Shirko

Shirko Awadh Salim popularly known as Shirko, the best Musician/producer well recognized in East Africa.

Major hits: Nawewe tu, Najua ft Berry black, Kidogo Diamond ft P.Square, Nibebe, Natamba & founder of Yamoto Band (Aslay, E.Bella, Beka flavour & Mbosso)

Happy Birthday Madam Lulu Hassan 🎉May your day be filled with joy, love, and all the happiness you bring to others throu...
24/04/2026

Happy Birthday Madam Lulu Hassan 🎉

May your day be filled with joy, love, and all the happiness you bring to others through your incredible work. You continue to inspire so many of us with your strength, grace, humility and dedication. You are our hope in these times where most of us are craving for change and better life we wished for day by day from the root of our hearts. Wishing you more success, good health, and beautiful moments in the year ahead. Stay healthy 2027 needs your presence.

Keep shining and making a difference. Have a truly amazing birthday!

fans

24/04/2026

😀Haya mliosema hana meno “kikowapi” 😆Dj zoro keshamtia meno. Super star 👇🏾

Ukiitazama hii picha wimbo gani unakujia kichwani?
23/04/2026

Ukiitazama hii picha wimbo gani unakujia kichwani?

22/04/2026

Ukitaka kujua dunia haina huruma, tazama lile kofi analopigwa MBU sio sawa na mwili wake…

kitu gani kwako ni ishara kuwa hamna huruma?

21/04/2026

Hadi machozi yanagonga kuta za mboni kutaka kudondoka😢👇🏾Madam rita why?😰

Kuwa huru mara nyingi kunahitaji uache vitu fulani, labda watu, mazoea, au hata hofu zako. Hiyo inaweza kuuma moyoni mar...
19/04/2026

Kuwa huru mara nyingi kunahitaji uache vitu fulani, labda watu, mazoea, au hata hofu zako. Hiyo inaweza kuuma moyoni mara nyingi sana, na ndio maana halisi ya ile ‘gharama kubwa’.

Lakini ukikosa kuchukua hatua na kubaki pale pale, majuto yake huwa mazito zaidi kwa sababu unajua ungeweza kufanya tofauti ila tu ukaamua kubali na ile hofu yako.”

Hii mara nyingi tunaita kufanya maamuzi magumu na ndio maana hitawahi kuwa rahisi sana bila msimamo. Maamuzi mangumu yanaweza kukutenganisha na kila ulichoamini ni muhimu ila wasi wasi wa nafsi ukisimama kwenye ukweli unakupa tahadhari, ila moyo siku zote una huruma ya kusitisha maamuzi ya haraka na kucheleweshwa na hofu.

Kwa kifupi:
Uhuru unaumiza kwa muda, lakini majuto yanaumiza kwa muda mrefu. Haya ni maamuzi magumu sehemu mbili ambayo unatakiwa kuchagua moja. Ubaki kuwa huru au ubaki kuishi kwenye jela ya majuto.

Picha ya leo kwenye kumbu kumbu ya siku na tarehe hii: Unamtambua nani hapo🫱🏼‍🫲🏾
16/04/2026

Picha ya leo kwenye kumbu kumbu ya siku na tarehe hii: Unamtambua nani hapo🫱🏼‍🫲🏾

10/04/2026

Tuliambiwa mwanya ni ishara ya utajiri. Nikifa maskini ntamlaumu Mishy Beyb KE 😄

Nyimbo gani inakuja fasta kichwani ukiona hii picha… let’s go!
09/04/2026

Nyimbo gani inakuja fasta kichwani ukiona hii picha… let’s go!

“Usiwape watu vitu sana, maana watu wana watu wao.”Maneno haya yamenigusa sana. Nimeyatafakari kwa kina na kwa undani mk...
07/04/2026

“Usiwape watu vitu sana, maana watu wana watu wao.”

Maneno haya yamenigusa sana. Nimeyatafakari kwa kina na kwa undani mkubwa.

Watu wengi wenye roho nzuri hujikuta wakiingia dosari kwa sababu ya kuishi na matarajio, wakichezea k**ari imani zao mbele ya watu ambao hawana uhakika k**a wanathaminiwa mioyoni mwao, au k**a watapewa thamani sawa kwa wema wanaoutoa.

Umewahi kumpa mtu kitu kwa mapenzi ya dhati, akakifurahia, akakitumia, na kikamsaidia kweli? Nafsi yako hujisikiaje wakati huo? Moyo hujaa furaha ya aina gani?

Sasa jiulize, unapokuwa na matarajio ya mwitikio huo huo, halafu ukutane na kinyume chake, unajisikiaje?

Tunaambiwa mabaya hayasahauliki kirahisi, lakini wema mara nyingi husahaulika haraka, hasa kwa mtu asiyejali. Ndipo maana ya maneno haya inaonekana wazi zaidi:
“Usiwape watu vitu sana, maana watu wana watu wao.”

Yananifanya nitafakari: nimefanya mangapi? Na katika mizani ya kile nilichojifanyia na kile nilichowafanyia wengine, kipi kina uzito zaidi?

Katika maandiko ya dini tunaambiwa:
“Mpende jirani yako k**a unavyoipenda nafsi yako.”

Usiishie kwenye tafsiri ya juu, ingia kwenye maana yake.
Kuna sababu ya kuwepo kwa kipengele hiki: “k**a unavyoipenda nafsi yako.”

Hii inaonyesha wazi kuwa kujithamini ni msingi muhimu kabla ya kuwajali wengine. Lakini pia kuna mpaka, usizidishe hadi ukaangukia kwenye ubinafsi, uchoyo, umimi, au kuwatengea wengine. Usijitosheleze kupitiliza hadi ukajenga kiburi.

Wema una mipaka.
Haupimwi kwa hisia, bali kwa busara, subira, na muongozo wa imani.

Kuwafanyia sana watu huku ukijisahau wewe mwenyewe ni mwanzo wa kuvunja misingi inayoshikilia wema wako. Kwa sababu, hata ufanye mema mara ngapi, ukweli ni kwamba watu wengi husahau haraka.

Na siku ukikosea hata kidogo tu, utashangaa makosa hayo yakikuzwa, yakisimuliwa, na kurudiwa hadi ujute kwa nini uliwahi kuwa mwema kwa kiwango kile.

Wapo wanaosema: “Tenda wema nenda zako.”
Lakini ukweli ni kwamba si rahisi hivyo.

Moyo wa binadamu una pande mbili, hisia na maumbile. Unaweza kujilazimisha kupotezea maumivu, lakini ipo siku utamfanyia mtu unayemjali jambo la dhati, halafu akakuudhi kiasi kwamba msemo huo utauona k**a picha ya pesa kwenye gazeti lilofungiwa maandazi.

Na hapo ndipo utatambua, kuwa hata wema unahitaji mipaka.

To you Madam Lulu Hassan That photo you sent me with my aunt hit me deeply. She is my father’s sister the last standing ...
04/04/2026

To you Madam Lulu Hassan
That photo you sent me with my aunt hit me deeply. She is my father’s sister the last standing pillar of our family and the woman who took it upon herself to raise me with strength, sacrifice, and unwavering love after I lost my mother.

This is not just any relative. She is my backbone, my compass, and a voice I do not take lightly. When she makes a decision, it carries weight.

So seeing her stand firmly with you and choose to support you is powerful. It speaks volumes.

I had already made my personal decision to stand with Team Lulu, but her taking the same stand has solidified it beyond doubt. That moment wasn’t just symbolic it was confirmation that I am exactly where I need to be.

Thank you for the respect and honor you showed her. That alone has earned my trust on a deeper level and strengthened my resolve even more. fans

Address

Shirkomedia
Mombasa
90529

Opening Hours

Monday 11:00 - 22:00
Tuesday 11:00 - 22:00
Wednesday 11:00 - 22:00
Thursday 11:00 - 20:00
Friday 14:00 - 05:00
Saturday 14:00 - 20:00
20:00 - 05:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shirko posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Shirko:

Share

Category