Dj SK Vybz

Dj SK Vybz ๐ŸŽง DJ SK Vybz โ€“ Mr. Vybz, The Party Plug
Spinning the hottest Afrobeat, Amapiano, and Dancehall vibes.

Turning up every event with unstoppable energy! ๐Ÿ”ฅ youtube.com/.

Mwalimu aliomba Shadow Akapewa ๐Ÿคฃ
31/12/2025

Mwalimu aliomba Shadow Akapewa ๐Ÿคฃ

Breaking News ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ”ฅโ€ผ๏ธManeno haya yaliacha wengi midomo wazi, wengine wakicheka kwa mshangao, na wengine wakisema โ€œhapana, h...
31/12/2025

Breaking News ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ”ฅโ€ผ๏ธ
Maneno haya yaliacha wengi midomo wazi, wengine wakicheka kwa mshangao, na wengine wakisema โ€œhapana, hii ni too much!โ€ ๐Ÿ˜ญ
Rapper The Game aliwahi kutikisa mitandao kwa madai mazito kuhusu familia maarufu duniani โ€” ๐Ÿ˜ณโ€ผ๏ธ

Kulingana na kauli zake, alidai waziwazi kwamba aliwahi kulala na wanawake kadhaa kutoka familia ya Kardashian ๐Ÿ˜ฎ
Aliielezea familia hiyo k**a โ€œtamu sanaโ€ ๐Ÿคค na akasema kati yao wote, Kim Kardashian ndiye sweetest zaidi ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ’”

Lakini hapa ndipo mambo yanapochanganya zaidiโ€ฆ
The Game alijaribu kujitetea kwa kusema hataki kumdharau au kumkosea heshima Kanye, licha ya kauli hiyo nzito ๐Ÿ˜ฌ
Mashabiki wakajiuliza: โ€œUnawezaje kusema hivyo halafu useme humdharau ex wa Kim?โ€ ๐Ÿค”

Kauli hizo zilisambaa k**a moto wa nyika ๐ŸŒช๏ธ
Wengine wakamshambulia kwa kumuita attention seeker, wengine wakasema huu ni ukweli mchungu wa Hollywood โ€” mahali ambapo mipaka ya heshima mara nyingi haipo ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”

๐Ÿ’ญ Swali linabaki:
Je, The Game alikuwa anasema ukweli wake?
Au ilikuwa ni njia ya kutafuta headlines na hype? ๐Ÿคทโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ“Œ Follow ๐Ÿ‘‰ Dj Sk Vybz kwa story zaidi kali k**a hizi za mastaa na maisha yao nyuma ya pazia.

13/11/2025

K**a umeona siku ya leo mwambie mungu asante๐Ÿ™๐Ÿพ

Wanasayansi kutoka kampuni inayoitwa Lonvi Biosciences huko Shenzhen,   wameanza majaribio ya dawa mpya ya anti-aging am...
11/11/2025

Wanasayansi kutoka kampuni inayoitwa Lonvi Biosciences huko Shenzhen, wameanza majaribio ya dawa mpya ya anti-aging ambayo wanasema inaweza kufanya binadamu kuishi hadi miaka 150 bila kuzeeka haraka! ๐Ÿ˜ณ

Dawa hiyo inatokana na kiambato kinachoitwa Procyanidin C1 (PCC1) โ€” kimepatikana ndani ya mbegu za zabibu ๐Ÿ‡. Wanasayansi wanasema kimeonyesha matokeo ya kushangaza kwenye panya waliotibiwa โ€” waliishi muda mrefu zaidi na walionekana wachanga kuliko wenzao!

Kinachotia watu butwaa ni kwamba kampuni hii ndogo tu yenye wafanyakazi chini ya 10 ilianzishwa mwaka 2022, lakini sasa inazungumziwa kote duniani kwa kudai kuwa inaweza kufungua mlango wa maisha marefu zaidi kuliko tulivyowahi kufikiria! ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ”ฅ

Wengine wanasema huu ni mwanzo wa mapinduzi ya kibinadamu โ€” lakini wengine wanaonya kuwa ni hatari kuchezea โ€œmuda wa Mungu.โ€ โณ
Hakuna bado uthibitisho rasmi wa majaribio ya binadamu, lakini tayari watu wengi wameanza kujiuliza: Je, dunia iko tayari kwa watu kuishi karne moja na nusu? ๐Ÿค”

๐Ÿ‘‰ Wazo lenyewe linatia tumbo joto โ€” fikiria babu yako akiendelea kuwa hai akiwa na miaka 130 bado anacheza TikTok ๐Ÿ˜…

Funzo: Teknolojia inapiga hatua haraka, lakini si kila โ€œmuujiza wa sayansiโ€ ni salama au wa kweli. Wakati mwingine tunapaswa kuuliza โ€” tunataka kuishi muda mrefu, au kuishi vizuri? ๐Ÿ’ญ

๐Ÿ“Œ Follow ๐Ÿ‘‰ Dj SK Vybz kwa story zaidi kali k**a hizi za sayansi, mastaa, na maisha yao nyuma ya pazia. ๐Ÿ”ฅ (Disclaimer: info from news sources/my opinion)

Olamide in Warri ๐Ÿ”™
11/11/2025

Olamide in Warri ๐Ÿ”™

Watu wengi walidhani AKON ni bilionea hadi ukweli ulipobainika kortini ๐Ÿ˜ญ. Mwaka huu mke wake aliomba talaka baada ya mia...
11/11/2025

Watu wengi walidhani AKON ni bilionea hadi ukweli ulipobainika kortini ๐Ÿ˜ญ. Mwaka huu mke wake aliomba talaka baada ya miaka 21 ya ndoa, akidhani atatoka akiwa tajiri zaidiโ€ฆ kumbe mambo ni tofauti!

Korti ilipofungua faili, ilibainika kwamba Akon alikuwa na $10,000 tu kwenye account ๐Ÿ˜ณ โ€” na pia alikuwa na madeni, hana mali, hana nyumba wala gari kubwa.
Wakati huo mke wake ndiye alikuwa na $2 million, pesa alizojikusanyia mwenyewe.

Lakini kwa mujibu wa sheria, mali inagawanywa nusu kwa nusu.
Korti ikasema mke wa Akon lazima ampe nusu ya hiyo $2 million.

Lakini Akon akasema hapana ๐Ÿ™…๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ โ€” โ€œwacha abaki nayo, ni mama wa watoto wangu, sina kinyongo.โ€
Watu wengi wamebaki wakimuita mwanaume halisi mwenye roho safi โค๏ธ.

๐Ÿ‘‰ Funzo kubwa kwa wanaume:
Usiishi ndoa ukiweka pesa juu ya utu. Mwanaume wa kweli si yule mwenye milioni, ni yule mwenye moyo safi na heshima kwa familia yake. Akon ametuonyesha kuwa wanaume bado wapo โ€“ wale wanaochagua utu kuliko pesa. ๐Ÿ’ช

Wewe unadhani, k**a ingekuwa wewe, ungemwachia hizo $2 million au ungechukua haki yako ya kisheria? ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘‡

๐Ÿ“Œ Follow ๐Ÿ‘‰ Dj Sk Vybz kwa story zaidi kali k**a hizi za mastaa na maisha yao nyuma ya pazia. ๐Ÿ”ฅ

18 year-old Manchester City midfielder Divine Mukasa names Phil Foden & Jude Bellingham as the players in his position t...
07/11/2025

18 year-old Manchester City midfielder Divine Mukasa names Phil Foden & Jude Bellingham as the players in his position that he looks up to 0๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช

"I'd say the midifelder I look up to is Phil Foden because

of his play style and the comeback he has made. It's inspiring, he showed a strong mentality and was able to come back well this season.

I'd also say Jude Bellingham, just because of his play style. I'd say he's a complete midfielder"โšฝโšฝ

Crazy that he actually assisted Foden on his senior debut too. He knows ball. news city

Breaking News ๐Ÿšจ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅDiamond Platnumz yuko tena kwenye headlines! Safari hii sio kwa wimbo mpya, bali kwa keki yenye maneno ...
07/11/2025

Breaking News ๐Ÿšจ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ
Diamond Platnumz yuko tena kwenye headlines! Safari hii sio kwa wimbo mpya, bali kwa keki yenye maneno yenye utata mkubwa ambayo ameipost mwenyewe.

Katika picha hiyo, keki imeandikwa:
"Pole na MABOMU babe ๐Ÿ’ฃ Mlipuko ninaoutaka ni wa mapenzi"
na Diamond akaandika caption: โ€œThank you babe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚โ€

Lakini tatizo ni moja kubwa โ€” Wiki iliyopita Tanzania ilipitia majonzi makubwa baada ya vurugu za uchaguzi ambapo watu kadhaa walipoteza maisha na wengine kujeruhiwa kwa mabomu na vitoa machozi. ๐Ÿ˜ข

Sasa mashabiki wengi wanasema hii sio keki ya utani, bali ni kejeli kwa wanyonge walioathirika. Wengine wamesema Diamond amekosa utu na huruma, huku wengi wakianza kum-unfollow kwa kasi kwenye Instagram. ๐Ÿ’”

Wengine wanatetea wakisema labda hakuwa na nia mbaya โ€” ila je, k**a ni kweli alijua muktadha wa kile kinachoendelea nchini, ni sawa kwa msanii mkubwa k**a yeye kupost kitu k**a hicho? ๐Ÿค”

Swali ni moja: Je, Diamond Platnumz amepoteza connection na wananchi wenzake? Au hii ni makosa madogo yaliyopulizwa kupita kiasi?

๐Ÿ“Œ Follow ๐Ÿ‘‰ Dj Sk Vybz kwa story zaidi kali k**a hizi za mastaa na maisha yao nyuma ya pazia. ๐Ÿ”ฅ

Kuna pressure kubwa siku hizi โ€” โ€œoa kabla ya 30,โ€ โ€œolewa kabla haujazeeka,โ€ โ€œwenzako wote wameolewa.โ€ Lakini ukweli mchu...
05/11/2025

Kuna pressure kubwa siku hizi โ€” โ€œoa kabla ya 30,โ€ โ€œolewa kabla haujazeeka,โ€ โ€œwenzako wote wameolewa.โ€ Lakini ukweli mchungu ni huu ๐Ÿ‘‰ marrying the right person is more important than being married before 30.

Unajua kwa nini? ๐Ÿ˜ข
Kwa sababu kuna watu waliingia ndoa mapema, lakini sasa wanaishi k**a wageni ndani ya nyumba zao. Wengine walifunga ndoa kwa harusi kubwa, lakini moyo wao umejaa upweke. Wengine walichagua kuharakisha, sasa wanaishi maisha ya kulazimisha tabasamu kila siku. ๐Ÿ˜”

Heri uchelewe lakini uingie kwa amani. Heri uchelewe lakini uwe na mtu anayekujali kweli, anayekuombea, anayekusukuma uwe bora โ€” siyo anayekuvuta chini kila siku kwa maneno na stress. โค๏ธ

Kumbuka ๐Ÿ‘‰ Marriage is not a race, itโ€™s a lifetime commitment. Bora uchelewe ukae na mtu sahihi kuliko kuharakisha uteseke miaka yote.

๐Ÿ’ญ Wewe unasemaje? Ni bora kuolewa mapema au bora kumsubiri โ€œright personโ€? ๐Ÿ˜„ wenye hawana jibu waniambie kuna kuku wangapi hapo chini? ๐Ÿ“

๐Ÿ“Œ Follow ๐Ÿ‘‰ Dj Sk Vybz kwa story zaidi kali k**a hizi za maisha nyuma ya pazia. ๐Ÿ”ฅ

Utawacha nini hapo?
21/07/2025

Utawacha nini hapo?

Address

Mtwapa
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dj SK Vybz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category