Becky citizen tv

Becky citizen tv keep smilingπŸ₯°
(1)

25/07/2025

HelloπŸ‘‹

18/06/2024

Sometimes its hard to know who loves you genuinely...marafiki wengine utake advantage of our good hearts😭

14/06/2024

Kati ya neema na becky gani nzuri?

28/04/2024

Sshhh...guys have you watched this?? If yes type tittle and if no go to jacky matubia's channel and watch..it's litπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

05/03/2024

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: ππ„π‚πŠπ˜ πŸ“π“π‡ πŒπ€π‘π‚π‡

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏

Becky alimuongelesha Imelia hadi akaingia box akaamua kubaki kwa Lexy,and that was one,very big,mistake. Becky aliambia Lexy madhe amekubali kubaki you will work on your issues,Lexy akashukuru na akasema hatasumbua madhe tena hadi room yake iundwe. Moh ashaenda kutengeneza room ya Imelia already na Becky akaambia madhe,aki nitakumiss huko kwangu,Imelia akamwambia pia nitakumiss but nitakua nakuja kutembea bora tu usimwagilie maji kwa malazi yangu...that was a direct hit kwa LexyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Becky ndio huyo akaondoka,na Imelia akaambia Lexy pia anaenda kwa room apumzike kiasi, lakini Lexy akasema nini "this one down,one more to go " na one more ni nani? Pupa,aah! Makosa. Lexy,alikua na mission yake kutaka mamake akuje huku,that deal was too good and now Imelia kiko karibu kukuramba mamaa...how I wish!

Becky kufika huku nje akiwa na Moh,Moh akamwambia sasa sikiza Becky, ni wakati wetu huyu mama atupe mali,si tushamsaidia kuwa na mtoto wake? Becky akamwambia usijali,Imelia anajua chenye anafanya ,yeye ni muwise sana. Imelia alikua hapo juu anawachungulia chungulia,so Becky inabidi aongeleshe Moh kimachungu but ajifanye wanacheka,sasa Moh na yeye pia anaanza kumshika Becky akimfinya but anajifanya anampapaza,ju Imelia anawaangaliaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Becky alirudi akafika home Junior ndio anamalizia chakula,akamwambia baabe,hauezi kuwa romantic uningoje sweetie? Junior akamwambia aii,hakuna uromance kwa chakula,nilikua njaa mbaya,Becky akanotice,Jeff hayuko,akauliza Junior,baba Jeff,mtoi ako wapi? Junior akamwambia ameenda nje kutembea na Pupa wanarudi. "Ati kutembea na Pupa",Becky alijam,akamuuliza mtoto wangu unapeana kwa stranger? Junior akamwambia Pupa si stranger wajameni lakini Becky alimuita my friend,sikiza, mtoto wangu huwezi peana kwa mtu hatujui so sikiza bro,toka nje utafute mtoto. Junior akamwambia come on its Pupa,lakini Becky ako serious,thank God punde si punde, Pupa na Jeff wakarudi,walikua wameenda kuuza vitu fulani na hata kaJeff pia kamepata kacommisision kiasi.

Becky sasa anajifanya ati amefurahi Pupa kutembea na Jeff na venye ametetesha Junior,Jeff aliuliza Pupa k**a kesho atakuja tena amchukue? Pupa akamwambia yeah usijali,uko msharp sana. becky akaambia Jeff aingie kwa nyumba lakini Junior amebambika,kuona mtoto wake ako msharp na anaeza chapa buzz shida tu ni Becky...

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Imelia ashafika kwa room yake na ashaletewa lunch na Moh,akamwambia Moh,si ungeacha nikuje tu huko chini? Moh akamwambia relax queen of the house,mbona ukuje na niko hapa kukuhudumia? Imelia akamwambia its ok,but hungejisumbua,kisha Moh akamuuliza madhe,si bado niko kwa ile plan yao? Imelia akamwambia yeah,wewe kuwa tu mtoto mzuri,utapata mazuri na Imelia akainsist,akamwambia iam sorry kwa yale ulipitia ukigrow up,Becky aliniambia kila kitu na si kwa ubaya,just forgive your mum kwa kutokuelewa. Moh didnt see that coming...

Becky na yeye aliwakia Junior but akatulizwa ma akaulizwa kwa mansion kuliendaje? Becky akamwambia wueh, tulijaribu at least sai Lexy na Imelia wako k**a daughter na mother alafu kuna venye Lexy hadai story zako na hataki kukuona huko kwa mansion...already tushajua mbona Lexy hataki Junior huko ju anajua akona mission.

Junior akaambia Becky by the way,Pupa aliniambia kuna venye Trisha alibribe Moh wenu ili waget rid of Pupa na Imelia na ni Lexy aliambia Pupa. Becky alishangaa sana,iweje amekua na Moh na Moh hajamwambia kitu k**a hiyo.

Huku kwa mansion Imelia ako happy sana na ashaambiwa na Moh kuhusu deal ya Trisha kumaliza Imelia na Pupa na Imelia ashajua ni Lexy alienda kuwarn Pupa.

Hii kitu haikalii Becky poa,ati Lexy akawarn Pupa hadi akaambia Junior huoni kuna kitu kati ya Lexy na Pupa? Junior akamwambia siezi jua but kukiwa wakifendana iko tu sawa ju still Lexy alifanya poa kuambia Pupa. Kisha Becky akaambia Junior,guess leo venye Moh ameniambia,anataka share yake? Junior akamwambia but uzuri Imelia is a super wise,anajua chenye atafanya kisha Junior akamwambia manze tuache kudepend kwa watu tuanze kujisimamia. Becky akamwambia thats great idea,ju hata pia mimi ni mtu wa hospitality so nikienda kufanya tourism iko tu sawa. Junior akamwambia kwanza venye wewe ni young beatiful talented,you can make both ends meet but Becky akamwambia thanks to you,iam now a form 3 dropout,bila papers hakuna wera ya maana naeza pata,na mimi kufika kwenye niko ni kuwa na hope,and maybe,,just maybe ningetoa ball ya Jeff ningemaliza shule poa ju nilikua na sponsors wengi sana wangenisupport but venye walijua nko ball,waliondokea,na ball ilikua yako. Hii nayo,Becky aliongea kwa uchungu sana,in as much she kept the pregnancy,it has costed her alot of things she cod have achieved if she wasnts pregnant while in school,wah! This one,slaps and hurts the deepest.

May God stand with all single mothers,you deserve another chance to make yourselves happy and happy in whatever you do. I love you all.

Hadi kesho,majaliwa.

31/01/2024

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: ππ„π‚πŠπ˜ πŸ‘1𝐓𝐇 𝐉𝐀𝐍
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Tunaanza kwa Trisha amekaa hapo kuna jamaa analetalea Trisha maji. Kidogo Amilia anakuja anamuuliza what happened?? Trisha anaanza kwa kusita hataki kuongea lakini kidogo anaanza kulia anawaambia Moses is dead. Makosa. Amilia anamuuliza what!!!!!!weeu hapo Hatujui what happened. Kumbe jamaa alikua amesimama hapo ni detective. Detective anawaambia am here and I will be investigating what happened. Amilia anamuuliza what happened? Trisha anamwambia sijui mimi tulikua poa akafika asubuhi ndo nikapata ameaga. Amilia anamuuliza aje sasa na wewe ndo mnakua na yeye?? Trisha anaanza kulia hapo. Detective anawaambia and it seems it was a natural death. Makosaaa!!! Aje sasa? But si amesema wacha tuamini.

Lexy na yeye anacomment vibaya mamake anakuja anataka kumpiga wanaletana juu na Amilia. Amilia anauliza huyu ni mtoto wa nani anaongea hivi lakini??? Wanataka kupigana lakini Tito anatoa Lexy hapo, nao kina Becky wanatoa Amilia huko. TITO anamwambia wewe ni nini si utulie bana na si wewe ndo umebaki na mali mob mbona unavuruga?? LEXY anamuuliza hivi ndo unaongelesha boss wako sindio?? Kidogo Tito anaishia.

Junior naye anakuja kufika kwa Becky hakuna mtu, anashangaa wameenda wapi hawa. Kidogo anaishia. Kwa Moses bado Trisha anajifanya hapo kulia eti hii haiwezi kuwa natural death. Amilia analia anamwambia hapo eti nilikua na Moses jana na alikua sawa najua ni wewe ulimuua. Trisha anaanza kulia eti how can i kill the love of my life? Detective anawaambia tulia kidogo hivi detective mwingine anashuka na tablets fulani, Anakuja anaambia kina Amilia kuna tablets nimepata na zitasaidia kwa uchunguzi. Trisha anakaa kushtuka Makosaa!!!

Amilia anaanza kuwaambia how comes eti after ametransfer mali kutoka kwa Lexy kuja kwa jina yake ndo anakufa?? Najua ni wewe umemuu*a. Hapo ndo Amilia anamwambia jana tulikua tunacheka na yeye how comes??? Becky akasema yes it's true huenda ni huyu dem alimmaliza. Becky anawaambia this is the second person amek*ufa after amemhost. Detective anauliza ebu fafanua? Becky akamwambia kuna beshte yangu aliaga just afew days after hosting her. Alipatikana amejihun*g na ameaga. Trisha anaingilia eti and am the one who reported it how comes na mbona nko hapa sikushikwa if am the one who did that? Trisha hapo analia crocodile tears.Detective wa k**e anawaambia remember somebody is confirmed gulity after investigations zimefanywa. Detective mwingine anawaambia kulingana vile mnasema there's alot to be unveiled. Hapo ndo Detective anaambia Trisha now can you stand up tutaenda na wewe Mpaka station for more investigation. Trisha anaamka na bado anajifanya kulia Tu.

Becky wanatoka nje na Amilia anaambia Becky i told Moses about this girl. Becky anamcomfort hapo anamwambia i think huyu Trisha ako innocent. Amilia anamuuliza what ? Si umekua side yangu kwa nyumba mbona unasema hvo? Becky anamwambia but mom hatuna evidence aki. Amilia anatoka anaishia huku akilia.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Kwa nyumba Moh ako job yake. Ndo Lexy wanafika na Tito wanapata lunch ishaiva. Moh anawapanga hapo na juice bado hakuna mtu anamwambia story yoyote. LEXY wanakunywa hapo juice alafu Moh anauliza na mmekua wapi? Lexy anamwambia nikuulize Moh vile nilikua hosi Trisha alisema anything kuhusu babangu? a Moh anamwambia ziii. Alafu Lexy anamwambia manze huskii James Jabulani sio budangu. Moh anashtuka anamuuliza aai mathe amekwambia nini? Lexy alimwambia sio mathee ni Trisha aliniambia but mathe amenipigia akaniambia bad news. Moh kuuliza ni gani? LEXY akamwambia manze Moses is no more. Makosaaa!!!!! Moh anashtuka hapo.

Moh kuuliza hizo Story tena kuhusu Moses Lexy anamwambia achana nayo niekee juice hata Moses tulitokana kitambo. Moh akiwa hapo anaanza kujiuliza how comes Trisha ndo anaambia Lexy eti James sio budake alafu all of a sudden anakufa?? Huyu Trisha kuna mambo anafanya. Moh hana jibu ni kujiuliza Tu.

Kwa njia Amilia anaambia Becky hata sijui nitaanza aje kuambia watu wao! Becky anamwambia hata huenda askari washawaambia? Becky anamwambia tuende kwa nyumba kwanza you relax.

Moh naye anatoka anapigia Becky anamuuliza we unaona hii ni Natural death kweli?? Becky anamwambia of course siwezi amua before uchunguzi ufanywe.Moh anamwambia hapa hakuna sio eti nini tunajua Trisha ndo anapanga hii juu anajua eti Lexy sio mtoto wa James na Sahi Moses ameaga huoni kuna kitu hapo? Becky anamwambia wacha nayo mi hainihusu kitu inanihusu ni Amilia amelose mtu alikua anamtetea. Moh anaambia Becky bana we ebu kaa na Amilia ndo akipata hii mali akupee kidogo atleast Jeff ataishi Maisha mazuri,na ya Raha . Becky ameskiza hapo hadi anauliza Moh, yaani Moh uko sawa kweli?? Unajuskiza? Moh anamwambia eeh na ni vile nakujali ndo maana nakwambia hvo. Wanaongea hapo lakini Becky anamwambia sitaki hizi story Moh kuenda kumwambia eti atakuja waongee Becky akakata Simu.

Becky naye ameboeka na Moh. Moh anawaza eti yaani huyu dem anapenda umaskini aki. Kidogo Becky akiwa nje junior anakuja anamuuliza what is wrong??? Becky anamwambia mambo tu na Moh, junior anampembeleza amwambie what wrong lakini Becky anamwambia ni mambo ya Moh vile anasumbua.kidogo Becky anamwambia tuingie kwa nyumba,kuingia hapo ndo anapata Amilia analia kuuliza Amilia anamwambia Moses ametuacha. Junior anashtuka hapo ndo Amilia analia anajutia eti heri angebaki streets huko. Lakini Becky anamcomfort hapo anamwambia kila kitu ni mipango ya God, amilia analia hapo lakini maskini wa mungu ukweli ni kwamba MOSES JABULANI IS DEAD.

Usiku mwema Wakuu. Na vile nimeleta mapema si mnipee likes buana.𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: ππ„π‚πŠπ˜ πŸ‘1𝐓𝐇 𝐉𝐀𝐍
Follow Samuel Isaiah Mogere. Nifike 95k please
Na vile nimeleta mapema si basi weka like tufike 4k before tulale.
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Tunaanza kwa Trisha amekaa hapo kuna jamaa analetalea Trisha maji. Kidogo Amilia anakuja anamuuliza what happened?? Trisha anaanza kwa kusita hataki kuongea lakini kidogo anaanza kulia anawaambia Moses is dead. Makosa. Amilia anamuuliza what!!!!!!weeu hapo Hatujui what happened. Kumbe jamaa alikua amesimama hapo ni detective. Detective anawaambia am here and I will be investigating what happened. Amilia anamuuliza what happened? Trisha anamwambia sijui mimi tulikua poa akafika asubuhi ndo nikapata ameaga. Amilia anamuuliza aje sasa na wewe ndo mnakua na yeye?? Trisha anaanza kulia hapo. Detective anawaambia and it seems it was a natural death. Makosaaa!!! Aje sasa? But si amesema wacha tuamini.

Lexy na yeye anacomment vibaya mamake anakuja anataka kumpiga wanaletana juu na Amilia. Amilia anauliza huyu ni mtoto wa nani anaongea hivi lakini??? Wanataka kupigana lakini Tito anatoa Lexy hapo, nao kina Becky wanatoa Amilia huko. TITO anamwambia wewe ni nini si utulie bana na si wewe ndo umebaki na mali mob mbona unavuruga?? LEXY anamuuliza hivi ndo unaongelesha boss wako sindio?? Kidogo Tito anaishia.

Junior naye anakuja kufika kwa Becky hakuna mtu, anashangaa wameenda wapi hawa. Kidogo anaishia. Kwa Moses bado Trisha anajifanya hapo kulia eti hii haiwezi kuwa natural death. Amilia analia anamwambia hapo eti nilikua na Moses jana na alikua sawa najua ni wewe ulimuua. Trisha anaanza kulia eti how can i kill the love of my life? Detective anawaambia tulia kidogo hivi detective mwingine anashuka na tablets fulani, Anakuja anaambia kina Amilia kuna tablets nimepata na zitasaidia kwa uchunguzi. Trisha anakaa kushtuka Makosaa!!!

Amilia anaanza kuwaambia how comes eti after ametransfer mali kutoka kwa Lexy kuja kwa jina yake ndo anakufa?? Najua ni wewe umemuu*a. Hapo ndo Amilia anamwambia jana tulikua tunacheka na yeye how comes??? Becky akasema yes it's true huenda ni huyu dem alimmaliza. Becky anawaambia this is the second person amek*ufa after amemhost. Detective anauliza ebu fafanua? Becky akamwambia kuna beshte yangu aliaga just afew days after hosting her. Alipatikana amejihun*g na ameaga. Trisha anaingilia eti and am the one who reported it how comes na mbona nko hapa sikushikwa if am the one who did that? Trisha hapo analia crocodile tears.Detective wa k**e anawaambia remember somebody is confirmed gulity after investigations zimefanywa. Detective mwingine anawaambia kulingana vile mnasema there's alot to be unveiled. Hapo ndo Detective anaambia Trisha now can you stand up tutaenda na wewe Mpaka station for more investigation. Trisha anaamka na bado anajifanya kulia Tu.

Becky wanatoka nje na Amilia anaambia Becky i told Moses about this girl. Becky anamcomfort hapo anamwambia i think huyu Trisha ako innocent. Amilia anamuuliza what ? Si umekua side yangu kwa nyumba mbona unasema hvo? Becky anamwambia but mom hatuna evidence aki. Amilia anatoka anaishia huku akilia.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Kwa nyumba Moh ako job yake. Ndo Lexy wanafika na Tito wanapata lunch ishaiva. Moh anawapanga hapo na juice bado hakuna mtu anamwambia story yoyote. LEXY wanakunywa hapo juice alafu Moh anauliza na mmekua wapi? Lexy anamwambia nikuulize Moh vile nilikua hosi Trisha alisema anything kuhusu babangu? a Moh anamwambia ziii. Alafu Lexy anamwambia manze huskii James Jabulani sio budangu. Moh anashtuka anamuuliza aai mathe amekwambia nini? Lexy alimwambia sio mathee ni Trisha aliniambia but mathe amenipigia akaniambia bad news. Moh kuuliza ni gani? LEXY akamwambia manze Moses is no more. Makosaaa!!!!! Moh anashtuka hapo.

Moh kuuliza hizo Story tena kuhusu Moses Lexy anamwambia achana nayo niekee juice hata Moses tulitokana kitambo. Moh akiwa hapo anaanza kujiuliza how comes Trisha ndo anaambia Lexy eti James sio budake alafu all of a sudden anakufa?? Huyu Trisha kuna mambo anafanya. Moh hana jibu ni kujiuliza Tu.

Kwa njia Amilia anaambia Becky hata sijui nitaanza aje kuambia watu wao! Becky anamwambia hata huenda askari washawaambia? Becky anamwambia tuende kwa nyumba kwanza you relax.

Moh naye anatoka anapigia Becky anamuuliza we unaona hii ni Natural death kweli?? Becky anamwambia of course siwezi amua before uchunguzi ufanywe.Moh anamwambia hapa hakuna sio eti nini tunajua Trisha ndo anapanga hii juu anajua eti Lexy sio mtoto wa James na Sahi Moses ameaga huoni kuna kitu hapo? Becky anamwambia wacha nayo mi hainihusu kitu inanihusu ni Amilia amelose mtu alikua anamtetea. Moh anaambia Becky bana we ebu kaa na Amilia ndo akipata hii mali akupee kidogo atleast Jeff ataishi Maisha mazuri,na ya Raha . Becky ameskiza hapo hadi anauliza Moh, yaani Moh uko sawa kweli?? Unajuskiza? Moh anamwambia eeh na ni vile nakujali ndo maana nakwambia hvo. Wanaongea hapo lakini Becky anamwambia sitaki hizi story Moh kuenda kumwambia eti atakuja waongee Becky akakata Simu.

Becky naye ameboeka na Moh. Moh anawaza eti yaani huyu dem anapenda umaskini aki. Kidogo Becky akiwa nje junior anakuja anamuuliza what is wrong??? Becky anamwambia mambo tu na Moh, junior anampembeleza amwambie what wrong lakini Becky anamwambia ni mambo ya Moh vile anasumbua.kidogo Becky anamwambia tuingie kwa nyumba,kuingia hapo ndo anapata Amilia analia kuuliza Amilia anamwambia Moses ametuacha. Junior anashtuka hapo ndo Amilia analia anajutia eti heri angebaki streets huko. Lakini Becky anamcomfort hapo anamwambia kila kitu ni mipango ya God, amilia analia hapo lakini maskini wa mungu ukweli ni kwamba MOSES JABULANI IS DEAD.

Usiku mwema Wakuu. Na vile nimeleta mapema si mnipee likes buana.

Lexy anawapenda sanaβ™₯️β™₯️β™₯️she's a good actress..give her some love β™₯️β™₯️β™₯️
18/01/2024

Lexy anawapenda sanaβ™₯️β™₯️β™₯️she's a good actress..give her some love β™₯️β™₯️β™₯️

Hi my people..thanks for your calls,inboxes..I really appreciate so much. Kwa wenye mwauliza nitarudi lini, nitarudi kip...
31/12/2023

Hi my people..thanks for your calls,inboxes..I really appreciate so much. Kwa wenye mwauliza nitarudi lini, nitarudi kipindi kikichacha..si mwajua mi ni WA James Jabulani..nitarudi kurudisha amani.

Guys I wish you a fantastic 2024 of blessingsβ™₯οΈπŸŽ†πŸŽ† Say good bye to pain and sorrow. Pia make sure you don't repeat any mistake you did this year..chase your success na haitakagi uvivu..motivate and appreciate yourself usingoje mtu aje..love starts with God and you..hao wengine watakuvunja moyo bure..
Mimi Sally nawapendaβ™₯️β™₯️β™₯️β™₯️β™₯️β™₯️πŸ₯°πŸ˜˜

25/12/2023

Christians merry Christmas πŸŽ„πŸŽ…πŸ—žοΈπŸŽπŸ’

Kiss loadingβ™₯️β™₯️β™₯️The bond is growingβ™₯️β™₯️β™₯️
29/10/2023

Kiss loadingβ™₯️β™₯️β™₯️
The bond is growingβ™₯️β™₯️β™₯️

LOVERS OF ππ„π‚πŠπ˜ CITIZEN TV MUST KNOW THIS. Wadau this week imepita kwa kipindi  bado tulizidi kujua mambo mob sana. Kwa ...
09/10/2023

LOVERS OF ππ„π‚πŠπ˜ CITIZEN TV MUST KNOW THIS.

Wadau this week imepita kwa kipindi bado tulizidi kujua mambo mob sana. Kwa sasa tumejua Trisha ako na mimba hata k**a hatuko sure k**a ni kweli ama ni fake. Pili, Tito ameamua kujitoa kwa Shantel baada ya kusikia vile Shantel wako na plan na Moh. Tatu tumejua plan ya Trisha kutaka kuumiza Jeff ili kumtesa Becky haikufaulu. So this coming week tunatarajia kujua mengi pia.

Kwanza, Tuliacha Junior akiwa anaenda kukutana na Shantel, na venye tunajua Shantel ni mtu wa kutumia uchuzi katikati ya miguu kuishi hii kanairo πŸ˜….So Shantel anataka kuharibia Becky ili wasirudiane na Junior. Junior akifika huko, kitu cha kwanza tutaona ni Shantel kumpa hug moja ya kitaifa, alafu anajaribu kumguzisha mateatea ndio feelings zipande πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….Lakini kulingana nami, Trisha atakuwa ametupa spy kufuata Junior, na akiona hivyo, atapiga picha na atumie Trisha, itakuja leta maneno baadae.

Pili, Junior ashajua kuwa Trisha anajuana na Blacky maana ameambiwa na Becky. So Junior akimeet na Shantel, nadhani atampea kazi ya kujua huyu Blacky ni nani na k**a kweli anajuana na Trisha. Hapa sasa ndio kutakuja kubamba πŸ˜…πŸ˜….

Tukumbuke, Becky hata ingawa aliamkia asubuhi, hakupata time poa ya kuongea na Jeff kumuuliza k**a aliona mtu usiku. So venye Trisha na Martha na Junior walienda hossy, hapo ndio atapata time poa ya kuuliza Jeff. Ila juu Jiffy hawatataka hii story iflow direct, Jeff atafika kumwambia, ila atakua disturbed na ujio wa Martha na Trisha. Martha ashajua kuwa Trisha hataki kuona Becky karibu naye, so hatampa kazi ya kushughulikia Trisha, hiyo kazi itapewa Moh. Na venye Moh anataka kuwa k**a Trisha si kutakuwa kumoto hapa sasa πŸ˜…πŸ˜…

Tumalizie kwa Tito na Sanchez, nadhani hii wiki, baada ya Tito kuamua kutoka kule kwa Shantel bila kumwambia hata bye, Shantel lazima akuje kumtafuta. Ila akija akidhani Tito ni yule wa kufikiria kanyau πŸ˜…πŸ˜…Tito atakua mtu tofauti sana. Nadhani Sanchez atasaidia Tito kumwambia Shantel kuwa Tito ashajitoa hapo na kurudi hapo labda kwa ndoto. Lakini unadhani Tito atakubali kuacha Shantel rahisi ivo?????

Alafu sasa leo Mambo inachemka huko Maisha Magic plus KA-SIRI inakua premiered leo wadau at exactly 7:30pm. Yaani hii mtakasa kuwatch Maria,?Auntie Sada? Cyrus?? Weeu hii ni aina yake tusikose wadau. Hata k**a ziko the same time na Becky itabidi leo msome updates za Becky kwanza hata mlishasoma Friday so leo tufike huko Maisha Magic plus kwenye Gotv utaipata channel 3,na k**a wewe ni msee wa DStv at channel 163, hii sio ya kukosa.
Alafu kuna wakuu mnaonaje updates za Kasiri?? Tupate subscription updates zikuje ama namna gani maoni yenu hapa πŸ˜‚. Tupatane masaa before updates tena leo mambo ni mengi masaa ndo hakuna. Usisahau kuniachia like hapo basi

Address

Machakos

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Becky citizen tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share