
26/09/2025
❤️ PAWA 🔥
😂 PART 44
Hapo macho yangu ikablink nikingoja bluetooth iwe disconnected. Kijana akameza mate, kuenda kuongea akanyongwa na mate ikabidi Josse akimbie jikoni aende kumletea maji😉. Hapo ndio nilijuwa enyewe mambo ya stima inafaa iachiwe watu wa stima.
Mimi kuona hivo nikajuwa leo sir God amecheza k**a yeye. Josee kumpea maji kijana wake akatulia na kunyamaza, akasahau na kitu alitaka kusema😊. Hiyo saa yoye msichana na Josee tulikuwa tumetulia tukiongoja kombora ilipuke.
Jioni wageni wote walijiendea makwao. Lakini gaidi mmoja alibaki kwa hiyo bash akikula mabaki😃. Guess what ilikuwa mimi. Yes siitwi kibaki lakni nilibaki pale nikikula mabaki. Niliambia cook wacha nimsaidie kukusanya plates ilitumika kwa bash then nasanya food yote kwa one plate, halfu nafunga macho nakumbuka venye one day niliwahi lala njaa, nakula chakula yote fyuu😋.
Venye Josee ni arifi sikuwa naogopa stori na kulala uko coz najuwa tayari one room ni yangu. Sasa kitu saa mbili hivi sisi wote tulikuwa tunawatch kwa sitting room. Sasa kumbe venye nilijaza food kwa tumbo, nlikuwa nahisi kunyãmba but nlikuwa naikazia isichome bet😛.
Kidogo hivi, mnyãmbø ingine ikakuja na speed yenye si ya kawaida. Hapo nikakaza tãkø, nikaifungia brake ingine kali karibu brake ikatike. Wah ikarudi penye ilitoka. Kila mtu alikuwa busy kwa t.v📺, ni mimi tu peke yangu nilikuwa busy nikipambana na 3rd world war😆. Kidogo tena ikarudi, this time round ilikuwa na double force, ilibidi niikaizie then nikaamuka speedy nikielekea kwa exit door.
Nikitoka nje watu wote kwa nyumba walizungusha shingo 360° kuniona. Kufika nje nikaichilia freely halafu nikarudi ndani. Kufika ndani kumbe ilikuwa bado inanuka from far. Nikaona yule kijana mdogo wa Josee akifunga mapuã kisha akasema, ''k**a inanùka hivi na imetoka uko nje, na uko nje sasa inanükaje😂.''
Siku taka aibu nikaamua kuenda kujilalia kwa room nilikuwa nimetengewa nilale. Nilitoa nguo zangu, then nikaingia bed. Kidogo Sharo akanipigia nikakata call yake like five times😎. Usingizi ikanibeba. Saa sita ya usiku hivi nikasikia kwa mlango 'Kong Kong' nikashindwa sasa huyu ni nani?🤔 Nikajifunika tøwel ilikuws hapo kando ya kitanda, nikavaa slippers then nikaenda kufungua mlango. Usingizi ilikuwa bado kwa macho yangu, kutazama ilikuwa msichana wa Josee.
Alikuw amebaki na båika na tøp peke yake. Hapo nikajiambia kimoyomoyo, 'shetani leo unaplace home team, na mimi najifunga own goal k**a Maguire 😂 ndio away team ishinde🤗.' Msichana wa Josee alikuwa anauma😉 mdomo kiplani kutokana na baridi.
''Ni nini mbaya unaniamsha usiku wa manane hivi?'' Nilimuuliza. Hapo dem akanishika shati then akanivuruta nimkaribie😲. Weh halfu akasema, ''unajuwa mimi nakaziwa na wazazi wangu sana so sipati kukutãna na majamaa aki.'' Halafu akanyamaza, nikajuwa baas! hapa nikupëwa kupëwa.
Akili ilianza kugoogle style naweza kutumia😬. Dem hapo akasema, ''aki please nataka unifanyie hii favour...'' That was interesting, karibu nimwambie aingie ndani awache kuwaste time, naye mzee mfupi ndani ya msitu alikuwa ameanza kuamka😷.
Msichana wa Josee kuona namsmilia visëxy😉 akasema, ''nifanyie hii favour please, kuna jamaa yangu ako kwa gate ananingojea, enda umlete coz naogopa watchmãn anione.'' Hapo nikamskuma nje then nikafunga mlango pap. Mzee mfupi akafreeze ni k**a imeingizwa kwa cooler. Nikarudi kwa bed, nikaweka mikono yangu katikati ya mapãja nakulala😖.
Asubuhi na mapema niliamshwa na Josee, jamaa akielekea job. Nikamwambia naishia hiyo morning, nikitarajia maybe ataniwachia kitu, hapo Josee akaniangalia then akasema, ''siku hizi nadhani maisha yako si mbaya hivo coz k**a unaweza save 50k kwa mshwari bila kukula hata one bob, that means you are okay🤕.'' Hapo nilishindwa na ya kumjibu, nikaona jamaa akitoa wallet halfu akahesabu pesa yake then akaniwavia goodbye akiingia kwa gari yake😟.
After kutake breakfast niliamuwa kuchapa guu kurudi makejani. Kufika makejani ilkuwa kitu saa saba mchana, hali ilikuwa si hali Sharo alikuwa amefura k**a måtãko ya vera sidika. Mimi naye nikaamuwa siwezi muongelesha😯. Niliketi kwa bed nikiwa bado nikijiuliza kwani Caro aliendanga wapi?
Kidogo sharo akashika kiuno na kuniuliza, ''ulilala wapi wewe?😐'' Nikamrushia jicho halfu nikamwambia, ''sharo unataka kufanyia nini penye nililala ama unataka kuenda kutandika bed nililalia?🙄'' Hapo gaidi akakunja sura ikakuwa ngumu k**a magoti ya ngamia halfu akasema, ''you mean hiyo kitu yako haiwezi kaa bila mashimo ?''
Hapo nikacheka then nikamwambia, ''kwani umesikia nikisema kitu ni yako uipimie hewa, sikiza hii kitu ni yangu, naitumia venye nataka, sasa kitu yangu mimi mwenyewe inakuuma wewe kwa nini?'' Sharo akaboeka, akatoka nje😜. Nikatulia kwa bed, text ikaingia kwa phone yangu. Kucheki number ilikuwa ya Caro😊. Kusoma text ilikuwa inasema 'beb nilitekwa nyara na majãmbãzi, halfu wanataka one....' Before nimalize kusoma text, call ya budaangu ikaingia. Nikareceive call
Buda🧔🏽: Kijana wangu habari ya muda, umenyamaza sana😎 .
Mimi👨🏽: Sio hivo ni maisha imeninyamazisha.
Buda🧔🏽: Salimianga wazazi kijana, pesa huisha.
Mimi👨🏽: Hata sina pesa mimi🤗. Infact nilikuwa napanga nikupigie simu unitumie ka mia ya kubuyia tissue coz nimechoka kutumia matãwi.
Buda🧔🏽: [Akicheka] Heri wewe unatumia matãwi, uku nakwambia kumekauka mtu akimaliza haja kubwa anatoka nje then anavurutia tãkø lake kwa ground, double trouble sasa ni ujivurutie chini halfu kumbe kuna ka sindano kamejificha kwa nyasi 😂😂😂😂.
WEKA LIKE NIHARAKISHE PART 45🙏.