Eneo La Tukio Tv

Eneo La Tukio Tv Art and Creativity

Police in Lodwar got a surprise treat when they came across Vera Sidika along the roadside. Overjoyed, they took a quick...
02/09/2025

Police in Lodwar got a surprise treat when they came across Vera Sidika along the roadside. Overjoyed, they took a quick photo, clearly enjoying the moment. Sidika was visiting for a weekend performance at Quitos Lounge.

Japan imechagua miji(cities) yake minne kuwa makao ya Waafrika  kuishi na kufanya kazi. Hizi nchi zimepewa hii mijiNagai...
25/08/2025

Japan imechagua miji(cities) yake minne kuwa makao ya Waafrika kuishi na kufanya kazi. Hizi nchi zimepewa hii miji

Nagai – Tanzania

Sanjo – Ghana

Imabari – Msumbiji(Mozambique)

Kisarazu – Nigeria

Hii inaleta nafasi mpya za ajira, visa rahisi na ushirikiano mkubwa kati ya Afrika na Japani.

Je, wewe ungependa kuishi Japan?

Mchezaji wa klabu ya Mseal FC, Victor Haki, amelazimika kufunga akaunti yake ya TikTok baada ya kuzua hasira miongoni mw...
23/08/2025

Mchezaji wa klabu ya Mseal FC, Victor Haki, amelazimika kufunga akaunti yake ya TikTok baada ya kuzua hasira miongoni mwa Wakenya. Hii ni baada ya video yake kusambaa akisherehekea kichapo cha timu ya taifa. Mashabiki wengi wamesema kitendo hicho hakiheshimu taifa na kinapunguza imani kwa wachezaji wa ligi ya ndani (local league)

21/08/2025
Jamaa mmoja adai alilipa dola $1200 za marekani ili kupiga picha na msanii Chris Brown
20/08/2025

Jamaa mmoja adai alilipa dola $1200 za marekani ili kupiga picha na msanii Chris Brown

Uwanja wa michezo nchini Tanzania wasalia mtupu wakati wa mechi za CHAN. Tiketi zilikuwa zinauzwa kwa shilingi 50 za Ken...
19/08/2025

Uwanja wa michezo nchini Tanzania wasalia mtupu wakati wa mechi za CHAN. Tiketi zilikuwa zinauzwa kwa shilingi 50 za Kenya, lakini wengi walilalamika kuwa bei hiyo ni ya juu. Wakati huohuo, Watanzania wanadai kuwa Wakenya wengi hawana shughuli muhimu ya kufanya , ndiyo maana wao hujazana viwanjani wakati wa mechi. Pia wanaomba na kutamani kukutana na Kenya kwenye fainali ili kuwapa funzo.

Mbunifu wa fashion kutoka Nigeria, Samuel Chinecherem Ezeh, ameweka rekodi ya dunia kwa kutengeneza joho lenye mikono mi...
19/08/2025

Mbunifu wa fashion kutoka Nigeria, Samuel Chinecherem Ezeh, ameweka rekodi ya dunia kwa kutengeneza joho lenye mikono mirefu zaidi – mita 51.20, refu kuliko sanamu ya statue of liberty na hata bwawa la kuogelea la Olimpiki.

Samuel (27), ambaye pia ni mwanafunzi katika Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu University, alisema:
"Ninataka kulipeleka kwenye ziara katika nchi na miji mbalimbali ili dunia ione uzuri wake.

Aponea chupuchupu kuchomwa baada ya kushikwa na bidhaa za wizi
16/08/2025

Aponea chupuchupu kuchomwa baada ya kushikwa na bidhaa za wizi

Address

Kiembeni
Mombasa
80100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Eneo La Tukio Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share