LULU FM RADIO

LULU FM RADIO Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from LULU FM RADIO, Radio Station, Lulu FM Radio, Malindi.
(2)

 Je ni karakara azhazi a kwa bibi harusi kumthuwa mwanawao na msafara baada ya kumlazha kanisani baada ya harusi kufungw...
31/05/2026


Je ni karakara azhazi a kwa bibi harusi kumthuwa mwanawao na msafara baada ya kumlazha kanisani baada ya harusi kufungwa? Ama akarakara ni mauyire ho kanisani mende Mudzini makaoye? Dzigidzya kukirira 23813

 Kuna ukweli kuwa mitandao imefanya watoto wengi wameingia mimba za mapema? Na vipi kuhusu simu za mkopo! Karibu kwenye ...
27/05/2026


Kuna ukweli kuwa mitandao imefanya watoto wengi wameingia mimba za mapema? Na vipi kuhusu simu za mkopo! Karibu kwenye Radio mazungumzo yenye kunoga. Sema nasi kwenye SMS 23813 na Paps Mkare

22/05/2026

Si dhambi kushabikia Football, but being an Arsenal fan....

  Njia sahihi za kisaikolojia kuwasaidia "Watoto" waliopata watoto ni zipi? Mtoto akipata mimba pale kwenu huwa mnaanzia...
22/05/2026


Njia sahihi za kisaikolojia kuwasaidia "Watoto" waliopata watoto ni zipi? Mtoto akipata mimba pale kwenu huwa mnaanzia wapi? Unatusikiliza ukiwa wapi? Sms 23813

CHAIRMAN APEANA TAMKO!!"Wasanii wa mziki wa Gospel Malindi wamelala sana, wengi wanakosa advise ndio maana wameporomoka!...
21/05/2026

CHAIRMAN APEANA TAMKO!!
"Wasanii wa mziki wa Gospel Malindi wamelala sana, wengi wanakosa advise ndio maana wameporomoka!" Asema Chairman wa mziki wa Gospel Malindi.

 Je ni umri sahihi mtoto anafaa kupewa hamasa na kuanza kufanya maamuzi ya kuwa na boyfriend/girlfriend? Karibu kwenye m...
21/05/2026


Je ni umri sahihi mtoto anafaa kupewa hamasa na kuanza kufanya maamuzi ya kuwa na boyfriend/girlfriend? Karibu kwenye mazungumzo ya kuhusu wanarika na maamuzi lakini pia hamasa pamoja na Chairman na Sema nasi kwenye SMS 23813

 Je, Ni sawa kwa makanisa kuendeleza mafunzo ya kuwafanya vijana kujiepusha na mimba za utotoni?
19/05/2026


Je, Ni sawa kwa makanisa kuendeleza mafunzo ya kuwafanya vijana kujiepusha na mimba za utotoni?

Good morning, kumekucha k**a jana, vipi bei ya usafiri huko? Unatumia tikiti ya pesa ngapi kufika job? Pande hizi tunazi...
19/05/2026

Good morning, kumekucha k**a jana, vipi bei ya usafiri huko? Unatumia tikiti ya pesa ngapi kufika job? Pande hizi tunazidi kumtukuza Bwana na ladha ya nyumbani!! Uko nami Pendo Karima kwenye ndani ya Sema nami kwenye SMS 23813

  ndo kipindi ko hewani, moro rero ni kuhusu usafi wa atu maishio maisha ga ndoa. Ni uchafu wani udzasinya sana ko pkwaa...
17/05/2026

ndo kipindi ko hewani, moro rero ni kuhusu usafi wa atu maishio maisha ga ndoa. Ni uchafu wani udzasinya sana ko pkwaalume ufahao kurichwa? Mulume karakara ni akale na suluwale nyingahi? SMS 23813

12/05/2026

Anayekupenda kweli anafaa akusave vipi kwenye simu?

Address

Lulu FM Radio
Malindi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LULU FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category