LULU FM RADIO

LULU FM RADIO We play your all-time favorite, refreshing Gospel music… We educate and inform you. Lots of entertainment.
(1)

Evangelism, Empowerment and Entertainment are our core pillars.

 Rafiki, unadhani ni njia gani viongozi wa kidini wanaweza kuzuia Itikadi Kali, ugaidi au vurugu?
16/12/2025


Rafiki, unadhani ni njia gani viongozi wa kidini wanaweza kuzuia Itikadi Kali, ugaidi au vurugu?

Rafiki unadhani ni vipi viongozi wa kidini wanaweza kusaidia katika kupambana na itikadi Kali na maswala ya ugaidi?
16/12/2025

Rafiki unadhani ni vipi viongozi wa kidini wanaweza kusaidia katika kupambana na itikadi Kali na maswala ya ugaidi?

  ndo kipindi ko hewani. Je ni karakara mvulana kuhala muche kala mudzini kadzajenga? Kuna jamaa walashwa nyumba ni mvah...
14/12/2025

ndo kipindi ko hewani. Je ni karakara mvulana kuhala muche kala mudzini kadzajenga? Kuna jamaa walashwa nyumba ni mvahawe pkwa kukala mkuluwe kadzajenga. Wahenda sawa ama were ni choyo?

 Mazungumzo kuhusu kuungana ili kupinga ufisadi. Je umejifunza nini kutoka kwenye mazungumzo haya?
09/12/2025


Mazungumzo kuhusu kuungana ili kupinga ufisadi. Je umejifunza nini kutoka kwenye mazungumzo haya?

 Karibu kwenye gumzo hili maalumu na Pendo Karima tukiangazia jinsi ya kuleta umoja wa vijana kwenye vita dhidi ya ufisa...
09/12/2025


Karibu kwenye gumzo hili maalumu na Pendo Karima tukiangazia jinsi ya kuleta umoja wa vijana kwenye vita dhidi ya ufisadi. Unafuatilia mazungumzo haya ukiwa wapi?
Sema nasi kwenye 0727499744

  ndo kipindi ko hewani na athumiya a nguvu Moro rero ni kuhusu kuzhalira midzini. Je asichana mazhalirao midzini ni kuh...
07/12/2025

ndo kipindi ko hewani na athumiya a nguvu Moro rero ni kuhusu kuzhalira midzini. Je asichana mazhalirao midzini ni kuhendwa ache kisha makadumu? Gadzigidzye kukirira SMS 0727500511Calls In 0727499744

  na athumiya a dhome funabunda kipkwehu, unasikiza ukikala uhiko? Je ni sawa kulazimisha mwanao kuzhala harakaharaka ba...
30/11/2025

na athumiya a dhome funabunda kipkwehu, unasikiza ukikala uhiko? Je ni sawa kulazimisha mwanao kuzhala harakaharaka baada ya ndoa mwenye akikala anamala kupanga family planning?

   na Mc King'ori   Mungu akujalie Mema jioni hii Rafiki. Karibu kwenye Ibaada ya Lulu Drive hadi 7pm.Uko wapi hapo na n...
27/11/2025

na Mc King'ori
Mungu akujalie Mema jioni hii Rafiki. Karibu kwenye Ibaada ya Lulu Drive hadi 7pm.
Uko wapi hapo na nani, Kisha leo unamgotea nani?

NATEMBEYA AMEKAMATWA!!Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya adaiwa kukamatwa na maafisa wa polisi.Chama chake...
27/11/2025

NATEMBEYA AMEKAMATWA!!
Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya adaiwa kukamatwa na maafisa wa polisi.
Chama chake Cha DAP - Kenya kinasema kwa sasa hawana ufahamu wa alikopelekwa mwanachama wao.

Mbunge wa Homa Bay Mjini, Peter Kaluma  avamiwa na kupigwa huku mlinzi wake akipokonywa bunduki.
27/11/2025

Mbunge wa Homa Bay Mjini, Peter Kaluma avamiwa na kupigwa huku mlinzi wake akipokonywa bunduki.

Spika wa bunge la seneti Amason Kingi apiga kura katika eneo la Kamale wadi ya Adu kule Magarini kaunti ya Kilifi.
27/11/2025

Spika wa bunge la seneti Amason Kingi apiga kura katika eneo la Kamale wadi ya Adu kule Magarini kaunti ya Kilifi.

 ... Good morning rafiki Bwana Yesu Asifiwe..Umeshapiga kura tayari kwenye eneo lako ama kwenu hakupigwi kura leo? Sema ...
27/11/2025

... Good morning rafiki Bwana Yesu Asifiwe..Umeshapiga kura tayari kwenye eneo lako ama kwenu hakupigwi kura leo? Sema nami kwenye sms 0727500511Calls in 0727499744

Address

Lulu FM Radio
Malindi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LULU FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category