Wamachani kijana

Wamachani kijana DRUST IN GOD ALWAYS AND YOU WILL ACHIEVE YOUR GOALS.

06/07/2025

Unang'ang'ana kumsave my Husband na amekusave Mjinga yule mtu wake special asijueπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€”

04/07/2025

Nikasikia kichwa inaniumaa....nikaenda hos nikapata daktari mrembo nikamwambia anipee mara moja akacheka na mm naumwa shida ilikua wapi...??

23/06/2025

Kuna vitu zingine sijawahi pata majibu yake,,

Et pastor anatoka kanisani akiwa n bible yake vizuri, lakini akikutana na nyoka anaiua hyo dhambi atatupu wapi?? Na Mungu alisema tusiue?

22/06/2025

POINTS TO NOTE.✍️

1.βœ…Usimlilie aliyekuacha ipo siku atakulilia ww kwa kukupoteza.

2.βœ…Haina haja kupigania penzi ambalo unaonekana mtumwa kwa mtu asiyejali hisia zako.

3.βœ… Amini yupo mwingine atakaye kupenda kwa dhati na utaishi kwa Amani.

21/06/2025

Unajua jembe likilima na likaoshwa vizuri huwezi jua k**a limelima,

Lakini shamba likilimwa hata ulioshe vipi watu watajua tu hili shamba limelimwa,

Elewa nemo JEMBE na SHAMBA....

21/06/2025

Hauwezi kuiyona thamani ya kuku mbaka siku kuu ikaribie.

Na si kwamba Kila kijana unae muona ukadhani hana ushauri la hasha!

Namaanisha yakwamba kuna uwezekano ukawa mkubwa kiumri lakini ukawa mtoto tu kibusara na hekima.

+FOLLOW Busunkwi Junior

21/06/2025

Watu wanahesabu mabaya tu, na mema hawayaoni.

Wanakuchekea usoni, wanakuroga moyoni.

Wanacheka chini chini, wakati kuna msiba.

Wakwanza kukutangaza kwa watu ukiwa na shida.

Wanatamani tu wapangue kila molah alicho panga.

Wanatangaza amani uku wameficha mapanga!

21/06/2025

Wanaume hapa kuna kibarua. Soma kwa makini..

Hivi kwa mfano. Mvamiwe kwa nyumba na majambazi mkiwa wawili, wewe na mpendwa wako ama bibi yako, hao majambazi wachukue bunduki wakupee wewe mwanaume wakambie πŸ˜‚ Ukiua huyu mke wako wewe utabaki ukiwa hai hatutakuua utaendelea kuisha na utaoa mke mwingine muendelee na yeye πŸ˜‚ wewe k**a mwanaume uanze kusema πŸ˜‚ Mimi siezi ua huyu mpendwa wangu nampenda sababu ndiye anafanya hadi waleo napumua πŸ€”Majambazi waseme ooh, huyu mpendwa wako ndiye anafanya hadi waleo unapumua πŸ˜€ useme yah. Haya wakutoe bunduki, wapatie huyo mpendwa wako, wamwambie hivi, ukipiga huyu mmeo risasi utabaki wewe ukiwa hai na utapata mwanaume mwingine ambae mtaishi nae tena kwa amani k**a vile mulikuwa mnaishi na huyu wako πŸ˜‚ Mwanamke ashike bunduki πŸ€” Aweke risasi kwa laini ambayo inatakikana πŸ˜‚ Akuwekee kwa kichwa πŸ˜‚ Apige puuu! Kumbe ile bunduki haikuwa na risasi yoyote uko ndani πŸ˜‚ Majambazi wawambie. Sisi tulikua tunapita hatukua na ubaya wowote nivile tulikua tunawapima tuone k**a mnapendana πŸ˜‚πŸ˜‚ Haya sisi tumeenda, waache wao waende ivo πŸ˜‚πŸ˜‚ Swali yangu ni,,, Hivi unaeza samehea huyo mke wako ama huyo mpendwa wako πŸ˜‚πŸ˜€ Na kumbuka k**a risasi lingekuwa ndani ya bunduki ingekua mambo ni mengine yanaongelewa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Follow Busunkwi Junior for follow back.

08/06/2025

FOLLOW Busunkwi Amos FOR FOLLOW BACK

Address

Migori

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wamachani kijana posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share