Eneo La Tukio Tv

  • Home
  • Eneo La Tukio Tv

Eneo La Tukio Tv Art and Creativity

Aponea chupuchupu kuchomwa baada ya kushikwa na bidhaa za wizi
16/08/2025

Aponea chupuchupu kuchomwa baada ya kushikwa na bidhaa za wizi

Mwanamke Mkenya aitwaye Sophy alienda live kwenye akaunti za Facebook na TikTok za mume wake akiwa na watoto wao na pich...
15/08/2025

Mwanamke Mkenya aitwaye Sophy alienda live kwenye akaunti za Facebook na TikTok za mume wake akiwa na watoto wao na picha ya mume wake ili kuthibitisha hadharani kwamba wao ni wanandoa. Alisema alichukua hatua hiyo baada ya kugundua kuwa mume wake amekuwa akiwaambia wanawake kadhaa kwenye inbox kwamba yeye hana mke.

"Watu hudhani nilioa bibi yangu ndio tukule pesa yake, ile favour huyo mwanamke ameniletea hata pesa yake huwa hatuguzi,...
15/08/2025

"Watu hudhani nilioa bibi yangu ndio tukule pesa yake, ile favour huyo mwanamke ameniletea hata pesa yake huwa hatuguzi, tunakula yangu mpaka inabaki!" Guardian Angel

Klabu ya Belgium, Royal Charleroi Sporting Club, imetoa ofa ya ksh 90 million za Kenya kwa ajili ya kumsajili nyota wa H...
12/08/2025

Klabu ya Belgium, Royal Charleroi Sporting Club, imetoa ofa ya ksh 90 million za Kenya kwa ajili ya kumsajili nyota wa Harambee Stars na Gor Mahia, Austin Odhiambo.

Mtoto huyu wa miezi 7 alinusurika ajali ya basi huko Kisumu iliyoua watu 27 papo hapo. Mtoto alitoka bila hata alama. Ni...
12/08/2025

Mtoto huyu wa miezi 7 alinusurika ajali ya basi huko Kisumu iliyoua watu 27 papo hapo. Mtoto alitoka bila hata alama. Ni muujiza. Mungu ni mkuu.

Meet Zikhaya Sithole, a brave man who risked his life to save children trapped in a burning shack after hearing a mother...
12/08/2025

Meet Zikhaya Sithole, a brave man who risked his life to save children trapped in a burning shack after hearing a mother’s desperate cry for help. He managed to rescue two, but a one-year-old sadly died. In the process, he suffered severe injuries, losing part of his eyesight and the full use of his hands, leaving him unable to continue his welding work.

“Mimi ndio nilizaa Peter Salasia,tuliachana na mama yake Salasia akiwa na miezi tatu sababu mama yake alikuwa kichwa ngu...
11/08/2025

“Mimi ndio nilizaa Peter Salasia,tuliachana na mama yake Salasia akiwa na miezi tatu sababu mama yake alikuwa kichwa ngumu. Salasia akuje aangalie sura tu,hata tunaeza fanya DNA ndio ajue mimi ni baba yake!” A Kikuyu man claiming to be Peter Salasia’s father is looking for him. He spoke in a video that has gone viral.

Rais William Ruto ameongeza zawadi ya ushindi kwa Harambee Stars hadi KSh 2 milioni iwapo watashinda  mechi dhidi ya Zam...
11/08/2025

Rais William Ruto ameongeza zawadi ya ushindi kwa Harambee Stars hadi KSh 2 milioni iwapo watashinda mechi dhidi ya Zambia Jumapili ijayo. Wakifika hatua ya quarter final, kila mchezaji atapata nyumba ya 2 bedroom na KSh 1 milioni. Wakitinga nusu fainali, watapata nyumba ya vyumba 3 (3 bedroom) na KSh 1 milioni nyingine. Hii ni baada ya kuwatunuku wachezaji na kikosi kizima cha kiufundi ksh1 million Kila mmoja baada ya ushindi wa 1:0 dhidi ya Morocco

Mwanaume aliyekataa kufa mara 6!Ismail Azizi, mwenye umri wa miaka 41 kutoka Tanzania, amepitia matukio sita ya ajabu am...
10/08/2025

Mwanaume aliyekataa kufa mara 6!

Ismail Azizi, mwenye umri wa miaka 41 kutoka Tanzania, amepitia matukio sita ya ajabu ambapo alitangazwa kuwa amekufa lakini akarudi tena kwenye uhai, jambo lililompa jina la utani “mwanaume asiyekufa.” Tukio lake la kwanza la “kifo” lilitokea baada ya ajali kazini, ambapo mwili wake ulipelekwa mochari akiwa hana fahamu, lakini baadaye alizinduka na kutembea mitaani, jambo lililowashangaza watu. Tukio la pili lilitokea alipougua malaria kali; safari hii aliwekwa ndani ya jeneza na kupelekwa kwenye mazishi, lakini akazinduka muda mfupi kabla ya kuzikwa. La tatu lilitokea baada ya ajali mbaya ya gari iliyomweka kwenye koma, ambapo madaktari walimtangaza kuwa amekufa, lakini akafufuka tena. La nne lilikuwa baada ya kung’atwa na nyoka mwenye sumu kali, ambapo alihifadhiwa mochari kwa siku tatu, kisha akazinduka wakati familia yake ilipokuja kuuchukua mwili wake. La tano lilitokea baada ya kuanguka kwenye shimo la choo, ambapo alidhaniwa kuwa amekufa lakini alirudi tena. Ufufuo huu uliwatisha sana wanajamii wake kiasi cha kuamini kwamba alikuwa mzimu, na hivyo wakaamua kuchoma nyumba yake moto katika jaribio la sita la kumaliza maisha yake. Cha kushangaza, alitembea kutoka kwenye moto akiwa hai.

Leo, Azizi anaishi peke yake, hana ajira na anabaguliwa, akiwashauri watu waishi vizuri, wamweke Mungu mbele, na wawe na huruma, kwani kuna mambo katika maisha ambayo yako nje ya uwezo wa binadamu.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Eneo La Tukio Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share