06/01/2023
πππππππ: πππππππ ππ’ππ― πππ πππ
ππππ π
Its late guys but si mnaelewa masaibu! Cha muhimu,nishawasababishia,si pia msababishe na LIKE k**a zoooote. Lets goooo...
Leo tunaanza tofauti kiasi,tunarudi nyuma 38yrs ago. Acha sasa niwaonyeshe nini kilifanyika 38yrs ago huku nyumbani kwa Major Jabali. Kabla ya Major Jabali,kulia na Seniour Jabali,babake Major sasa. Siku moja Sada akitoka matembezi zake,alipata babake amelala hapo chini kwa floor. Alianza kumuita, "baba,babaaa,babaaaa" lakini akabu ikawa,babake Sada kwisha maneno. Sada alilia sana,kisha punde si punde,Major akafika,kwanza alikua amevalia nguo za GSU,akapata Sada akimshika babake hapo chini. Major na yeye akaanza kuuliza Sada mbona umeua mzee,lakini Sada yeye anajuua hajafanya kitu but Major hakumpa nafasi ya kujieleza,akachukua rungu akanza kumtandika Sada ikabidi Sada atoroke aende mbio kabisa. Thats what happened,ndio Sada akatoroka,na sasa ndio amerudi maajuzi.
Fatima na yeye alionyesha Dida ile picha ya Maria. Dida akaangalia Maria kwa picha akakumbuka alikutana na yeye kwa barabara tukatusiana,lakini akaambia mamake,mwenye nilimuona si huyu. But Doda amekumbuka vizuri sana akajua ni yule msichana.
Tufike kwa Salama,anamwambia Zuu arudi kwa mume wake. Zuu alimuuliza na Sultana je,hutahitaji usaidizi? Salama alimwambia I will manage but for now please nenda kwa mume wako.
Ebu turudi kwa Sada,aliambia Major sikiza,sikuondoka wakati baba alikufa kwa ubaya,lakini wewe mwenywe unajua chenye kilifanyika kwa baba. Ilikuaje? Fatima akafia hapo,anajua ukweli wa mambo na sasa mimi tena huyoo,ju nyinyi hamjui ukweli wa mambo,acha niwarudishe kulee nyuma tena. Hii ni kitendawaili cha venye babake Major alikufa. Wakati mmoja,Sada akiwa na Salama walikua wanaishi chumba kimoja na wakati moja,babake Sada akapiga simu kutaka kuongea na Sada lakini Sada akaambia Salama ashike amwambia hayuko. Babake Sada aliacha ujumbe akamwambia akija mwambie namhitaji nyumbani kuna dharura lakini wakati kuridi nyumbani,alipata babake ashakufapale sakafuni lakini swali ni Sada alikua ametoroka nyumbani kwa nini? Alikua na ujauzito na akaavya,makosa. Thats why alihepa.
Hii yote,Sada anakumbuka akiwa na Major,Asiya na Fatima hapa, Hata Major mwenywe hana habari kuna wakati Sada aliavya mimba na akatoroka.
Hatimaye kwa Salama,Sultana na mamake walirudi. Mamake alimsihi sana akamwambia tafadhali mwanangu,usiwai jaribu kufanya hatua mbaya k**a hiyo. Sasa ungekufa mimi k**a mamako ningefanya nini? Na k**a unaona nakukazia sana,leo nakupa uhuru wa wewe kufanya chenye unafanya. Ukitaka kuoleka na Kokan,nenda mama,ukisema unataka kuoleka na JJ,mama nenda,nitakua sawa. Hata ukisema utataka kuzalia mtoto wako hapa,chochote utasema nitasikiza mwanangu ilimradi usifanye uamuzi tena k**a wenye ulikua umefanya.
Kokan akiwa kwake,mwanaume hatulii.lakini punde si punde,mlangoni akasikia kunabisha. Akauliza ni nani? JJ akamwambia ni mimi fungua mlango ama nipite nao sasa hivi. Kimeumanaπ€£π€£π€£. Kumeb wakatio huo,Dida amekuja mlangoni kwa JJ kumtafuta pia,hajui JJ ako kwa Kokan na hajakuja kwa uzuri.
Dida alishuka chini akakuja akamuona Sada,akamuuliza k**a amemuona JJ? Sada akamwambia JJ hajapatikana lakini shida ni simu ya JJ aliacha nyumbani,so hata kumpigia simu ni uselesss. Sada alimsishi sana Dida asimame na JJ kwa sababu yenye yanafanyika huku anahitaji sana usaidizi.
Sultana na yeye pia alitoka,akaambia maake anafika pembeni kiasi atarudi. Mamake alimwambia nisawa lakini uhakikishe unawahi kurudi mapema,kuna wageni wanakuja.
ππππ π
Sada alingoja Major akiwa nje akakuja akanza kupekua pekua kuna kitu anatafuta na alikipata. Ni picha haswa za babake. Kuna picha mbili alizipata akaanza kuzilinganisha.
Huku kwa Kokan,alifungua mlango,JJ kuingia,Kokan akaanza kuuliza JJ anataka nini? JJ alimwambia niko na hasira sana na please,niko hapa kuuliza maswali si wewe kuniuliza. Swai la kwanza,babangu alikupea pesa za kufanya harusi ya Sultana sio? Kokan akamwambia ndio,alah,shida? JJ akamuuliza swali la pili,uliambia Sultana anipe talaka,mzee alihusika? Kokan alimwambia bro,usiniuliza maswali mingi hivyo na k**a unataka kujua,kaa ukijua mimi ndio first born wa babako na chochote unafanyiwa wewe,mimi nilifanyiwa kitambo sana hata k**a mimi si damu yake. JJ alijam,akamsukuma Kokan akagonga kichwa kwa meza. JJ ana hasira sana.
Sada na yeye alipatikana na Major,akamwambia chukua vitu zako uondoke huku. Sada alicheka tu akamwambia huku siondoki mimi,naondoka tu kwa masaa na nitarudi. Fatima pia alikua hapo,akaambia Major basi napenda unavyokua na hasira hivi.
Huku kwa Kokan nakwo,kumbe kugonga kichwa kwa meza,aliamka akiwa amechemka,makosa. JJ alitandikwa mangumi za tumbo kwa uzo,mbaya mbovu,hadi akanguka chini. Kisha akaambia JJ sikiza,mtoto wa Sultana akizaliwa,I will name him after your father,Jabali. JJ,kusikia hivyo,nguvu zikarudi tena,akashtua Kokan akasonga nyuma,na akaamka akamwekelea ngumi ya kichwa kwa kifua,Kokan akaanguka kwa kitu kisha JJ akaamua kumuua sasa. wah,makosa. Kaa si wanakijiju kufika na kuwatoanisha,Kokan sai angekua kaburi.
Zuu na yeye kurudi nyumbani,alipata wenye deni ya babake wamefika. Akaanza kujitetea akiwaambia atawalipa lakini wakamwambia anyamaze,kwa sababu deni la babake lishalipwa lote na bwanake. Kumbe Mwanzele kaliamua kulipa deni kila kitu. Zuu hakua na otherwise,aliweka sahihi kuonyesha deni lishalipwa jambo shingo upande. Wazee wa deni washapata pesa zao na haoo wakaenda. Zuu akadhindwa alie ama afurahie.
Huku kwa Kokan,JJ alimpa onyo Kokan,akamwambia chunga sana kujihuzisha na babangu,hananga msamaha. Kokan alimwambia najua lakini hela singekataa bwana. JJ akamwambia ole wako ajue ulihusika kuchafua boma yake,utajua hujui.
Sultana na yeye,sasa kamekuja wapi huku. Kuna pahali Sultana alikuja na kufika akafurahi,kwani ni wapi? Siku ya Jumatatu tukutane papa hapa. SULTANA EXTRAS zinakuja kesho saa mbili
Follow Brian ngugi