Etau Television

Etau Television Turkanaโ€™s Premium Channel:
~Your Home Of News~
โ€ขJungle Newspaper
โ€ขEtau Radio
โ€ขEtau Digital

Contact
๐Ÿ“ง: [email protected]
!

30/05/2026

"Kuna watu wanapeana majina ya uwongo, tena za watu Wale hata hawajawai guza bunduki kwa maisha yao, majina hayo imepeanwa kwa maafisa wa usalama. sahizi hao watu wanahangaika mjini Lodwar hawajui watoe wapi silaha walisema wako nayo." ~ JEREMIAH LOMORUKAI, GAVANA TURKANA
!

23/05/2026

AH Jerseys and Sports Wear, Lodwar
Place Your order.
0704861293
!

23/05/2026

Hadhi na muonekana wa mji wa Kakuma katika kaunti ya Turkana huwenda ikapata muonekano mpya na kuimarika zaidi Kibiashara baada ya mashirika ya KKCF na IFC kuwapa wafanyibiasha mafunzo na ufadhili wa kuimarishara biashara zao. Wakizungumza kwenye kongamano la kibiashara, wafanyibiashara hao wanasema biashara inazidi kuimarika pamoja na upatikanaji wa huduma mbalimbali za kiserikali.
!

19/05/2026

"Maisha yamekuwa magumu, Serikali haijali mwananchi wa kawaida. Kupunguza Sh10 kwa mafuta ilhali ilpanda kwa zaidi ya Sh50, bado hawajasaidia. ~ WAKAZI KAUNTI YA TURKANA
!

17/05/2026

๐“๐‡๐„ ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ• ๐„๐‹๐„๐‚๐“๐ˆ๐Ž๐: ๐‚๐Ž๐ƒ๐„ ๐Ž๐… ๐‚๐Ž๐๐ƒ๐”๐‚๐“
"Candidates who engage in inciting violence, disrupting the electoral process or using youth to cause chaos will be barred from vying in the 2027 elections." ~ ERASTUS ETHOKON, IEBC CHAIRPERSON
!

14/05/2026

"The Ateker leaders' council aims to promote peace stability within the Ateker region and its staff should be over 70% of Ateker people. I therefore request the Cabinet Secretary, Beatrice Askul to protect the council." ~ JEREMIAH LOMORUKAI; GOVERNOR, TURKANA
!

12/05/2026

"Wadi ya Lokiriama/Lorengippi maendeleo ni k**a ndoto! Hatuna mtetezi wa kupigania na kuwasilisha hoja zetu. Watu wangu naomba mnichague, 2027 nawania kiti Cha MCA kwa lengo la kukomboa Lokiriama/Lorengippi kimaendeleo." ~ WALTER EWOI EYANAE, MGOMBEA 2027
!

06/05/2026

Contractors in Turkana County are protesting delays in their payments. In Kalokoda, Turkana south, those contracted to construct ECDE classroom have threatened to demolish the building if they are not paid on time.
!

05/05/2026

"Huyu rafiki wangu Mbunge wa Turkana North anamenyana na mimi kutafuta kiti cha ugavana, asifikiri ni rahisi kuipata. Sasa ameshikwa na stress hadi ameanza kuwa na nywele nyeupe, istoshe anatumia lugha ya matusi kunidhalilisha akidhani itampatia kura."
!

04/05/2026

"We will not tolerate this misconduct of some institutions that are defrauding the county government by submitting falsified student lists, they will be shut down. These schools end up receiving over Sh500,000, while students who genuinely need fees are struggling at home."
!

Address

Lodwar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Etau Television posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Etau Television:

Share