸ™πŸ™

07/12/2025

BREAKING NEWS
KCPE to be released tomorrow ministry confirm.

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘ π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Tyrone ndio anatoka kuenda kazini,kufika sitting room,akapata kuna mang...
07/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘ π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Tyrone ndio anatoka kuenda kazini,kufika sitting room,akapata kuna manguo za Tinah hapo zimetapakaa...kumbe ni nguo za Tinah. Saida pia ameshangaa ni za nani hizi. Tinah alikuja akaambia babake hizi ni zangu akaulizwa mbona ulete huku jamani? Tinah akamwambia tulia dad, nimeleta hapa ndio nizisort out nianze biashara kiasi za kuuza manguo. Tyron alicheka tu πŸ˜‚πŸ˜‚akamuuliza so umeanza kuuza mitumba? Tinah akamwambia yeah, nanza kuuza at least I earn something.

Tyron hakutarajia Tinah wake anaeza fanya hivi hadi akauliza Saida how do you think? Saida akamwambia naona kazi safi lakini sikutarajia kitoto k**a Tinah kinaeza....Tinah akamwambia usiniite kitoto wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asha pia alipita hapo akienda shule akaacha Celle Mtumba aendelee na mitumba zake.

Celestine anafanya hivi only to earn her dad's trust hadi Saida akamuuliza, uko sure wewe ama ni mchezo unafanya πŸ˜‚πŸ˜‚

On other side, Jemimah aliambia Robert,nataka unifanyie kazi,nataka unitolee Ivy kwa Chris. Robert akamwambia yoh,mimi aki usinieke kwa maneno ya ndoa yenu tafadhali,mimi mwenyewe sijaoa...but Jemimah akamwambia mimi shida yangu ni Ivy,she is going through alot. Hadi Jemimah akamwambia imagine if Ivy was your daughter? Robert akamuuliza so ukishachukua Ivy,what next? he will come to find out. Jemimah akamwambia usijali, I will have it under control.

Kumbe Asha na yeye πŸ˜‚πŸ˜‚alidanganya ati anaenda shule lakini hakuna shule alienda,kalikuja direct hadi kwa Ray. Ray kumuona akamuuliza unataka nini huku? Asha akamwambia nimekuja kwa mpenzi wangu na huko sirudi tena. Ray akamwambia apana, babako alitaka kuniweka ndani ona venye nimegongwa na kusalimiwa na makarao,please rudi tu, lakini Asha akamwambia sirudi,Iam here to stay na siondoki. wueh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tyrone na yeye kufika kwa ofisi,alimpata Chris amekaa kwa ofisi yake,akamuuluza unafanya nini hapa? Chris akamwambia unajua Robert anatumia pesa vibaya kwa pombe na kwa wasi

07/12/2025

ALERT❗️
K**a unajua ulitoa tracker kwa simu yako zima tu sai ni kubayaπŸ™„
πŸ™πŸš«πŸš«β›”

π™ π™žπ™©π™ͺ π™’π™€π™Ÿπ™– π™ͺπ™£π™–π™Ÿπ™ͺ𝙖 𝙠π™ͺ𝙝π™ͺ𝙨π™ͺ 𝙝𝙖𝙬𝙖 π™’π™–π™™π™šπ™’ 𝙬𝙖 π™ π™’π™©π™˜π™π™€π™‘π™‘π™€π™¬  VIBES
06/12/2025

π™ π™žπ™©π™ͺ π™’π™€π™Ÿπ™– π™ͺπ™£π™–π™Ÿπ™ͺ𝙖 𝙠π™ͺ𝙝π™ͺ𝙨π™ͺ 𝙝𝙖𝙬𝙖 π™’π™–π™™π™šπ™’ 𝙬𝙖 π™ π™’π™©π™˜
𝙁𝙀𝙑𝙑𝙀𝙬 VIBES

05/12/2025

BREAKING
Hustler Fund loan deductions from MPESA to start tomorrow.

πŸ˜›πŸ˜›Ushawahi ingia choo za kanjo kweliπŸ€—. Yani unajipta unacheka badala ya kushughulikia hajaπŸ˜ƒ. Ukiface ukuta unasoma maand...
01/12/2025

πŸ˜›πŸ˜›Ushawahi ingia choo za kanjo kweliπŸ€—. Yani unajipta unacheka badala ya kushughulikia hajaπŸ˜ƒ. Ukiface ukuta unasoma maandishi ya kiajabu k**a😎:
1. Umerudi tena?πŸ˜‡ Wah, si unapenda kukuniaπŸ˜…πŸ˜….
2.Unafunga mlango nan amekuambia anataka kuiba mavi yako☺.
3. Wewe endelea tu kukunia tu watu wengine wakitafuta pesa uko njeπŸ€”πŸ€”.
4. Unakunjia nani sura? Nani alikuambia kula githeri inakaa kokoto lunchπŸ™‚.
5. Aiii! πŸ€•Ata wew umezidi, kwani huchokangi kukunia.
6. Ungetia bidii hivyo ukiwa shuleni si ungekuwa mbali akiπŸ˜‘.
7. Na si unajua kupima 90Β° ndaniπŸ˜•, ungefanya hivyo hesabu kwa shule ungekuwa unatembea na gari sai.
8. Kwani unaenda na mboga kwa choo ama hiyo majani ni ya nini chooni?πŸ˜„MR VIBESLOW πŸ‘‡πŸ‘‡??πŸ‘‡
MR VIBES

Address

Kiminini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MR VIBES posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MR VIBES:

Shortcuts

Share