
16/09/2025
Tafadhali usiniulize chochote kuhusu mtu, kitu, siasa, biashara, rafiki ama chochote ambacho hauoni nikiongea kuhusu..... Don't force me to comment on issues which doesn't concern me or my life.....
Ukiona siongelelei mtu ama kitu jua yakwamba either alinichosha ama kitu kilinichosha, la pili nikiongea kuhusu hakina ama hana faida kwangu.....
Roman njambi .
✅✅✅