Shunil carey

Shunil carey Am A Cosmetologist
800k followers,shall we? Thank you
07.95.08.76.19
(5)

Its true,it's confirmed,the king who ruled but never reigned has died this morning at the age of 80 in India,Rip mzeee R...
15/10/2025

Its true,it's confirmed,the king who ruled but never reigned has died this morning at the age of 80 in India,Rip mzeee Raila Odinga,😥💔😭

14/10/2025

🤣🤣🤣🤣🤣🫴🫴 #

Kuna jamaa alinitumia ujumbe akasema ni post anatafta mwanamke wa kuoa na akasema hataki single mother! Weuh hiyo post i...
14/10/2025

Kuna jamaa alinitumia ujumbe akasema ni post anatafta mwanamke wa kuoa na akasema hataki single mother! Weuh hiyo post imeleta vita Kali sana, single ladies in the house wamewaka comment section vibaya sana!wanaume nao wameongea maneno Wacha tu,

Now imebidi nikuje hapa tuongee,hivi mbona kuwa single mother wanapigwa vita vikali hivi?hivi mnajua Kuna wanawake ambao waliwapoteza wanaume wao na ndio maana wako single mothers?pia Kuna ndoa zingine zilishindikana na mtu akaamua atoke asije akafia huko ?hivi pia Kuna wanawake waliobakwa na wasijue hata watu hao na ndio maana wako hivo?

Haya basi,vipi kuhusu single father's?je mnajua Kuna wanaume wamezaa na wake tofauti tofauti huku nje na hawalei watoto wao? Mbona wanaume k**a hao hawapigwi vita?jamani hili jambo linafaa liishe,kila mtu anatamani ndoa nzuri,lakini wakati mwingine inakataaa

Naomba tuheshimu kila mtu,watu waishi maisha yao,na wanaume pia wacheni kutelekeza watoto wenu,wanawake pia msiwe wakalii sana kwa Hawa wanaume,maisha ni kufaaana,ndoa ni kuvumiliana,ukijaribu ikatae usijilaumu sana,IPO siku,

Na mkumbuke hakuna mtu alijikula akashika mimba!mtoto hutengenezwa na watu wawili,mume na mke!hata k**a umepitia machungu kiasi gani,usichukie sana baba ama mama ya mtoto wako,kumbukuka Kuna wakati alikua kipenzi Chako Cha roho,kwa ajili ya watoto msiwe na chuki jamani

Wewe una maono gani kwa hili swala?hebu nione watu walio na mtazamo mzuri wakichangia hii mada,

14/10/2025

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hi,ni business gani wewe hutamani kufungua lakini hujafanikiwa?na ni Nini inafanya hujaweka ?unaweza pata mtu huku mweny...
14/10/2025

Hi,ni business gani wewe hutamani kufungua lakini hujafanikiwa?na ni Nini inafanya hujaweka ?unaweza pata mtu huku mwenye biashara k**a hiyo akupee encouragement.....

14/10/2025

Hello shuny first I want to congratulate you for good work you are doing Through you am really learning a lot,
Please am 23 years hoping to get a lover 18 to 22 I will appreciate my mentor forever Greatful🙏🙏Am a Christian God loving I hustle najituma in short and am black but si sanaa vile and also looking for God loving lady because I believe to move the next step I need a supportive woman am in Nairobi

14/10/2025

Hi shunil ,natafta dem haki,mluhya/kisii or mkamba.... below 28(not a single mom). Am 34 a luhya, currently in Nairobi. Kindly post for me on your timeline. Thanks 🙏🏾

14/10/2025

Weuh nik**a drama nik**a video

Nani anauza dresses na pia tops za mtush huku Bora ikue grade 1,aniuzie ama mni plug aki,nimechoka kuvalia trouser🤣🤣🤣ala...
14/10/2025

Nani anauza dresses na pia tops za mtush huku Bora ikue grade 1,aniuzie ama mni plug aki,nimechoka kuvalia trouser🤣🤣🤣alaf dresses za duka tawe,unavaa hivo ukifika tao kila mtu amevaa mnakaa watoto wa shule🤣🤣🤣,mni plug aki,u can reach me via 0795087619, na ujue hii ndio urefu yangu yote 🤣🤣🤣🤣🫴

13/10/2025

Leo nikuwanyorosha tu🤣🤣🤣🤣

13/10/2025

Hey Shuni
I hope you’re doing well. I wanted to ask for a small favor if it’s okay with you. Could you please make a post or ask your followers on Facebook if there’s anyone who might know of any job opportunities
I recently completed my Diploma in ICT, and I’m really eager to start working, gain experience, and grow in my career. I’m 24 years old, from one of the international communities , Luhya😂😂, and I’m passionate about technology and learning new things.
I’m open to any kind of opportunity, whether it’s in ICT or something that can help me gain experience as I build myself up. I’m hardworking, dedicated, and ready to start as soon as possible.
I’d truly appreciate it if you could share this on your timeline or connect me with someone who might be able to help. Any job can do for now.

13/10/2025

Hello Shun,am a luhya a bukusu to be specific
Am 27 years and a qualified primary teacher
Am currently in Ruaka and would wish you to post for me in your wall.

Looking for a lady aged 23-25 years and ready to settle with a man...I don't mind any tribe bora awe hardworking

Hide my identity I will be following Comments for dm them my number

Address

Kagundo Road
Nairobi West
00100

Telephone

+254795087619

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shunil carey posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Shunil carey:

Share