Radio Lamu

Radio Lamu LYA initiated Lamu Radio project that aims to be a media platform that will empower the community.

31/08/2025

Wazee nao sasa wako TikTok

Nandi Nyembe South African Star Amefariki Akiomba Msaada at 75Nandi Nyembe, one of South Africa’s most loved actresses, ...
31/08/2025

Nandi Nyembe South African Star Amefariki Akiomba Msaada at 75

Nandi Nyembe, one of South Africa’s most loved actresses, amefariki dunia akiwa na miaka 75. What shocked millions is how her final days were marked not by the glory of her legendary career, but by poverty and desperation. Katika video zilizosomeka sana, mam’Nandi alionekana amekaa kwenye wheelchair, akiwa na uso wa uchovu na mvi nyeupe, akiomba msaada wa kifedha ili kununua mahitaji ya msingi.

This reality broke many hearts because Nyembe was a household name. Katika miaka ya 1990 na 2000, sura yake haikosekana kwenye runinga za Afrika Kusini. Aliigiza katika vipindi vikubwa k**a Soul City, ambacho kilionyesha wazi changamoto za HIV/AIDS wakati bado ilikuwa ni mada ya aibu, na Yizo Yizo, kilichoonyesha maisha halisi ya mtaa. Alishiriki pia kwenye filamu Yesterday, ambayo ilifika kwenye Oscars mwaka 2004.

Her legacy was more than just acting. Alikuwa mwalimu, mentor na role model kwa vizazi vipya vya waigizaji. Lakini despite all this, mwisho wake ulifunua ukweli mchungu: kwamba waigizaji wengi barani Afrika, hasa South Africa, hawana pensheni, health cover au royalties kutoka kazi zao.

Industry leaders and fans alike wameeleza uchungu kwamba “ikiwa mam’Nandi aliishia kuomba msaada, basi kila mwigizaji yuko kwenye njia hiyo.” Hii imezua mjadala mkubwa juu ya namna serikali na mashirika ya filamu yanavyoshindwa kuwalinda icons zao.

Tutakukumbuka daima kwa moyo wako wa upendo na kujitolea, pumzika kwa amani Dominic
31/08/2025

Tutakukumbuka daima kwa moyo wako wa upendo na kujitolea, pumzika kwa amani Dominic

31/08/2025

Yoweri Museveni Aonyesha Nguvu Akiwa na Miaka 79, After 40 Years in Power Anarudi Kugombea Urais Mara ya Saba

Rais wa , Yoweri Museveni, aonyesha nguvu zake tena kwa vijana huku akithibitisha kuwa bado ana stamina licha ya umri wake mkubwa.

At 79, Museveni has already ruled Uganda for more than four decades, but now he plans to run for the presidency for the 7th time.

Museveni alipata madaraka mwaka 1986 baada ya vita vya msituni vilivyodumu kwa miaka mitano dhidi ya serikali ya Milton Obote na Tito Okello. Katika mapambano hayo, mmoja wa mak**anda wake muhimu alikuwa Paul Kagame, ambaye baadaye aliongoza vuguvugu la RPF na kuchukua madaraka nchini Rwanda mwaka 1994 baada ya mauaji ya kimbari. Wengi wanasema msaada wa Museveni na Uganda ulikuwa nguzo kubwa kwa Kagame

Mnamo mwaka wa 2020, akiwa na miaka 75, Museveni alifanya push-ups 30 akihamasisha wananchi kufanya mazoezi wakati wa Covid-19 lockdown. Sasa amewataka vijana wakimbiane naye, akionekana kujaribu kuonesha kwamba bado ana nguvu za kuendelea kuongoza.

Wakenya Wamwaga Bilioni 100 Kuingia DRC kwa resources ya Cobalt na ColtanWakenya wameweka karibu Sh100 bilioni ndani ya ...
31/08/2025

Wakenya Wamwaga Bilioni 100 Kuingia DRC kwa resources ya Cobalt na Coltan

Wakenya wameweka karibu Sh100 bilioni ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wakilenga kupata nafasi kwenye biashara ya madini yanayoendesha teknolojia ya dunia: cobalt na coltan. Hii si biashara ya kawaida, ni k**a kugusa moyo wa future ya tech.

DRC Ndio Msingi wa Tech Dunia

Kongo ndiyo powerhouse ya cobalt duniani. Inashikilia zaidi ya nusu ya akiba zote duniani na kuzalisha karibu asilimia 70 hadi 79 ya cobalt yote inayotumika kwenye betri. Pia ndio chanzo kikubwa cha coltan, chenye akiba karibu nusu ya yote duniani.

Kwa Nini Cobalt na Coltan Ni Gold Mpya

Cobalt ndio inafanya betri za magari ya umeme na simu kudumu, ziwe na nguvu na speed. Bila cobalt, hakuna EV, hakuna clean energy storage.
Coltan ikishachakatwa kuwa tantalum, ndio hufanya simu janja, laptops, vifaa vya ndege na hata mashine za hospitali ziwe stable na fast.

Wachambuzi hata wanaiita DRC “Saudi Arabia ya magari ya umeme” kwa sababu bila cobalt yake, EV industry inge-paralyze.

Kenya Inacheza Karata Kubwa

Kwa Kenya kuingia na Sh100 bilioni, hii ni k**a kuweka dau kwenye future ya dunia. Lakini changamoto ziko nyingi. Uchimbaji mdogo mdogo mara nyingi unahusisha hatari, watoto kazini, na abuse za haki za binadamu. Migodi ya cobalt na coltan pia imekuwa ikitumika na makundi ya waasi, ikileta vita na mateso.

Ajali ya Barabarani Yawaacha Watu Watatu Injured After Car Overturns on Tawa Ngoluni Road in MakueniWatu watatu wameumia...
30/08/2025

Ajali ya Barabarani Yawaacha Watu Watatu Injured After Car Overturns on Tawa Ngoluni Road in Makueni

Watu watatu wameumia vibaya baada ya gari dogo walilokuwa wakisafiria kupinduka mara kadhaa Jumamosi asubuhi katika barabara ya Tawa Ngoluni eneo la Kavemba, Kaunti ya Makueni.

Mashuhuda walisema dereva alipoteza mwelekeo na gari likapoteza usukani kabla ya kupinduka na kuharibika vibaya.

Wasamaria wema walifika haraka eneo la tukio na kuwatoa majeruhi, kisha kuwapeleka Hospitali ya Tawa Level 4 katika Kaunti Ndogo ya Mbooni.

Polisi wamesema uchunguzi unaendelea kubaini chanzo halisi cha ajali hiyo.

Mwanamke mwenye umri wa miaka 29 ameripotiwa kujichoma moto uko Makueni County kwa kutumia petroli katika kile polisi wa...
30/08/2025

Mwanamke mwenye umri wa miaka 29 ameripotiwa kujichoma moto uko Makueni County kwa kutumia petroli katika kile polisi wamesema ni jaribio la kujiua.

alifariki siku ya Jumamosi, at Kenyatta National Hospital, alikokuwa amekimbizwa baada ya tukio hilo.
Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Nzaui Agnes Kunga confirmed kifo cha mwanamke huyo

  Leader Mahmoud Abbas Akablokiwa na USA, Akizuiwa Kufika UN Meeting New YorkMarekani imezuia Rais wa Palestina Mahmoud ...
30/08/2025

Leader Mahmoud Abbas Akablokiwa na USA, Akizuiwa Kufika UN Meeting New York

Marekani imezuia Rais wa Palestina Mahmoud Abbas pamoja na zaidi ya officials 80 wa Palestina kuingia Marekani kwa ajili ya mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN General Assembly) mwezi ujao New York. U.S. State Department imethibitisha kwamba visas zao zimefutwa.

Kwa muda mrefu, Abbas amekuwa sauti ya Wapalestina kwenye majukwaa ya kimataifa. Lakini sasa denial hii ya visa imeonekana k**a kuwakata nafasi ya kuzungumza mbele ya mataifa yote.

Wakati huo huo, Israel Defence Forces (IDF) imetangaza City kuwa “dangerous combat zone” kabla ya mashambulizi makali kuanza. Jeshi la Israel limekiri limepata mwili wa mmoja wa mateka na pia mabaki ya mwingine katika operesheni ya Ijumaa.

29/08/2025

Wasee wa Lamu, usibaki tu na beat kwa bedroom, kuja kwenu Lamu Youth Alliance ujue how to turn hiyo craft, voice na vibes zako into a business!

29/08/2025

Karibu tusikize pamoja, Natural Justice show, on Radio Lamu 91.1 MHz. IDHAA YA JAMII

British Army faces criticism despite a historic payout over Kenyan wildfiresNAIROBI, Kenya (AP) — For the first time, Br...
28/08/2025

British Army faces criticism despite a historic payout over Kenyan wildfires
NAIROBI, Kenya (AP) — For the first time, Britain’s government has agreed to pay out millions in pounds to Kenyans to settle a civil lawsuit after its military forces had their legal immunity in Kenya lifted.

The payout of 2.9 million British pounds ($3.9 million) to settle damages for a wildfire accidentally started by British soldiers in Kenya in 2021 follows a landmark ruling that stripped the U.K. government and British Army of immunity from Kenyan civil suits.

That has opened a new chapter in accountability for foreign militaries’ actions on Kenyan soil, and the British military deployment in the country faces a series of controversies over the conduct of its personnel both in Kenyan and U.K. courts.

Address

55
Lamu
80500

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Lamu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Lamu:

Share

Category