Jay S Wadhamas 1

Jay S Wadhamas 1 1."Michezo na Udaku Moto Moto - Ndani ya Jay S Wadhamas 1."

2. "Jay S Wadhamas 1 - Digital Magazine ya burudani na Habari kali."

3.
(2)

"Filamu, Simulizi, Michezo na Udaku... Hapa ndipo nyumbani."

4. "Burudani Kila Siku, Habari Kila Dakika."

Nilijikuta tu nimebaki town. 💔Three days ago, we met one Frederick, who was sleeping by the roadside, worried about what...
11/08/2026

Nilijikuta tu nimebaki town. 💔

Three days ago, we met one Frederick, who was sleeping by the roadside, worried about what he would eat that day. We didn't get to talk much with him until the following day, when he called us using the number we had given him. We met him again, and he had a lot to share with us.

"Ni uncle alinileta town, akaniambia nimngoje kwa hoteli na hakurudi. Nilikuwa 15 years, sikuwa na pesa, ikabidi nifanye kazi kwa hoteli hiyo, sikulipwa.
Baadaye, wakaniajiri kufanya hapo, halafu kufika jioni wananipea chakula na nalala kwa verandah ya hoteli. Nikafanya for more than one year. Nilipokuwa mgonjwa, waliniambia nirudi nyumbani, na sijawahi rudi huko sababu sina fare ya kuenda, ni upande wa Bunyore. 😭

Niliambiwa babangu alifariki nikiwa 6 months, mama akafariki nikiwa 13 years. Vile mama aliaga, nikachukuliwa na uncle ambaye aliniahidi atanisomesha wakati wa matanga ya mom. Baadaye akanileta isinya, sijui mahali alienda. Ni yeye tu nilikuwa naye. Sina shosho, sikuwahi kuona grandfather. 😢

Kula kwangu ni bahati, sababu wengine nikiwaomba wananiita chokoraa na kunitupia vitu. Nikienda kwa mjengo na nibahatike kupata hata KSh 500, hiyo ndiyo inanisaidia hata for one month. 😭

Tangu siku hiyo, nimekuwa na shida sana sababu siwezi pata hata kibarua kwa sababu sina ID, but nishafika 18 years..."

After listening to story, the first step we took was to help him begin the process of getting his documents. Today, he successfully received his Birth Certificate and applied for his national ID, receiving his ID waiting card as we now await the processing of the actual ID. 🥲



Follow Jay S Wadhamas 1

The first and bigggest reason why I could never become a lawyer is because of the licking that goes on there in court. M...
10/08/2026

The first and bigggest reason why I could never become a lawyer is because of the licking that goes on there in court. Mimi Mwanaume mzima nilitairi msitu, nivae wig niingie court kuita jamaa ingine pia imevaa wig ati my lord na anga your Majesty. What kind of humiliation is this? Buana some things are just demasculating.

K**a si hiyo, ati ni lazima uiname ukiona magistrate. Na saa hiyo Mwanamke? Wacha ikae tu. And it doesnt end there, magistrate akiingia sasa na mlikua mmekaa chini lazima msimame. Awaambie ‘good morning you can sit down’. This is premium bladifakinness buana.

Wacha tubaki mjengo tu, atleast here we have dignity. K**a jana tumeitana ghasia na contractor, na tuk**alizana. Buana these courts are very motherly. I cant believe this is where countrys decisions are made. I miss the days when we had Elders

Follow Jay S Wadhamas 1

Huyu ni muhubiri wa kanisa fulani, k**a unamjua mtaje kwa jina
09/08/2026

Huyu ni muhubiri wa kanisa fulani, k**a unamjua mtaje kwa jina

09/08/2026

Utamu wa nduma (arrowroots) upo katika ulaini wake wa asili na ladha tamu unapochemshwa au kupikwa vizuri. Wengi hupenda kula nduma zikiwa zimechemshwa tu na chumvi au kwa chai ya moto.

Njia za Kufurahia Nduma

Kuchemsha: Weka nduma zilizosafishwa kwenye sufuria, ongeza maji na chumvi kidogo, kisha chemsha hadi ziwe laini.

Kukaanga (Kupika na Mchuzi au Viungo):

Unaweza kuzikaanga kwa vitunguu, nyanya na viungo k**a kitunguu saumu, au kuzipika na nyama/tui la n**i ili kupata ladha ya kipekee.

Tazama video hii fupi kuona jinsi unavyoweza kuandaa nduma kwa mtindo mtamu na wa kuvutia:

Hii kwa lugha yako inaitwajeJay S Wadhamas 1
07/08/2026

Hii kwa lugha yako inaitwaje

Jay S Wadhamas 1

Huu  ni mmea wa ajabu unaojulikana  kwa Kiingereza  k**a Lion’s Ear, Lion’s Tail, au Wild Dagga. Kitaalamu, unajulikana ...
07/08/2026

Huu ni mmea wa ajabu unaojulikana kwa Kiingereza k**a Lion’s Ear, Lion’s Tail, au Wild Dagga. Kitaalamu, unajulikana k**a Leonotis nepetifolia. Katika maeneo ya hapa Tanzania unajulikana k**a wasukuma nsogeti , Omubirizi kwa Wahaya , Olkiloriti kwa waarusha ,wamasai ,na Kwa Maeneo mbalimbali ya Kenya na kwingineko, una majina tofauti ya Asili k**a Nyanyodhi kwa Waluo, Tsutsune kwa Waluhya, Mosibjot kwa Wakalenjin, Gichibi kwa Wameru, na mengine mengi.

》》 Hili linaloonyesha matumizi yake ni mapana na umuhimu wake wa kitamaduni. Hata kimataifa, unajulikana k**a chandelier bush nchini Trinidad na ball bush nchini Barbados.

》 Huu ni mmea wenye majani mapana ambao umekuwa ukithaminiwa kwa vizazi vingi kutokana na sifa zake nyingi za kitabibu.

》 Kiasili, mmea huu Huwa nauchukulia kuwa dawa yenye nguvu kwa matatizo mbalimbali ya afya.

》 Hutumika sana kutibu matatizo ya tumbo k**a maumivu ya tumbo, gesi (kujaa tumbo), kuharisha, kuhara damu (dysentery), kilimi, maambukizi ya amoeba, na bakteria wa H. pylori. Pia unaaminika kusaidia kudhibiti shinikizo la damu, matatizo ya tezi (thyroid)—iwe imezidi au imepungua na kupunguza uvimbe mwilini.

》 Kwa afya ya wanawake, mmea huu una thamani kubwa sana kwao .

☆ Hutumika kusaidia kurekebisha hedhi, kuleta hedhi iliyochelewa au kupunguza , pia kwa wenye shida ya kutokwa na damu nyingi.

》 Baadhi ya jamii wanaamini kuwa husaidia kuongeza uwezo wa kushika mimba na kusafisha mfumo wa uzazi.
》 Pia husaidia kupunguza maumivu ya hedhi na usumbufu wa tumbo.

》》 Magonjwa ya mfumo wa upumuaji k**a mafua, kikohozi, homa ya mafua, pumu, na kubana kwa kifua hutibiwa kwa kutumia mmea huu.

》 # Njia za matumizi ni pamoja na kuchemsha majani au mmea mzima na kunywa maji yake, au kuvuta mvuke (steam) kutoka kwenye dawa hiyo. Uta (nectar) kuvuta utamu kutoka kwenye maua yake, ambao mara nyingi hupendwa na watoto, husaidia kupunguza dalili za mafua.

》》 Mmea huu pia hutumika kwa matumizi ya nje ya mwili. Unaheshimiwa sana kwa kutibu majeraha, kuungua, maambukizi ya ngozi na vipele. Baadhi ya njia ni pamoja na kutumia majivu ya maua yaliyochomwa na kupata usila wake au kupaka majani yaliyosagwa kwenye eneo lililoathirika.

》 Pia hutumika kwa maumivu ya meno, tonsillitis (kwa kutafuna majani), maumivu ya sikio (kwa kuweka juisi ya majani), kilimi kwa kuchemsha majani na hata kusafisha macho ..

》 Aidha Faida nyingine , hutumika katika kudhibiti homa, malaria, mzio (allergies), maumivu ya mgongo, kizunguzungu, na hata matatizo k**a ngiri (hernia).

》》 Utafti wangu mdogo juu ya mmea huu Baadhi ya jamii hutumia k**a dawa ya minyoo na kusaidia tatizo la kufunga choo.

♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡

Njia za maandalizi hutofautiana. Njia ya kawaida ni kuchemsha mmea mzima au sehemu zake (majani, mizizi, au maua) na kunywa mara moja au mbili kwa siku.

Majani yanaweza pia Kukaushwa na kusagwa na kisha mtu akanywa moja kwa moja na maji ya uvuguvugu, au kukaushwa na kusagwa kuwa unga na kutumika k**a chai. Kwa baadhi ya matumizi, dozi ndogo na za tahadhari napendekeza, hasa unapoitumia mizizi kwa sababu ya nguvu yake.

Kihistoria na kitamaduni, mmea huu una kumbukumbu nyingi za utotoni. Watu wengi hukumbuka kunyonya utamu wake kutoka kwenye maua yake au kutumia mashina yake kutengeneza vitu vya kuchezea.

》 Baadhi ya matumizi mengine ya Kiasili ni pamoja na kuvuta (k**a sigara) majani au maua yaliyokaushwa kwa ajili ya kupunguza msongo au maumivu ya kichwa, ingawa inaweza kuwa na athari ndogo ndogo za kubadilisha hali ya akili (psychoactive), hivyo inapaswa kutumika kwa tahadhari.



Ni follow Jay S Wadhamas 1 Nawapenda sana

Nyama ya nguruwe, inayojulikana na watu wengi k**a kiti moto, mdudu,mbuzi katoliki n.k,  ni miongoni mwa nyama yenye lad...
07/08/2026

Nyama ya nguruwe, inayojulikana na watu wengi k**a kiti moto, mdudu,mbuzi katoliki n.k, ni miongoni mwa nyama yenye ladha tamu zaidi duniani na hutumiwa na watu wengi. Kwa sababu ya mafuta mengi na jinsi ilivyo laini hutumiwa zaidi na watu ambao dini au utamaduni wao haukatazi matumizi yake.

Kwa watu ambao hawatumii nyama ya nguruwe hufuata imani za kidini au kitamaduni ambazo huamini nyama hiyo kuwa ni najisi. Mbali na sababu za kidini, nguruwe inaweza isiwe nzuri kiafya k**a watu wengi wanavyofikiria.

Licha ya utamu wake huo, nyama ya nguruwe si salama kiafya maana inaweza kushambuliwa na magonjwa mengi, kwenye makala hii tutaangazia magonjwa matatu yatokanayo na nyama ya nguruwe.

Ugonjwa Wa Ini

Ini ni moja ya viungo muhimu katika mwili wa binadamu, uharibifu mdogo wa ini unaweza kuathiri afya ya mwili mzima, nyama ya nguruwe ina mafuta mengi ambayo yanaweza kuleta athari kwenye ini. Ulaji wa nyama ya nguruwe unaweza usiathiri sana ini lakini utumiaji wa mara kwa mara ni hatari kwa afya.

Ugonjwa Wa Minyoo ( Trichinosis) mdundo.com/song/1011319

Ugonjwa huu unasababishwa na ulaji wa nyama ambayo haijaiva, kitendo cha kula nyama ya Nguruwe ambayo haijaiva vizuri hukuweka hatarini kupata ugonjwa huu unaosababishwa na minyoo aina ya tegu.

Katika upishi mdudu huyu huenda asife kwa sababu ya mafuta mengi kwenye nyama, hatari , mdudu huyo anaweza athiri sehemu ya ubongo na kusababisha ugonjwa wa degedege ambao usipochukuliwa hatua za haraka unaweza pelekea ugonjwa wa kifafa.

Shinikizo La Damu

Ulaji wa nyama ya mdudu daima hupelekea shinikizo la damu, nyama hii ina kiwango cha juu cha cholesterol. Kuongezeka kwa cholesterol mwilini husababisha kuziba kwa mishipa ya damu ambayo inaweza sababisha tatizo la shinikizo kwenye moyo, inashauriwa watu wanaokula nyama ya nguruwe wanapaswa kufanya mazoezi sana.

Kula nyama ya nguruwe husababisha unene ambao unaweza kuathiri afya. Ulaji wa nyama ya nguruwe ni hatari kwa afya, chukua tahadhari.



Jay S Wadhamas 1

Sidhani k**a kuna dem anaeza maliza slices nne za mkate. 🤪🤪🤪mdundo.com/a/15130
07/08/2026

Sidhani k**a kuna dem anaeza maliza slices nne za mkate. 🤪🤪🤪

mdundo.com/a/15130

Short and brief answers onlyJay S Wadhamas 1
07/08/2026

Short and brief answers only

Jay S Wadhamas 1

Usiombe maisha MAZURI tu. Omba Mungu akupe na nguvu ya kuvumilia maisha MAGUMU na matatizo yatakayo kupata.  Jay S Wadha...
07/08/2026

Usiombe maisha MAZURI tu. Omba Mungu akupe na nguvu ya kuvumilia maisha MAGUMU na matatizo yatakayo kupata.



Jay S Wadhamas 1

Address

Esibila-Ebusiekwe
Luanda

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jay S Wadhamas 1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category