30/05/2026
"Kuna watu wanapeana majina ya uwongo, tena za watu Wale hata hawajawai guza bunduki kwa maisha yao, majina hayo imepeanwa kwa maafisa wa usalama. sahizi hao watu wanahangaika mjini Lodwar hawajui watoe wapi silaha walisema wako nayo." ~ JEREMIAH LOMORUKAI, GAVANA TURKANA
!