Lamar Da Lamaz

Lamar Da Lamaz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lamar Da Lamaz, Digital creator, Mombasa.

๐™ˆ๐™„๐™Ž๐™๐˜ผ๐™†๐™€๐™‰ ๐™„๐˜ฟ๐™€๐™‰๐™๐™„๐™๐™”     ๐Ÿ“บ๐ŸŽฌEpisode 4..nilienda kuona ni nn naitiwa.. niliingia kwa ile nyumba ๐Ÿ˜๏ธna uoga, ile hata haikuwa n...
22/02/2025

๐™ˆ๐™„๐™Ž๐™๐˜ผ๐™†๐™€๐™‰ ๐™„๐˜ฟ๐™€๐™‰๐™๐™„๐™๐™”

๐Ÿ“บ๐ŸŽฌEpisode 4
..nilienda kuona ni nn naitiwa.. niliingia kwa ile nyumba ๐Ÿ˜๏ธna uoga, ile hata haikuwa nyumba, ilikuwa like statehouse,๐Ÿซฃ boss alikuwa amekaa hapo sitting room kwa kiti..

BOSS: Good morning

ME: Good morning too

BOSS: I hope jana ulifanyiwa orientation ya huko nje na mwenzako, nimekuita hapa ndo nikuambie kazi utakuwa unafanya na rules za kazi pia ndo tuelewane salary๐Ÿ’ฐ

ME: Yeah, naskiza

BOSS: So ww ni wa cleaning, both inside and hapo nje kwa compound kufyeka, kutream maua na kuzipalilia๐ŸŒฑ๐ŸŒป.. ndani utafanyanga mopping, dusting and wiping, na hautakuwa alone, utasaidia na Sandra,

Niligeuka nikaona Sandra๐Ÿ˜Š alikuwa amesimama hapo kwa mlango akiwa amenyenyekea.... Sandra aliambiwa aende nje ndo tuelewane salary...

BOSS: Sasa unaona kwa hiyo kazi uwe unalipwa ngapi??

ME: Sincerely sijawahi work anywhere, but according to the work umeniambia 5k haitakuwa mbaya...

Boss aliniangalia akasmile๐Ÿ˜. Nilishangaa ananismilia nini na mm nimetoa bei yangu... Nilidhani anaona niko mu'expensive sana๐Ÿ˜‚

BOSS: I understand you, utakuwa starting salary of 10k,

Kuskia ni 10k nilishtuka, yaani kuosha tu na hizo kazi kidogo for 10k a month๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ... Huko home nilikuwa nimezoea kazi ngumu na nalipwa 200 a day, uko nikifanya a month itakuwa 6k a month.... Niliona hapo nitaomoka haraka sana given that I had nobody to take care of....

ME: I really appreciate, I promise to give my best, all that I have to do

BOSS: So rules ni, first no theft, no laziness and no idleness time Kuna kazi haujamaliza.. ukimaliza kazi upumzike no problem. Hii living room hakuna kukaa huku, hope umeona room yako yenye umepewa...

ME: Yeah๐Ÿ˜ฒ

BOSS: Kuna tv ๐Ÿ“บscreens nime'order mtawekewa kwa hizo rooms pia muwe mnawatch๐Ÿ˜Š... Hii compound hakuna kutoka nje bila permission yangu..

ME: Thanks sana..

Boss aliita Sandra na kumwambia anionyeshe kazi nitaanza nazo that day.... According to life niliona hapa, niliapa sitawahi jaribu kumess nipoteze hii

N GOD MANZEE
15/10/2024

N GOD MANZEE

Ata uwe mtam aje auez  Jikula io n kwel peana    io something manze        Monday vibes...
24/07/2023

Ata uwe mtam aje auez
Jikula io n kwel peana
io something manze
Monday vibes...

Address

Mombasa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lamar Da Lamaz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share