Radio Ashe-Kenya

Radio Ashe-Kenya Radio Ashe is the GOLD WINNER – CA KUZA AWARDS 2023 in the Creatives category .

Radio Ashe is a Christian Radio station broadcasting from Maralal town, Samburu County to the communities living in the Central Rift ,North Rift and Northern Kenya.

"We don't teach people anything new, we only help them discover that which is within them" Grateful to God for the privi...
17/10/2025

"We don't teach people anything new, we only help them discover that which is within them" Grateful to God for the privilege to represent Radio Ashe-Kenya in a Trainer of trainers workshop in Kigali, Rwanda.

Je,Uu Hali Gani Sahibu Wangu? Karibu Tunyakue Mibaraka Za Jioni Ndani   Ukiwa Nami Leleina Daniel  Sema Nami Kupitia:Cal...
17/10/2025

Je,Uu Hali Gani Sahibu Wangu? Karibu Tunyakue Mibaraka Za Jioni Ndani Ukiwa Nami Leleina Daniel Sema Nami Kupitia:Call:0712 00 00 14 Sms:0712 04 00 10 X/IG: Listen Live:www.radioashe.org or use APP: Radio Garden

Isaya 60:1Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Bwana Y...
17/10/2025

Isaya 60:1

Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Bwana Yesu Asifiwe msikilizaji, jioni njema popote ulipo, kamilisha wiki nami Faith Nzai katika kipindi cha tubarikiwe sote hadi saa moja usiku.
unajumuika na nani nani?
call 0712000014 sms 0712040010
www.radioashe.org

NenoLitaendelea      Naam msikilizaji, Za mchana? karibu katika kipindi   Naye Mchungaji Geoffrey Wanjala Munialo. Kipin...
17/10/2025

NenoLitaendelea
Naam msikilizaji, Za mchana? karibu katika kipindi Naye Mchungaji Geoffrey Wanjala Munialo. Kipindi hiki kinakufunza vitabu vya Biblia kwa undani kabisa kimoja baada ya kingine

Isaya 40:31 bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa k**a tai; watakimbia, wala hawatachok...
17/10/2025

Isaya 40:31

bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa k**a tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia

umbali huu ni nguvu za Mungu. Karibu tutamatishe wiki hapa nami Omotto ambapo tunamsifu Mungu tukiendelea na kazi zetu kupitia
Calls 0712000014
Sms 0712040010

Kumekucha Mpendwa wa Mungu! Amka tulijenge taifa! Karibu kwenye   ukiwa nami   Jonathan Tinga Papaa Jt. Unasikiliza ukiw...
17/10/2025

Kumekucha Mpendwa wa Mungu! Amka tulijenge taifa! Karibu kwenye ukiwa nami Jonathan Tinga Papaa Jt. Unasikiliza ukiwa wapi? Rausha na mwingine tubarikiwe sote.
Call:0712 00 00 14 Sms:0712 04 00 10 X/IG:

          UjumbeWaLeo:  .  1:71 Kwamba Atatuokoa Mikononi Mwa Maadui Zetu Na Kutoka Mikononi Mwa Wote Wanaotuchukia.Je, ...
16/10/2025

UjumbeWaLeo: .
1:71 Kwamba Atatuokoa Mikononi Mwa Maadui Zetu Na Kutoka Mikononi Mwa Wote Wanaotuchukia.

Je, Eneo Lako Ni Kwema? Karibu Tunyakue Mibaraka Za Jioni Ndani Unategea Ukiwa Wapi? Jumuika Nami Leleina Daniel Kwanzia 7PM-10PM Sema Nami Kupitia:Call:0712 00 00 14 Sms:0712 04 00 10 X/IG: Listen Live:www.radioashe.org or use APP: Radio garden

Mithali 24:1-2 SRUVUsiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao; Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na ...
16/10/2025

Mithali 24:1-2 SRUV

Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao; Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na midomo yao huongea madhara.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
MIC CHECK ONE, TWO,,,,,,za jioni msikilizaji wangu, kwangu kwema! karibu ndani ya kipindi cha nami Faith Nzai tuabiri gari hili hadi mwendo wa saa moja usiku.....waingia na nani?
call 0712000014 sms0712040010
www.radioashe.org

Shughuli za kuutazama mwili wa aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga zimehamishwa hadi uwanja wa Kasarani kutokana na idadi...
16/10/2025

Shughuli za kuutazama mwili wa aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga zimehamishwa hadi uwanja wa Kasarani kutokana na idadi kubwa ya waombolezaji.




Rais Ruto hakuweza kupokea rasmi mwili wa Raila katika JKIA baada ya Wakenya kuingia bila ruhusu katika uwanja wa ndege ...
16/10/2025

Rais Ruto hakuweza kupokea rasmi mwili wa Raila katika JKIA baada ya Wakenya kuingia bila ruhusu katika uwanja wa ndege wa JKIA.




Kumbukumbu la Torati 28:11 BWANA atakufanya uwe na wingi wa uheri, katika uzao wa tumbo lako, na uzao wa wanyama wako wa...
16/10/2025

Kumbukumbu la Torati 28:11

BWANA atakufanya uwe na wingi wa uheri, katika uzao wa tumbo lako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako, katika nchi BWANA aliyowaapia baba zako kwamba atakupa.

siku nyingine ndani ya ambapo tunakumbushana ya kale lakini pia kuendelea na kazi tukimtukuza Mungu nami Omotto kupitia
Calls 0712000014
Sms 0712040010

Address

Milimani
Maralal

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Ashe-Kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Ashe-Kenya:

Share