MR VIBES

MR VIBES Road to 70k followers
GOD HELPS
FOR FUNS
ARSENAL DIE HARD Follo me on YouTube @ African talent 6
(5)

09/12/2025

๐™ฌ๐™–๐™ ๐™ข๐™–๐™Ÿ๐™–๐™ข๐™– ๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐™–๐™ฃ๐™œ๐™–๐™ก๐™ž๐™– ๐™ฃ๐™š๐™ฌ๐™จ ๐™จ๐™–๐™ž๐Ÿคฅ๐Ÿ˜ต

08/12/2025

๐˜ฝ๐™’๐˜ผ๐™‰๐˜ผ ๐™”๐™€๐™Ž๐™ ๐˜ผ๐™Ž๐™„๐™๐™„๐™’๐™€๐Ÿ™Œ๐Ÿ™๐Ÿ™

07/12/2025

BREAKING NEWS
KCPE to be released tomorrow ministry confirm.

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ–๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘ ๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’ ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Tyrone ndio anatoka kuenda kazini,kufika sitting room,akapata kuna mang...
07/12/2025

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ–๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘ ๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’
๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Tyrone ndio anatoka kuenda kazini,kufika sitting room,akapata kuna manguo za Tinah hapo zimetapakaa...kumbe ni nguo za Tinah. Saida pia ameshangaa ni za nani hizi. Tinah alikuja akaambia babake hizi ni zangu akaulizwa mbona ulete huku jamani? Tinah akamwambia tulia dad, nimeleta hapa ndio nizisort out nianze biashara kiasi za kuuza manguo. Tyron alicheka tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚akamuuliza so umeanza kuuza mitumba? Tinah akamwambia yeah, nanza kuuza at least I earn something.

Tyron hakutarajia Tinah wake anaeza fanya hivi hadi akauliza Saida how do you think? Saida akamwambia naona kazi safi lakini sikutarajia kitoto k**a Tinah kinaeza....Tinah akamwambia usiniite kitoto wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Asha pia alipita hapo akienda shule akaacha Celle Mtumba aendelee na mitumba zake.

Celestine anafanya hivi only to earn her dad's trust hadi Saida akamuuliza, uko sure wewe ama ni mchezo unafanya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

On other side, Jemimah aliambia Robert,nataka unifanyie kazi,nataka unitolee Ivy kwa Chris. Robert akamwambia yoh,mimi aki usinieke kwa maneno ya ndoa yenu tafadhali,mimi mwenyewe sijaoa...but Jemimah akamwambia mimi shida yangu ni Ivy,she is going through alot. Hadi Jemimah akamwambia imagine if Ivy was your daughter? Robert akamuuliza so ukishachukua Ivy,what next? he will come to find out. Jemimah akamwambia usijali, I will have it under control.

Kumbe Asha na yeye ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚alidanganya ati anaenda shule lakini hakuna shule alienda,kalikuja direct hadi kwa Ray. Ray kumuona akamuuliza unataka nini huku? Asha akamwambia nimekuja kwa mpenzi wangu na huko sirudi tena. Ray akamwambia apana, babako alitaka kuniweka ndani ona venye nimegongwa na kusalimiwa na makarao,please rudi tu, lakini Asha akamwambia sirudi,Iam here to stay na siondoki. wueh ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tyrone na yeye kufika kwa ofisi,alimpata Chris amekaa kwa ofisi yake,akamuuluza unafanya nini hapa? Chris akamwambia unajua Robert anatumia pesa vibaya kwa pombe na kwa wasi

07/12/2025

ALERTโ—๏ธ
K**a unajua ulitoa tracker kwa simu yako zima tu sai ni kubaya๐Ÿ™„
๐Ÿ™๐Ÿšซ๐Ÿšซโ›”

๐™ ๐™ž๐™ฉ๐™ช ๐™ข๐™ค๐™Ÿ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™Ÿ๐™ช๐™– ๐™ ๐™ช๐™๐™ช๐™จ๐™ช ๐™๐™–๐™ฌ๐™– ๐™ข๐™–๐™™๐™š๐™ข ๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™ข๐™ฉ๐™˜๐™๐™ค๐™ก๐™ก๐™ค๐™ฌ  VIBES
06/12/2025

๐™ ๐™ž๐™ฉ๐™ช ๐™ข๐™ค๐™Ÿ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™Ÿ๐™ช๐™– ๐™ ๐™ช๐™๐™ช๐™จ๐™ช ๐™๐™–๐™ฌ๐™– ๐™ข๐™–๐™™๐™š๐™ข ๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™ข๐™ฉ๐™˜
๐™๐™ค๐™ก๐™ก๐™ค๐™ฌ VIBES

05/12/2025

BREAKING
Hustler Fund loan deductions from MPESA to start tomorrow.

๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›Ushawahi ingia choo za kanjo kweli๐Ÿค—. Yani unajipta unacheka badala ya kushughulikia haja๐Ÿ˜ƒ. Ukiface ukuta unasoma maand...
01/12/2025

๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›Ushawahi ingia choo za kanjo kweli๐Ÿค—. Yani unajipta unacheka badala ya kushughulikia haja๐Ÿ˜ƒ. Ukiface ukuta unasoma maandishi ya kiajabu k**a๐Ÿ˜Ž:
1. Umerudi tena?๐Ÿ˜‡ Wah, si unapenda kukunia๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….
2.Unafunga mlango nan amekuambia anataka kuiba mavi yakoโ˜บ.
3. Wewe endelea tu kukunia tu watu wengine wakitafuta pesa uko nje๐Ÿค”๐Ÿค”.
4. Unakunjia nani sura? Nani alikuambia kula githeri inakaa kokoto lunch๐Ÿ™‚.
5. Aiii! ๐Ÿค•Ata wew umezidi, kwani huchokangi kukunia.
6. Ungetia bidii hivyo ukiwa shuleni si ungekuwa mbali aki๐Ÿ˜‘.
7. Na si unajua kupima 90ยฐ ndani๐Ÿ˜•, ungefanya hivyo hesabu kwa shule ungekuwa unatembea na gari sai.
8. Kwani unaenda na mboga kwa choo ama hiyo majani ni ya nini chooni?๐Ÿ˜„MR VIBESLOW ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡??๐Ÿ‘‡
MR VIBES

Huku siri zinatoboka haraka k**a balloon. Jemima ashaaskia conversation ya Chris na Beshte yake and she now knows they a...
18/11/2025

Huku siri zinatoboka haraka k**a balloon. Jemima ashaaskia conversation ya Chris na Beshte yake and she now knows they are working together.
Follow for more updates MR VIBES

Bibi ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ alipika  mboga ๐Ÿฅ— yake na mumewe ๐Ÿง”. Wakati walipokaribia kula , wakaanza majadiliano haya .๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”:hii mboga umeto...
16/11/2025

Bibi ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ alipika mboga ๐Ÿฅ— yake na mumewe ๐Ÿง”. Wakati walipokaribia kula , wakaanza majadiliano haya .
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”:hii mboga umetoa wapi ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™?
๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: nimeitoa kwa nyaikombe .
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”: nini?! Kwa huyo mchawi?!nitajuaje hajaeka sumu kwa hiyo mboga๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ?
๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: nikona idea๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”

Bibi akapea doggy chakula kiasi . Baada ya dakika chache , doggy ikaenda kucheza ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: unaona ? Hiyo mboga Haina sumu ๐Ÿ˜ฒ.
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”: OK. Tule basi .

Baada ya kula , maid akaja akilia ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: nini unalia ?
๐™ข๐™–๐™ž๐™™: doggy imekufa ๐Ÿ™…๐Ÿ™…๐Ÿ™…๐Ÿ™…
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”: unaona? Mboga ikona sumu ๐Ÿ˜‰!
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”: (๐™–๐™ฃ๐™–๐™›๐™š๐™š๐™ก ๐™จ๐™ค๐™—๐™š๐™ง ๐™Ÿ๐™ช๐™ช ๐™–๐™ฃ๐™–๐™Ÿ๐™ช๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™™๐™–๐™ ๐™ž๐™ ๐™– ๐™˜๐™๐™–๐™˜๐™๐™š ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™›๐™– ) nikona confession!๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: What?
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”: vile haukuwa home tumenyanduana na maid raw kwa room yetu ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆผ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆผ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆผ
๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: (๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™–๐™จ๐™ž๐™ง๐™ž๐™ ๐™– ๐™—๐™ช๐™ฉ ๐™๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ก๐™– ๐™ ๐™ช๐™›๐™–๐™ฃ๐™ฎ๐™– ๐™Ÿ๐™ช๐™ช ๐™–๐™ฃ๐™–๐™Ÿ๐™ช๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™›๐™– ๐™ž๐™ฃ ๐™จ๐™ค๐™ข๐™š ๐™ข๐™ž๐™ฃ๐™ช๐™ฉ๐™š๐™จ ) nimekusamehea ๐Ÿ˜จ๐Ÿ˜จ๐Ÿ˜จ
๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: Mimi pia nikona confession promise utanisamehea vile nimekusamehea ๐Ÿ™…๐Ÿ™…๐Ÿ™…๐Ÿ™…
๐™ข๐™ช๐™ข๐™š๐Ÿง”: OK
๐™—๐™ž๐™—๐™ž๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฑ: Hawa watoto si wako . Baba Yao ni gateman ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฏ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฏ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฏ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฏ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฏ๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿฆฏ

Ghafla ,gateman akaingia ๐Ÿ˜‚.

๐™œ๐™–๐™ฉ๐™š๐™ข๐™–๐™ฃ๐Ÿง”๐Ÿฟ: boss. Msee amegonga mbwa na gari ๐Ÿš— ako nje. Anasema anataka kuomba msamaha kwa kuuwa mbwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿ’”

Kusema kweli chakula haikuwa na sumu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Follow Itz VIBES

Leo nimewaletea memes   VIBES
15/11/2025

Leo nimewaletea memes
VIBES

21/10/2025

Bro dating many girls is not swag,swag is dating 1 girl and making 100 girls jealous of her

Be a man not dog โค๏ธ๐Ÿซถ
follow๐Ÿ‘‰ MR VIBES

Address

Kiminini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MR VIBES posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MR VIBES:

Share