LULU FM RADIO

LULU FM RADIO We play your all-time favorite, refreshing Gospel music… We educate and inform you. Lots of entertainment.
(1)

Evangelism, Empowerment and Entertainment are our core pillars.

 Bwana Yesu Asifiwe Rafiki. Karibu tumalizie siku ndani ya Mkao. Siku yako imekuaje? Tukimuenzi Aliyekuwa Waziri mkuu Ra...
16/10/2025


Bwana Yesu Asifiwe Rafiki. Karibu tumalizie siku ndani ya Mkao. Siku yako imekuaje? Tukimuenzi Aliyekuwa Waziri mkuu Raila Odinga ni kumbukumbu gani uko nazo kwake?

Sema nami kwenye sms 0727500511, Calls 0727499744

 Tabia ya Mtu kusimama kwenye njia ya umma, kwa raha zake, kwa shughuli zake na hakupishi upite. Mtu mwenye tabia hii al...
16/10/2025


Tabia ya Mtu kusimama kwenye njia ya umma, kwa raha zake, kwa shughuli zake na hakupishi upite. Mtu mwenye tabia hii alishwe nyahunyo kwa upendo au sio kwa kupenda kwake tumsamehe?

  Afisa wa zamani wa magereza amezua mjadala mkubwa nchini baada ya kufichua hadharani kuwa anapitia kipindi kigumu cha ...
16/10/2025


Afisa wa zamani wa magereza amezua mjadala mkubwa nchini baada ya kufichua hadharani kuwa anapitia kipindi kigumu cha madeni, msongo wa mawazo na kutengwa kijamii miezi kadhaa baada ya kufutwa kazi kwa kushiriki maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha.
Kupitia ujumbe wa kihisia alioweka kwenye mitandao ya kijamii, alieleza kuwa maisha yake yamebadilika kabisa, amepoteza ajira, hana uwezo wa kulipa bili, anatishiwa kuk**atwa kutokana na madeni, na anahisi amefikia hatua ya chini kabisa maishani.
“Nina deni, nimepigwa mnada, nina hati ya kuk**atwa, siwezi kulipa bili zangu wala kumtunza binti yangu. Nimejaribu kuwa imara, lakini maisha yamekuwa mazito sana,” aliandika.
Rafiki… ukiwa kwenye nafasi k**a hii, unaeza acha kazi yako ili kupigania Haki za taifa lako?

 Vijana wa leo wanakumbana na changamoto gani kubwa katika kumtumikia Mungu na ni vipi wanaeza saidika?
16/10/2025


Vijana wa leo wanakumbana na changamoto gani kubwa katika kumtumikia Mungu na ni vipi wanaeza saidika?

  na  King'ori Usiogope kwa maana mimi nipo pamoja nawe, usifadhaike kwa maana mimi ni Mungu wako. (Isaya 41:10) Jioni h...
16/10/2025

na King'ori
Usiogope kwa maana mimi nipo pamoja nawe, usifadhaike kwa maana mimi ni Mungu wako. (Isaya 41:10) Jioni hii Rafiki, kumbuka hauko peke yako, Mungu yupo upande wako.
Uko wapi kwa sasa na unajishughulisha na nini? Gotea Rafiki.

16/10/2025


Je, Wajua Takriban ya watu Bilioni 7.6 duniani zaidi ya milioni 600 ni wafanyibiashara? Hii inamaanisha mtu 1 kati ya 13 anamiliki biashara.

 ... Bwana Yesu Asifiwe Rafiki Ni Alhamisi ya huzuni ila yote ni mipango ya Mungu... Unachangamkia kazi ukiwa wapi sema ...
16/10/2025

... Bwana Yesu Asifiwe Rafiki Ni Alhamisi ya huzuni ila yote ni mipango ya Mungu... Unachangamkia kazi ukiwa wapi sema nami kwenye sms 0727500511Calls in 0727499744

16/10/2025


Hivi ni sawa kwa wafuasi kufurika nyumbani kwa Kiongozi wao baada ya kutangazwa kwa kifo chake?

 Ni tukio lipi la kisiasa unalomkumbuka kwalo Raila Odinga?
16/10/2025


Ni tukio lipi la kisiasa unalomkumbuka kwalo Raila Odinga?

 Siku ya Kwanza ya maombolezo ya kitaifa, tunamshukuru Mungu kwa kila jambo, unategea ukiwa wapi?
16/10/2025


Siku ya Kwanza ya maombolezo ya kitaifa, tunamshukuru Mungu kwa kila jambo, unategea ukiwa wapi?

 ... Bwana Yesu Asifiwe Rafiki.. Siku yako imekuaje? Karibu tumalizie siku kwenye Mkao. Sema nami kwenye sms 0727500511,...
15/10/2025

... Bwana Yesu Asifiwe Rafiki.. Siku yako imekuaje? Karibu tumalizie siku kwenye Mkao. Sema nami kwenye sms 0727500511, Calls 0727499744

 Tabia kuwa umepata mgeni kutoka mbali mwazungumza mambo ya maana jirani anakuja basi haondoki, hampi nafasi mpaka mgeni...
15/10/2025


Tabia kuwa umepata mgeni kutoka mbali mwazungumza mambo ya maana jirani anakuja basi haondoki, hampi nafasi mpaka mgeni inabidi aondoke muwasiliane kwa simu.
Thungu ama imepoa?

Address

Lulu FM Radio
Malindi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LULU FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category