Juza

Juza Juza inakujuza yanayojiri

YANAYOJIRI Rachel Wandeto amefariki 😭. Rachel alimwagiwa acid na watu kadhaa wasiojulikana huku Mwiki, kitendo ambacho k...
18/05/2026

YANAYOJIRI
Rachel Wandeto amefariki 😭. Rachel alimwagiwa acid na watu kadhaa wasiojulikana huku Mwiki, kitendo ambacho kimemsababishia kifo chake. Makiwa kwa familia.

Tufollow Juza

YANAYOJIRI Hali ilivyo sasa katika soko la Kalundu kaunti ya Kitui, wakazi wamefunga barabara inayoingia mjini humo.Poli...
18/05/2026

YANAYOJIRI
Hali ilivyo sasa katika soko la Kalundu kaunti ya Kitui, wakazi wamefunga barabara inayoingia mjini humo.

Polisi bado hawajafika eneo la tukio kutuliza wakazi wenye hasira.

Tufollow Juza

YANAYOJIRI Huyu ndie aliyejitia kitanzi eneo la gedeR.i.p John kengaTufollow Juza
18/05/2026

YANAYOJIRI
Huyu ndie aliyejitia kitanzi eneo la gede
R.i.p John kenga

Tufollow Juza

YANAYOJIRI SIMU 50 ZA WIZI ZAPATIKANA DIANIPolisi mjini Diani kaunti ya Kwale wamewakamata washukiwa watatu walio chini ...
18/05/2026

YANAYOJIRI
SIMU 50 ZA WIZI ZAPATIKANA DIANI

Polisi mjini Diani kaunti ya Kwale wamewakamata washukiwa watatu walio chini ya umri wa miaka 18 katika eneo la Magutu kuhusiana na kisa cha wizi wa simu kilichokua kimeripotiwa eneo hilo.

Washukiwa hao waliwaelekeza maafisa wa polisi hadi katika nyumba moja eneo hilo ambapo walidai kuwa waliuza simu hiyo ya mkononi.

Baada ya msako katika nyumba hiyo maafisa hao walpata simu hiyo pamoja na simu zingine hamsini zinazoshukiwa kuwa za wizi, pamoja na vipuri mbalimbali vya simu za mkononi.

Mmiliki wa nyumba hiyo, David Mwanzia, hakuwepo wakati wa operesheni hiyo. Hata hivyo, mshirika wake ambaye pia ni mke wake Elizabeth Wanjiru alikuwapo na akakamatwa.

Kulinga na kamanda wa polisi eneo la Msambweni Robinson Lang'at, uchunguzi wa awali umebaini kuwa Elizabeth Wanjiru ndiye aliyepokea simu hiyo inayodaiwa kuibwa kutoka kwa washukiwa hao.

Lang'at ametoa wito kwa mtu yeyote ambaye huenda aliwahi kuwa mwathiriwa wa matukio ya wizi kufika katika Kituo cha Polisi cha Diani ili kusaidia uchunguzi unaoendelea.
Tufollow Juza

YANAYOJIRI Naibu Kamishna wa Kilifi Kaskazini Samuel Mutisya ajeruhiwa katika ajali ya barabarani katika eneo la Kwa Ken...
17/05/2026

YANAYOJIRI
Naibu Kamishna wa Kilifi Kaskazini Samuel Mutisya ajeruhiwa katika ajali ya barabarani katika eneo la Kwa Kenga wa Mumba kwenye barabara kuu ya Mombasa-Malindi.

Kamishna wa kaunti ya Kilifi David Wanyonyi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema dereva wa gari hilo pia naye amejeruhiwa na wanapokea matibabu katika hospitali ya Aga Khan Mombasa.

Tufollow Juza

YANAYOJIRI Kuna kijana kwa majina John kenga ajitia kitanzi eneo la gedeSo  sad😔 Tufollow Juza
17/05/2026

YANAYOJIRI
Kuna kijana kwa majina John kenga ajitia kitanzi eneo la gede
So sad😔

Tufollow Juza

YANAYOJIRI Actress Sheila binti likoma afiliwa na baba yake R.l.P Dad sheilaTufollow Juza
17/05/2026

YANAYOJIRI
Actress Sheila binti likoma afiliwa na baba yake
R.l.P Dad sheila

Tufollow Juza

YANAYOJIRI Lulu hassan na mwanahamisi hamadi  watuzwa tuzo za east africa superwomen awards 👏👏👏Tufollow Juza
17/05/2026

YANAYOJIRI
Lulu hassan na mwanahamisi hamadi watuzwa tuzo za east africa superwomen awards 👏👏👏

Tufollow Juza

YANAYOJIRI Chumani Secondary School yateketea kwa moto usiku wa kuamkia leo 😭🔥 Chanzo cha moto bado hakijajulikana huku ...
17/05/2026

YANAYOJIRI
Chumani Secondary School yateketea kwa moto usiku wa kuamkia leo 😭🔥 Chanzo cha moto bado hakijajulikana huku juhudi za kuchunguza tukio hilo zikiendelea 💔🚒 Je, unafikiri ni nini chanzo cha mioto inayozidi kushuhudiwa mashuleni? 🤔

Tufollow Juza

17/05/2026

I got over 10 reactions on one of my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

YANAYOJIRI Rais William ruto amewarai viongozi wa dini wamuombee ili atekeleza majukumu yake Tufollow Juza
16/05/2026

YANAYOJIRI
Rais William ruto amewarai viongozi wa dini wamuombee ili atekeleza majukumu yake

Tufollow Juza

Address

Malindi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Juza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share