26/08/2026
😢💔 TAFADHALI TUMSAIDIE BARAKA 🙏🏼
Kuna baadhi ya watu wengine walikuwa wanaomba Baraka awaoneshe sehemu anayotumia kujisaidia haja kubwa ili waamini zaidi. Baraka hakatai kuwaonesha kabisa, lakini anasema anatamani sana muione. Shida ni kwamba alipokuwa mchanga, alienda kufanyiwa ukarabati kiasi tu ili ule uchafu uweze kutoka nje na usije ukamuumiza huko ndani.
Madaktari walimfanyia utaratibu wa kuutoa utumbo nje ili ule uchafu uwe unamwagika nje wenyewe. Sasa k**a mnavyojua, utumbo haushikani na baridi kabisa 🙅; utumbo unapenda joto tu.
Baraka anasema akifungua pale mahali, huwa anapatwa na maumivu makali sana ambayo yanaweza kumpelekea hata kuvuja damu bila kujijua. 😔
Kwa hiyo Baraka anaomba tumsaidie sana jameni. 🙏🏼😔
Hiki kitambaa alichojifunga ndicho kinamsaidia kukinga baridi na upepo kutoufikia ule utumbo wake ulio nje ya tumbo lake. 😢💔
Ukiwa una swali lolote lile, namba bado ni ile ile ya M-Pesa. Unaweza kupiga ukauliza na pia unaweza kutuma chochote kile ulicho nacho iwapo hali ya Baraka imekugusa. 🫵🏼💞💕
📱 M-Pesa: 0141457082
Jina: ROBERT GARAMA SAFARI
🙏🏼❤️ Tafadhali, kila msaada wako una maana kubwa kwa Baraka.
Cc: Marereni Trends Media