28/05/2026
Katibu wa Chama cha UDA Hassan Omar Sarai matatani! Katibu mkuu wa chama tawala cha UDA Hassan Omar Sarai amejipata matatani baada ya viongozi wa chama hicho kutoka eneo la Mlima Kenya kumtaka ajiuzulu mara moja wadhfa huo kwa hiari la sivyo wamlazimishe kinara wa chama hicho Rais William Ruto kumuondoa uongozini.