11/08/2024
Walimu watishia kugoma muhula ukianza...
"Walimu wako tayari kususuia kurudi kazini ikiwa Tume ya Utumishi wa Walimu haitaheshimu awamu ya pili ya Mkataba wa Makubaliano ya 2021-2025, walimu hawatarejelea kazi shule zitakapofunguliwa tarehe 26 Agosti 2024,β Collins Oyuu, Katibu Mkuu wa KNUT.