Kanye Fashion Designer

Kanye Fashion Designer
Mombasa

  imeamua kusikiliza kilio cha watumiaji wake kwa miaka mingi kwa kutambulisha rasmi kipengele cha Repost. Kipengele hik...
07/08/2025



imeamua kusikiliza kilio cha watumiaji wake kwa miaka mingi kwa kutambulisha rasmi kipengele cha Repost. Kipengele hiki kitawawezesha watumiaji kuposti tena (reshare) picha au video kutoka kwa wengine moja kwa moja kwenye feed zao bila kutumia apps za nje k**a ilivyokuwa hapo mwanzo.

Repost hizo zitakuwa na sehemu maalum kwenye profile ya mtumiaji, zikitofautishwa na post zake binafsi, na zitaonesha ni nani aliyeziposti na lini. Hii inaleta uwazi na heshima kwa wamiliki wa maudhui ya awali.

inalenga kurahisisha usambazaji wa maudhui, hasa kwa content creators na wafuasi wa kampeni mbalimbali, huku ikidhibiti wizi wa kazi za ubunifu.

Kwa mara ya kwanza, unaweza kushea unachopenda bila kupiga screenshot, bila ku-copy link, bila ku-download! Hii ni hatua kubwa kwa Instagram katika kuendana na ushindani wa mitandao k**a X na TikTok
SABA TV

POWERED BY
The Queen's Styles Ltd &

Welcome...✍🏻/

The Best Quality  Karibuni Sana
07/08/2025

The Best Quality

Karibuni Sana

04/08/2025

Hon Mwiti Kathaara O Dawa
Ku-Support MUGURU FC

Ashford Mwiti Kirimi Kathaara
Mwiti Kathaara For Mp Imenti South 2027 to 2032 ✔

Erick Saba  Siasa ila shem ukumbukee wee huko nilisakutoa kitambo Your Muslim Shem Mm watoto mlikuwa naye🤣
04/08/2025

Erick Saba
Siasa ila shem ukumbukee wee huko nilisakutoa kitambo Your Muslim
Shem Mm watoto mlikuwa naye🤣

Baada ya kuachia rasmi wimbo wake mpya “Amanda”, ambao umeibua mjadala kwa baadhi ya mashabiki wa Bongo Fleva, Zuchu ame...
02/08/2025

Baada ya kuachia rasmi wimbo wake mpya “Amanda”, ambao umeibua mjadala kwa baadhi ya mashabiki wa Bongo Fleva, Zuchu ametoa tamko zito kwa wanaomkosoa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zuchu amesema wazi kuwa yuko kwenye safari ya ubunifu mpya na hatarudi nyuma kwa ajili ya mashabiki wasiokubaliana na mabadiliko hayo.

“This is the new me. I will be as versatile as I want to be. Na k**a unahisi mabadiliko haya hayakufai, nakushauri uniache tu sasa.”

Wimbo wa Amanda, ambao umetolewa kwa matoleo mawili – clean na explicit – umetayarishwa na S2Kizzy na kuwasilisha ladha mpya ya kimuziki, jambo lililoonekana kuwagusa baadhi ya mashabiki waliotarajia mtindo wa kawaida wa Zuchu. Wengine wamelalamika kuwa wimbo huo ni tofauti mno na mizani ya Bongo Fleva waliyomzoea.

Zuchu amekosoa tabia ya kuwadumaza wasanii kwa mazoea na kuishi kwenye “comfort zone”, akisisitiza kuwa hataki tena kuimba vitu vile vile kila siku Pia amewataka mashabiki kuacha kusubiri wasanii wafanikiwe kimataifa (k**a Grammy) ndipo waanze kuwa
Powered By
The Queen's Styles Ltd

02/08/2025

Find local businesses, view maps and get driving directions in Google Maps.

  atuambie wanaflani nini🤣
01/08/2025

atuambie wanaflani nini🤣

Tena babayetu kapost Hivi
01/08/2025

Tena babayetu kapost Hivi

Address

Ghetto Rev
Meru
@THEROLLINGVIBE

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kanye Fashion Designer posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share