Amoro Japheth

Amoro Japheth GOD FIRST 🙏🥇,HOT 🥵 STORIES
IPO SIKU NITAKUWA BIGWIG✊
JUST AN ICON LIVING ⭐
(2)

❤️ PAWA 🔥 😂 PART 44Hapo macho yangu ikablink nikingoja bluetooth iwe disconnected. Kijana akameza mate, kuenda kuongea a...
26/09/2025

❤️ PAWA 🔥

😂 PART 44

Hapo macho yangu ikablink nikingoja bluetooth iwe disconnected. Kijana akameza mate, kuenda kuongea akanyongwa na mate ikabidi Josse akimbie jikoni aende kumletea maji😉. Hapo ndio nilijuwa enyewe mambo ya stima inafaa iachiwe watu wa stima.
Mimi kuona hivo nikajuwa leo sir God amecheza k**a yeye. Josee kumpea maji kijana wake akatulia na kunyamaza, akasahau na kitu alitaka kusema😊. Hiyo saa yoye msichana na Josee tulikuwa tumetulia tukiongoja kombora ilipuke.

Jioni wageni wote walijiendea makwao. Lakini gaidi mmoja alibaki kwa hiyo bash akikula mabaki😃. Guess what ilikuwa mimi. Yes siitwi kibaki lakni nilibaki pale nikikula mabaki. Niliambia cook wacha nimsaidie kukusanya plates ilitumika kwa bash then nasanya food yote kwa one plate, halfu nafunga macho nakumbuka venye one day niliwahi lala njaa, nakula chakula yote fyuu😋.
Venye Josee ni arifi sikuwa naogopa stori na kulala uko coz najuwa tayari one room ni yangu. Sasa kitu saa mbili hivi sisi wote tulikuwa tunawatch kwa sitting room. Sasa kumbe venye nilijaza food kwa tumbo, nlikuwa nahisi kunyãmba but nlikuwa naikazia isichome bet😛.
Kidogo hivi, mnyãmbø ingine ikakuja na speed yenye si ya kawaida. Hapo nikakaza tãkø, nikaifungia brake ingine kali karibu brake ikatike. Wah ikarudi penye ilitoka. Kila mtu alikuwa busy kwa t.v📺, ni mimi tu peke yangu nilikuwa busy nikipambana na 3rd world war😆. Kidogo tena ikarudi, this time round ilikuwa na double force, ilibidi niikaizie then nikaamuka speedy nikielekea kwa exit door.
Nikitoka nje watu wote kwa nyumba walizungusha shingo 360° kuniona. Kufika nje nikaichilia freely halafu nikarudi ndani. Kufika ndani kumbe ilikuwa bado inanuka from far. Nikaona yule kijana mdogo wa Josee akifunga mapuã kisha akasema, ''k**a inanùka hivi na imetoka uko nje, na uko nje sasa inanükaje😂.''

Siku taka aibu nikaamua kuenda kujilalia kwa room nilikuwa nimetengewa nilale. Nilitoa nguo zangu, then nikaingia bed. Kidogo Sharo akanipigia nikakata call yake like five times😎. Usingizi ikanibeba. Saa sita ya usiku hivi nikasikia kwa mlango 'Kong Kong' nikashindwa sasa huyu ni nani?🤔 Nikajifunika tøwel ilikuws hapo kando ya kitanda, nikavaa slippers then nikaenda kufungua mlango. Usingizi ilikuwa bado kwa macho yangu, kutazama ilikuwa msichana wa Josee.
Alikuw amebaki na båika na tøp peke yake. Hapo nikajiambia kimoyomoyo, 'shetani leo unaplace home team, na mimi najifunga own goal k**a Maguire 😂 ndio away team ishinde🤗.' Msichana wa Josee alikuwa anauma😉 mdomo kiplani kutokana na baridi.
''Ni nini mbaya unaniamsha usiku wa manane hivi?'' Nilimuuliza. Hapo dem akanishika shati then akanivuruta nimkaribie😲. Weh halfu akasema, ''unajuwa mimi nakaziwa na wazazi wangu sana so sipati kukutãna na majamaa aki.'' Halafu akanyamaza, nikajuwa baas! hapa nikupëwa kupëwa.
Akili ilianza kugoogle style naweza kutumia😬. Dem hapo akasema, ''aki please nataka unifanyie hii favour...'' That was interesting, karibu nimwambie aingie ndani awache kuwaste time, naye mzee mfupi ndani ya msitu alikuwa ameanza kuamka😷.
Msichana wa Josee kuona namsmilia visëxy😉 akasema, ''nifanyie hii favour please, kuna jamaa yangu ako kwa gate ananingojea, enda umlete coz naogopa watchmãn anione.'' Hapo nikamskuma nje then nikafunga mlango pap. Mzee mfupi akafreeze ni k**a imeingizwa kwa cooler. Nikarudi kwa bed, nikaweka mikono yangu katikati ya mapãja nakulala😖.

Asubuhi na mapema niliamshwa na Josee, jamaa akielekea job. Nikamwambia naishia hiyo morning, nikitarajia maybe ataniwachia kitu, hapo Josee akaniangalia then akasema, ''siku hizi nadhani maisha yako si mbaya hivo coz k**a unaweza save 50k kwa mshwari bila kukula hata one bob, that means you are okay🤕.'' Hapo nilishindwa na ya kumjibu, nikaona jamaa akitoa wallet halfu akahesabu pesa yake then akaniwavia goodbye akiingia kwa gari yake😟.
After kutake breakfast niliamuwa kuchapa guu kurudi makejani. Kufika makejani ilkuwa kitu saa saba mchana, hali ilikuwa si hali Sharo alikuwa amefura k**a måtãko ya vera sidika. Mimi naye nikaamuwa siwezi muongelesha😯. Niliketi kwa bed nikiwa bado nikijiuliza kwani Caro aliendanga wapi?
Kidogo sharo akashika kiuno na kuniuliza, ''ulilala wapi wewe?😐'' Nikamrushia jicho halfu nikamwambia, ''sharo unataka kufanyia nini penye nililala ama unataka kuenda kutandika bed nililalia?🙄'' Hapo gaidi akakunja sura ikakuwa ngumu k**a magoti ya ngamia halfu akasema, ''you mean hiyo kitu yako haiwezi kaa bila mashimo ?''
Hapo nikacheka then nikamwambia, ''kwani umesikia nikisema kitu ni yako uipimie hewa, sikiza hii kitu ni yangu, naitumia venye nataka, sasa kitu yangu mimi mwenyewe inakuuma wewe kwa nini?'' Sharo akaboeka, akatoka nje😜. Nikatulia kwa bed, text ikaingia kwa phone yangu. Kucheki number ilikuwa ya Caro😊. Kusoma text ilikuwa inasema 'beb nilitekwa nyara na majãmbãzi, halfu wanataka one....' Before nimalize kusoma text, call ya budaangu ikaingia. Nikareceive call

Buda🧔🏽: Kijana wangu habari ya muda, umenyamaza sana😎 .
Mimi👨🏽: Sio hivo ni maisha imeninyamazisha.
Buda🧔🏽: Salimianga wazazi kijana, pesa huisha.
Mimi👨🏽: Hata sina pesa mimi🤗. Infact nilikuwa napanga nikupigie simu unitumie ka mia ya kubuyia tissue coz nimechoka kutumia matãwi.
Buda🧔🏽: [Akicheka] Heri wewe unatumia matãwi, uku nakwambia kumekauka mtu akimaliza haja kubwa anatoka nje then anavurutia tãkø lake kwa ground, double trouble sasa ni ujivurutie chini halfu kumbe kuna ka sindano kamejificha kwa nyasi 😂😂😂😂.

WEKA LIKE NIHARAKISHE PART 45🙏.

Na unajua hii ndevu yangu ikimea nitatesa sana. K**a sahii bado haijamea na warembo washaanza kuniambia nakaa mzuri kwa ...
26/09/2025

Na unajua hii ndevu yangu ikimea nitatesa sana. K**a sahii bado haijamea na warembo washaanza kuniambia nakaa mzuri kwa matatu,na ikimea sasa. Kazi itakua kutega diplomats kule village market sunday,nimevaa flower shirt na kinyasa,na nginyera hizi slippers za Maasai. Ndio nikae like an african king.

Niko tu apo nakunywa yoghurt small small,alafu kidogo niingize ndevu kwa yoghurt,mrembo akuje aniambie excuse me sir you have something on your beard,nimuulize oops where? akikuja kunipanguza namna hii,nilambe kidole yake,alafu nimuulize do you have a wipe in your car bëbi? .

Sasa mambo itafanyika apo ndani ya iy 😢 pole 🔥o land cruiser ndio itaamua k**a nitapata Visa ya Belgium ama nitabaki umoja. Nyasaye okonya buana! Nishike mkono baba katika safari hii yangu 🔥 ✍️👉🔥PAWA 🔥 loading 🔥
nipee 300+likes niangushe next episode

❤️ PAWA 🔥 ❤️PART 43'' Kijana akashangaa na kukodoa macho, nadhani alikuwa anajiuliza kwa nini alãle jikoni😉. Kijana akat...
25/09/2025

❤️ PAWA 🔥

❤️PART 43

'' Kijana akashangaa na kukodoa macho, nadhani alikuwa anajiuliza kwa nini alãle jikoni😉. Kijana akatulia then akasema, ''wewe ndiye unafaa kulalá jikoni kwa sababu uko unaenda mbili, na mimi niko la nne.'' Josee kuona hawezani na kijana yake akajiendea. Nikabaki pale na yule katoto🤣.
Kidogo akaniambia, ''sijuwi mami wangu usiku anatakanga kuenda wapi?🙄'' Nikamuuliza kwa nini? Kijana akauma mdomo then akasema, ''huwa nasikia kitanda ikichëza naamka nasikia mum akisema I am Kåmmïng, I am Kåmmïng 😅.''
Hapo nikaficha kicheko ndani uku nikinyamaza. Kijana akaendelea, ''sasa siku moja nilisikia mum akisema i am Kåmmïng, nikaamka na kusema, hata mimi usiniache twende na wewe mum, hapo nikawekelewa kofi ati nilãle😆.''

Kijana alipomaliza kuongea mathe wake akakãm kumchukuwa ati aende kumgotea mjomba wake🤗, mwenye alikuja hiyo bash pia. Kila mtu kwa hile bash alikuwa busy, mimi nikaingia kwa nyumba nikaamuwa kuwatch movie ilikuwa inaendelea.
Hapo macho yangu ikawa busy kwa screen lakini mind yangu ikaanza kupiga flashback ya venye nlipatana na Sharo. Hizo siku sharo alikuwa anaishi kwa ploti moja na mimi na hakuwa ameanza kuuza duka😎. So kuna day majãmbãzi walikuwa wamekuwa wengi kwa town (walikuwa wanãibã ama kuråpe mådëm). So mãmå mmoja akarëpiwã kwa pløti yetu, next day Sharo alikuja kwa room yangu akiwa na tøwel pekeãke, juu nilikuwa naangalia food nimepika baada ya kutoka kuøga ,nilikuwa nimevaa bøxer pekeake juu sikuwa na expect nitapata mgeni yoyote🙂.
Si mnajua life ya kuishi kisolo? Sharo aliingia akandåã yeye alikuwa mwoga kukaa alone coz huenda akapatikana na hao majãmbãzi. Alikuja akakaa kando yangu uku akifunguwa katøwel amejifunga kiplani kumbe alikuwa dryspëll. Nilipoona måpåja yake sharo, mjulus yangu iliinuka ikapeperusha bendera ifuate upepo😊. Si mnajuwa hii kitu haipatikani sokoni? Nikajiambia k**a mbaya mbaya nilimshika tunyønyø na venye tulikuwa poa, nikaanza kupress tùnïpple. Kuangalia mãtìtï vile imekaa ilikuwa imeanguka chini k**a ukuta wa jericho😪.

But sikumind niliendelea kuprëss uku nikitwisti nïpplë vipoa nikaingiza tùnïpple kwa mdømø nikaanza kukanyønyã😛, hapo sharo alianza kujiinuwa uku aki møãn vipoa hadi akaanza kunimøtivatë nikaterëmsha mkøno wangu adi kwa nünù🍑 nikaanza küidårã🤓. Nikasikia sharo akisema, 'woiye mimi ni vãjo.'' Huku ikiwa kwa pãnt at this time alikuwa amefunga tumachø nikamtowa tøwel , akainuwa hãgå juu nikamtoa pãnt waaah aki sharo alikuwa na Pochi🍑 poa😋.
Alikuwa amekashãve vizuri soo sikumind kukanyønyã nilisprëad tumigùü nikanyōnyã clīt mpaka nikajuwa ashakuwa hørny juu alikuwa anamøãrn huku anarusharusha tumigùü 😃, aliinuka akaingiza mkøno kwa bøxer yangu akaanza küidårã mjülulùs at this time nilikuwa relaxed k**a mtoto, mjülùs ilisimãmã tistii nikamwambia ainuke nIkamlazaa kwa bed nikamwinuwa kidogo nikachukuwa kamgüü kamoja nikakainuwa nikaingiza mjülùs akascreãm😃, nikaingiza tena uku nikipùmp kidgo kidgo vile mjülùs ilikuwa inãingiã, inãingiã nywee kumbe dem alinichøchã yeye ni våjo, sikuamini nikatowa mjülùs na kuingiza tena. Hapo nikamuuliza kwanza mbona alinidangãnya ati yeye ni våjo, akaniambia ati yeye hùøsha na maji moto ndio maana imëpanùka😃🙌.

Nikiwa nazidi nakuwaza mambo ya sharo, msichana ka Josee akaingia ndani🙂. Hapo nikakaa kuwa na wasiwasi akaniuliza, 'mbona umeshtuka?' Nikamwambia hakuna neno. Kasichana aliketi kando yangu huku akiwa anarusha rusha macho kwangu mpaka nikajishuku naweza kuwa nimekanyaga m*vi mahali, kujiangalia nilikuwa sawa🙄.
Sasa ilifika pahali kwa ile movie ilikuwa inaendelea actor mwenye alikuwa dëm akakalia jamaa yake kwa måpåja. Hapo msichana wa Josee akaniuliza, 'umewahi kãliwa hivø before?🤔'
Nikameza mate kwanza nikijiuliza kwani anatakaje then nikamwambia, ''ghai mimi mnyønge hivi nikãliwe na nani jameni?😓 Aisee sijewahi kãliwa hivo na dëm mimi unless kukaliwa chapo, hata sio kukãliwa chapo🤓, kusimãmiwã chapo.''
Hapo nikaona dëm akismilë then akasimãmå akakuja kunikalia kwa måpåja. Nakwambia nilikodoa macho nikashtuka. Nayo 'rungu ya moi' si ya kanisa ikasimama juu ya WiFi iko karibu😯. Msichana wa Josee kuhisi 'rungu ya moi' akasema, ''Ghai hiyo ni nini nimekalia size ya posti ya stima?''
Ghalfa mlangoni Josee akaingia😢. Kabla Josee hajeongea kijana wake akasimãmå kutoka nyuma ya sofaset tulikuwa tumekãlia. Kumbe gaidi aliingia ndani ya nyumba bila sisi kusikia. Nikajuwa kimeumana. Hapo nikaona kijana akimuendea Josee then akamwambia, ''Dad mbona hukuniambia uncle amoro ni mtu wa stima?😳''
Josee akamuuliza, ''kwa nini?''

WEKA LIKE, NILETE PART 44 HARAKA 🙏 .

NILIYEMFUATA MIAKA, AKAJILETA MWENYEWEMiaka michache iliyopita, nilikuwa dereva wa matatu za Dandora – kijana wa jasho, ...
25/09/2025

NILIYEMFUATA MIAKA, AKAJILETA MWENYEWE

Miaka michache iliyopita, nilikuwa dereva wa matatu za Dandora – kijana wa jasho, mwenye ndoto kubwa na moyo wa kutokata tamaa. Alikuwepo binti mmoja, mwanafunzi wa chuo kikuu, mwenye haiba ya kuvutia na macho yaliyosheheni matumaini ya kesho iliyo bora. Nilimpenda kimya kimya, kisha kwa ujasiri nikaamua kumfuata.

Kila nilipotupa mistari, iligonga ukuta wa kukataliwa. Lakini moyo wangu haukutikisika. Nilijua siku moja, kwa njia yoyote ile, angenisikia. Nilimwambia kwa utani wa matumaini:
“Kwerrah, siku moja utajileta kwangu tu.”

Alitabasamu kisha akacheka kwa dhihaka. Nami nikacheka pia, si kwa furaha, bali kujificha kwenye kivuli cha ucheshi, nisijulikane kuwa mimi ni aliyeshindwa kwa uchungu.

Baada ya muda, maisha yalinibeba hadi Mombasa, mbali na kelele za barabara ya Juja Road na harufu ya vumbi la Dandora. Nilimwacha nyuma – kimwili na kiakili. Lakini moyo, kwa njia ya ajabu, ulikuwa haujamfungua mlango wa kutoka.

Usiku mmoja, saa saba za usiku zilipowadia, simu yangu ililia. Lilikuwa jina lake. Nilihisi mhemko usioelezeka. Sikupanga kupokea, lakini kidonda cha kumbukumbu kilinilazimisha kusikiliza.

“Niaje amoro?”
“Poa sana. Sema?”
“Pole nimekuamsha. Niko njiani naenda Mombasa. Jamaa niliyemtegemea hachukui simu. Wewe ndiye mtu pekee ninayemjua Mombasa. Naweza pata sehemu ya kulala hata siku mbili?”

Nilijizuia kucheka kwa sauti. Muda ule, maneno yangu ya kale yaliingia akilini:
“Nilikwambia utajileta mwenyewe.”
Lakini sikumdhihaki. Badala yake, nilimwonyesha njia ya kunifikia – kwa matatu, kwa bodaboda, kwa salamu za pwani, hadi alipofika mtaa wa Mtopanga.

Alipofika mlangoni kwangu, macho yetu yalipokutana, nilimkaribisha kwa tabasamu lenye ushindi wa kimya:
“Nilikwambia utajileta mwenyewe.”
Alinikumbatia kwa nguvu k**a aliyekuwa akitimiza ahadi ya moyo wake mwenyewe. Macho yake yalionyesha uchovu, si tu wa safari, bali wa maisha na uhalisia wa moyo wa mwanadamu.

Alianguka kitandani mwangu bila ya maneno mengi, akavua mavazi yake ya safari, na kulala k**a mtoto.

Asubuhi ilipowadia, tuliongea. Alieleza yaliyomfika. Alikuwa amesalitiwa. Sikusema sana. Nilimpeleka ufukweni – bahari ikitufunika kwa upepo wake wa matumaini. Tulinunua divai, tuliketi pwani, tulicheka k**a marafiki wa zamani waliopotezana na hatimaye kupatana.

Usiku, tulirejea nyumbani. Tukiwa tumechoka lakini mioyo ikiwa na joto la mawasiliano mapya. Sikufanya jaribio lolote la kumgusa – nilitaka kujua k**a angependa kuwa nami kwa sababu ya moyo wake, si huruma au deni la fadhila.

Lakini mwili una lugha yake. Na moyo, unapofika mwisho wa kubisha, hujisalimisha kwa hisia. Alinipa ishara. Na mimi, nikasoma alama za nyakati.

Hatukuwa wawili waliokutana kwa bahati mbaya tena. Tulikuwa watu wawili waliopitia safari ndefu ya kukataliwa, kungojea, na hatimaye – kupokelewa. Na wakati ule ulipowadia, hakukuwa na maneno mengi.
Aliinong’ona, “Hii ndiyo kitu umefukuzia miaka mingi. Ni yako yote.”

Mimi nikatabasamu. Nilijua. Sikuhitaji ushindi wa maneno. Nilikuwa tayari nimshinde kwa subira.
Mnipee 300+likes na reaction

❤️🔥 PAWA 🔥🎬Part 42Kumaliza kucheka tuliendelea na safiri. Tulipofika ilikuwa kitu saa nane ya mchana🙉. Nilifika makejani...
24/09/2025

❤️🔥 PAWA 🔥

🎬Part 42

Kumaliza kucheka tuliendelea na safiri. Tulipofika ilikuwa kitu saa nane ya mchana🙉. Nilifika makejani nikapata sharo ashaenda job yake ya kuuza duka. Hapo sasa nikatulia freely kwa nyumba🙇. Coz nilikuwa nimezoea kuishi solo k**a panga, kwangu ilikuwa raha. Si mnajuwa? Venye kukaa solo kwa nyumba ni raha, unaeza hata kula ndani ya sufuria, unaeza pika chakula ukiwa uchi. Halafu wakati mwingine unaeza scratch your bãlls na serving spoon😃.

Nilikuwa nimeshiba lakini niliamuwa kujipikia some food kutokana tu kiburi😉. Niliweka maji ya ugali kwa moto, ilipochemka nikasonga. Then, nikakaanga cabbage. Huyo nikakula. Hapo simu yangu ikaring kuangalia ilikuwa yule mama mzee😰. Tukabonga

Her👩🏽‍🦳: Bãbes umefika?
Mimi👨🏾: (nikiwa na wasiwasi) sijefika bado niko njiani.
Her👩🏽‍🦳: Imagine umeenda like 5 hours ago lakni nimekùmiss already.
Mimi👨🏾: really?🤔
Her👩🏽‍🦳: Aki sana, so utarudi lini?

Ati ananimïss, hata anafaa kufurahia coz bado kifø inammïss. Niliboeka nikakata call coz nilikuwa nashindwa mimi na mtu anakaa ancestor tutapendana tupelekane wapi🤗. Kwanza naimagine ati nitembee na yeye kwa barabara, halfu na hiyo tabia ya wazungu aseme, ''this is amoro my hùsband.''
Mtu anakaa living dëãd, surely me? Mungu shuka usitumane🙏. Alicall, nikalenga. Kidogo call ingine ikaingia kuangalia ilikuwa bestie wangu Josse. ''Hey bro long time, ulienda kuanzisha biashara gani na ile 50,000 pesa nilikupea?'' Hapo Josee akanikumbusha doo alinipea but mwishowe ziliibiwa.
I was like, ''bro hizo pesa nlisave kwa mshwari kwanza, coz mimi naweza cheza nayo, bado nakumbuka kitu ya maana ya kuzifanyia😌.'' Jamaa akasema, ''Cha muhimu ni uwe salama, nilitaka tu kukuambia kutakuwa na bash ya msichana wangu purity kesho, ni birthday yake, kwa hivyo usikose coz yeye mwenyewe amesema tukuambiwe😎.''
Wah! Hapo ikabidi nioshe nguo ya kuvalia kesho ndio nisikose hiyo bash. Kwanza nikikumbuka hapo naweza dùngwa pësa, hiyo hakuna venye naweza ikosa😝.

My mind ilikuwa tu kwa hiyo bash, hata hiyo siku jioni sikupata usingizi. mungu akaniwezesha kuona siku ifuatayo😊. Niliamka kitu 6.am asubuhi, nikaenda kuoga, hata sikunywa chai coz sikutaka kuharibu appetite ya food nitakula baadaye🙌. Nikapanda bodaa hadi kwa Josee.
Kufika kwa gate nilishangaa coz venye magari zilikuwa zinaingia. Kila mtu alikuwa akiingia na gari, ni mimi tu peke yangu nilikanyaga dunia k**a kuku😤. Infact venye watu walikuwa wanashuka kwa gari, hile nguo walikuwa wamevalia ilikuwa ya class ya juu, haikosei venye waliniona walikuwa wanasema mimi ndiye watchman hizo area🥺.
Tukaingia ndani one by one🙌. Bash ikashika kushika. Time ya food kufika, tukakuwa served. Watu wote walibakisha chakula kwa sahani kubakia tu mtu mmoja, I am sure unajuwa ni nani alifagia food mpaka akalamba sahani😅. Kidogo bash kuelekea kuisha, purity akakam kubonga na mimi akiwa na yule kijana wao mdogo. Tukabonga then nikamuuliza purity kwa nini mdogo wake hayuko shule🤔.

Akasema ati katoto alianza kujipaka mate kwa kichwa yake akifunzwa hesabu. Mwalimu akamuuliza, ''kwa nini wewe mjinga unajipaka mate?'' Katoto akamjibu, ''Jana usiku niliskia mama akiambia baba, k**a haiingii pake mate kichwani kisha ujaribu tena''....kisha ati mama akamuuliza baba ''imeingia?😃'' baba akajibu, ''ndio, imeïngia yøte''. Ati sasa hata yeye amejipåka mate, aone k**a hiyo hesabu ya mwalimu itaingia. Mwishowe, mwalimu akampea suspension😩.

Sasa mimi hapo nikajuwa huyo kijana mdogo, wa Josee atakuwa k**a mimi in future coz ya venye ameanza Radanisha mambo 🤓 acha tuu🤣🤣. Hapo ngoma ikachezwa, wenye wanajuwa kudance wakadance.
Kina mimi tukakaa kando tukiwatch watu wakidance. Kidogo yule kijana wa Josee akakuja penye nilikuwa, akaanza kucheza na mimi hapa na pale hile michezo ya watoto😊. Kidogo akaniambia ati nimpeleke penye babake ako.
Hapo ikabidi nimbebe hadi penye babake ako🙄. Kufika uko tukabonga na Josee stori zetu hadi venye life ilitugonga pale highschool. Ghalfa yule kijana wa Josee akauliza babake ati, ''Baba ni ukweli ati unataka kuanza shule?🤔'' Hapo Josee akahisi wasiwasi akasema, ''kwa nini umeniuliza hivyo kijana yangu?"
Mtoto akamwambia: "Jana usiku, niliskia ukimnong'onezea mama ati k**a hujachoka nirudie la pili😝..!"
Josee akanyamaza, mtoto akaendelea,"Hivi baba mimi niko la nne, wewe na mama itakuwaje muende la pili? Usikubali hata kidogo😅."
Josee akamjibu, "kuanzia leo utakuwa unalala jikoni na kuku 😂😂😂😂😂".

Weka like 👍...NILETE part 43.
Mnipee 300+likes Na reaction

🔥 PAWA 🔥 🔥PART 41Hapo nikaboeka nikamwambia daktari, ''sikiza damu in yangu, na nimesema munitoe damu hata k**a ni 2 lit...
24/09/2025

🔥 PAWA 🔥

🔥PART 41

Hapo nikaboeka nikamwambia daktari, ''sikiza damu in yangu, na nimesema munitoe damu hata k**a ni 2 litres, kilos is just but numbers😰.'' Daktari naye akadinda katakata. ''Basi mnipee hata mkate na soda nikule karibu nikufe, mnisaidie jamani.
'' Hapo daktari akaniangalia na macho ya huruma then akasema, ''kijana mimi nimeona watu wamekufã kwa møchari unakuja hapa kunishtua na kifø chako, k**a unataka kusaidiwa upigie watu wa relief ama redcross otherwise mkate na soda ni ya watu wametoa damu simple and clear🤗.''
Hapo sasa alitowa matumaini yangu kwa wheelchair akapeleka i.c.u direct. Macho yangu ikaanza kukaa ni k**a inataka kulia. Daktari akanirushia macho then akasema, ''kijana mzee k**a wewe unataka kulilia mkate, wewe ni wa wapi? Mkate ni kitu ya kulilia😌.''

Baada ya matumaini yangu kufinyiliwa ukuta niliamuwa kuchapa guu kuelekea home 😑, nilikuwa napiga steps ingine fupi fupi juu karibu nianguke juu ya njaa. Ghalfa gari nzito hivi ikapita pale njiani, nikaamua kuisimamisha niombe lift. Kimungumungu ikasimama😯, alikuwa mama mzee sana, mtu amekula chumvi.
K**a ni kukula chumvi tunaeza sema amekula chumvi gunia elfu moja. Ni mama mzee wa kitu miaka 75 hivi🤐. Sura ni ile ya charity ngilü. Venye alisimama nilimwambia, ''am tired unaweza nisaidia na lift hadi kwa the next stage.'' Akaniambia sawa. Nikapanda hile gari, pale garini, penye nilikalia kulikuw na cookies na energy drinks kadhaa.
Njaa yangu ikakutana na hile harufu ya cookies. Yule mama mzee naye macho yake ilikuwa kwa steering, nayo macho yangu ilikuwa kwa cookies. Nilimeza mate mpaka mdomo ikakauka😯. Kidogo hivi yule mama mzee akasema, ''kijana k**a unakula cookies, kula hizo ziko hapo.''
Nakwambia hata sikusikia na masikio, within 30seconds cookies zilikuwa down sea level na zishakuwa digested into waste products. Hiyo siku ndio nilijishuku mungu aliniwekea tumbo ya mluhya kibahati mbaya. Haisuru kazi ya mungu haina makosa🙏. Venye nilifika pale kwa stage usiku ilikuwa imeanza kuingia. Nilishuka then nikamshukuru yule mama. Naye akaniomba number yangu ya simu then akaishia. Nilichapa guu adi makejani.

Kufika makejani nilipata Sharo ndio kulala amelala kabisa. Kuona gaidi amelala bila kula coz sufuria zilikuwa tu venye niliziacha. Ati anangoja nirudi ndio nipike😤. Mimi naye ni nani? Niliingia bed direct coz at least tumbo yangu ilikuwa imeshiba zile cookies. Sharo aliposikia nikiingia bed akasema, ''oh umefika hebu pika haraka nimekungoja sana.'' Nikanyamaza😊.
''Yani unataka mtoto alale njaa wewee.'' Nikaamsha kichwa then nikamwambia, ''Mtoto k**a anasikia njaa wacha aongee mwenyewe, otherwise omba tulale🙏.'' Akajifunika nakulala akidhani nitaamka kupika😎. Mimi naye nilala one way hadi asubuhi. Asubuhi gaidi aliamka akiwa na njaa akaamkia kupika chai kabla hata sijaamka. Mimi nlipoamka chai ☕🍞 ilikuwa tayari, nikakunywa then nikatoka kurelax na nje. Hiyo morning mimi na Sharo tulikuwa tunanyamaziana.
Kutoka nje nikapta text kwa simu yangu inasema, ''hello fika tao, ufike kwa apple mpesa coz leo niko na appointment na wewe usikose, ni yule mama nilikubeba jana.'' Hata sikuchange nguo🙌, mimi uyooo tao faster🌆.Kufika apples mpesa, sikuona yule mama. Kidogo ivi nikaitwa na dem fulani mrembo sana;

Her👱🏽‍♀️: sasa
Me👨🏾: poa
Her👱🏽‍♀️: kuna mzigo wako hapa nimeambiwa nikuachie.

Akanipatia barua 💌 kuifungua ilikuwa inaasema "look for a yellow prado iko nyuma yako 🙇."
Niliingia dinga ilikuwa hapo mbele faster. Driver alikuwa dem tulizidi adi kwa home ya yule mama. Mazee huyu mtu pesa kwake ni maji. So nilikaribishwa vizuri nikaserviwa chakula after hapo nikaambiwa niende kuoga. After kuoga nikaambiwa its time to meet the boss lady. Hapo ndio nlianza kutetemeka cjuwi kwa nini hata🙉.Nikapelekwa kw room upstairs then yule dem mwenye alikuwa ananidirect akaniambia😲.

Her🧕🏽: good luck and take care my friend .
Me👨🏾: (kuskia ivo adi nilikuwa nitoke mbio )mbona unaniambia nitake care.
Her🧕🏽: see you later. (halfu akaenda)

Nikaamuwa kuingia ndani, kufunguwa mlango nikapata room ni empty nikaketi kwa bed, then kidogo ivi nikaskia mtu amenishika mgongo uuuuuui karibu nitoke mbio lakini kucheki kumbe ni yule mama😲.

Her👩🏽‍🦳: sasa.
Me👨🏾: p..p..po..ppoa.
Her👩🏽‍🦳: acha kuogopa mi ndio yule mama nilikuleta jana😯.
Me👨🏾: waaaaa, uliniambia unaniita uniambie kitu na by the way unakaa mzungu, last time sikukuona vizuri hata😉.
Her🧕🏽: mimi ni halfcast ya mzungu na mkenya na nilikuita ju ulinibamba tu sana.
Me👨🏾: kiaje sasa?🤔
Her👩🏽‍🦳: i want you to be my løver.
Me👨🏾: i think am not your agemate ju mi nko na miaka like dived by 3 kutoka kwa yako😃.
Her👩🏽‍🦳: usijali hakuna mtu atajuwa alafu pia nitakufanyia kila kitu chenye utataka ju niko na pesa lakini nimekosa mtu wa kunifurahisha kimwili.
Me👨🏾: noo am not ready😎 .
Her👩🏽‍🦳: please my boy ukitaka ata nitakupeleka USA .
Me👨🏾: ok then give me time to think about it.
Her👩🏽‍🦳: Ni sawa, I'll give you 72 hours to think about it😝.

Niliogopa sana nikataka kujirudia nyumbani. Yule mama akanipea 1k nitumie k**a transport nikirudi😯 . Akiniambia 'goodbye' akanipiga busu la uso, lìps yake nayo ilikuwa rough k**a ulimi ya ng'ombe.
Kujiendea nikafika stage then nikapanda gari. Kidogo nikiwa nimeketi, tukaanza kuitishwa pesa💵 kuangalia mfukoni nishaibwa hile 1k. Mimi naye ni nani? Nikaamka na kusema, ''mwenye ameiba izo pesa zangu arudishe ama nifanye vile nilifanya 1997🤪.'' Mwizi akaogopa akarudisha pesa kwa msamaha sana. Jamaa mmoja akaniuliza kwani ulifanya nini hiyo mwaka inkamshow, 'nilishuka kwa gari na kutembea miguu🚶🚶🤣.''
Kidogo hivi kabla gari iende, mlevi mmoja akaingia akakaa karibu na mimi. Mlevi mwingine akaingia tena akakaa karibu na mlevi mwenzake. Vile gari ilienda they felt asleep , wakalala😴. Mlevi alikuwa na bag, aliinuwa mkono wake popole akufungua zip ya mlevi mwenzake akidhani anafungua bag yake, kidogo akashout, "NANI AMEWEKA NYANYA MBILI, NDIZI MOJA NA STEELWIRE KWA BAG YANGU?'' Hapo ilibidi dereva aweke gari kando ndio hata yeye apate kucheka😂😂😂😂😂😂.
Mnipee 300+likes na reaction

🔥 PAWA 🔥 🎬 PART 40Nikajuwa hapo ile 5 thousand itaenda, na nitaenda kumuelezaje sharo? . Nikatowa one thousand nikampea ...
23/09/2025

🔥 PAWA 🔥

🎬 PART 40

Nikajuwa hapo ile 5 thousand itaenda, na nitaenda kumuelezaje sharo? . Nikatowa one thousand nikampea yule jamaa wa supermarket akadinda ati anataka 10k. Nilipumua moja nikatoka nje speedy, security nao kunifuata wakanikosa.
Si mnajuwa mbio ya masikini?🤔 Kutoroka nikaingia kwa hoteli fulani coz nilikuwa nimehisi njaa. Kuingia ndani nikaketi kwa kiti moja nikaambia waiter aniletee chai na maandazi 2🍞🍞(ile moja ni 10 bob) coz sikutaka kukula kuku na life imenisugua sana. So mimi kuanza hivi kula mlangoni akatokea mrembo ajaabu😯, kumcheki hivi mazee hata sisemi kitu😋, mpole hivi, shape ya Vera Sidika, mwendo wa pole k**a kinyonga, shingo ya upanga, macho ya njiwa.
Pia nae alikuwa amekam hoteli ku dish na cha kushangaza imagine alikaa next to me😝. Soo Mimi nami kuona ivo nilibadilisha mawazo nikameza mandazi haraka ili nisijichomee bet mbele ya dem💃. Mhudumu nae alimjia yule dem na kumwambia Dada nikusaidie na nini,mrembo alijibu niletee Kuku🍗🍗 na Chipo🥖🥖.
Kusikia hiyo chakula kwanza niliuma maandazi yangu maanake nilijuwa obvious hao ni madem wako high class na this time sikuwa na haja naye, ni venye tu sikutaka aibu🙌. Dem akaanza kunirushia rushia macho, moyoni nikajiambia, 'shetani this time siingii kwa mtego yako..huyu agent wako siwezi muongelesha😄.'

After kumaliza kula, nikaamka dem akaniita ati 'suksuu' nilitaka kumlenga but kidogo roho ikaniambia sikia chenye huyo agent wa shetani anasema😎. Dem akasema, ''hey jamaa angalia hapo chini umeangusha pesa zako.'' Ghai kumbe mfuko ya trouser yangu ilicheza kimaskini ikaangusha zile 5k.
Wah nikazipick hizo doo then nikamwambia huyo dem asante halfu nikalipa bill yangu. Nikaingia supermarket nikafanya shopping venye niliambiwa then nikaamuwa kurudi home🤗. Cha kushangaza ni sikubakiwa hata na shillingi moja, kumbe sharo alichorea zile pesa mpka mwisho.
Kuingia makejani nliishiwa na nguvu kwa magoti coz sharo alikuwa ameketi uku ameweka miguu kwa meza akipitia simu yake yet bado hajaosha nyumba na vyombo chafu yenye tulitumia last night🙂. Hapo nikaweka zile shopping kando kwanza then nikamwambia, ''ghai sharo mbona hujaosha hata vyombo🤔???.'' Akaniangalia halfu akasema, ''hata hukunipikia chakula ya kula halfu unakuja na kelele zako sai, kwa nini unanitesa na mimi nilikutunzia mali yako siku zile ukaipata tight😊.''
Venye alisema ati tight magoti yangu ikapata nguvu. Nikajiambia akilini, 'huyu anasema tight na hiyo siku nilidrown k**a shillingi coz kitu yake imekulwã kulwã hata tuseme ingekuwa na password, password ingekuwa slide to unlock😃🙌.'

Sharo alianza kujifnya ati amejam akasema, ''unanitesa sana yani unaona niko na mimba na unataka ati niiname nioshe vyombo, na føetus ya mtoto ikipasuka si naweza kufã😤.'' Hapo nikalenga nikaanza kuimba ile wimbo ya, ''dunia tunapita eeeeh, binadamu ni mchanga...'' uku ninawhistle nikiweka maji ya vyombo kwa sufuria.
Dem kuona amelengwa akasema, ''amoro mimi naweza jiendea coz ya hii mateso yako😞.'' Za kwangu sasa zikanipanda nikamwambia, ''Ok sasa imefika extend unaona wewe ni oxygen ati sasa nikubembeleze😬, sikia Sharo mimi sina wakati wa kupaka mbwa rangi, sai unataka kuenda si uende ama juu ya hiyo stori unataka nifunge na maombi?🤓''
Dem kuona nimeharibika akaweka miguu chini na kuketi proper halfu akasema, ''pole beb ilikuw jokes🤔.'' Hapo sikujibu kitu, nikaweka maji kwa sufuria ya ugali then nikaimba "yatapita yanamwisho iposiku nitayasahau" hile song ya Diamond platinums . Dem akatulia sasa, nikaosha vyombo😷.

Ilikuwa bado mapema, kitu 5pm majioni🙂. Nilimaliza kuosha vyombo, then nikatoka nje kuskiza fitina za ploti, huku nikiuliza majamaa k**a wamesikia Caro ako wapi. Mwishowe nikakosa rumuors ya pahali Caro ako. Nikaamua kutulia kwa mawe fulani hapo nje, nikimwaza caro wangu. Hapo nikaamuwa kupitia phone texts za caro za kitambo venye tulikuwa tunachat ki-rømantic😘.
Kuzipitia nikatamani kulia, ilikuwa ni k**a aliåga dùnia. Ghalfa, nikapata text ati 'BEB MAMBO NI CARO KUJA UNIPATE LOVER'S GARDEN'' Kumcall alienda off😇. Hapo nikaingia kwa nyumba nikachange nguo then nikatoka bila kumwambia sharo chochote. Lover's garden ilikuwa mbali like 12km na sikuwa na transport ilibidi nikanyage mguu k**a kuku.
Nakwambia nilikanyaga mguu mpaka kiatu iishe, hadi nikatoa ulimi. Kufika uko caro hakuwa😴, kumpigia simu alikuwa off simu. Kidogo sharo akanitext ati, ''fala sana, caro mgani ni mimi nilikutext😌.'' Niliboeka sana. Njaa nayo ilikuwa imenipigilia ukuta juu ya uchovu. Kidogo nikaona hosi na watu wako hapo nje wanararua soda na mkate.
Nikaamua kuenda uko🙄. Kufika uko kumbe watu walikuw wanafaa kudonate damu ndio wapewe soda na mkate😯, nikajuwa nimeangukia. Nikasmile nikapanga line na watu. Line ilikuwa mrefu, akili ikaniambia 'hapa unaweza fanya mzaha upate ati soda na mkate imeisha😢.' Nikakata line hadi mbele haraka. Kufika uko nikapimwa kwanza body kilo, saiyo nilikuwa narusha macho kwa mkate ilikuwa hapo👀.
After kunipima kilo daktari akasema, ''kijana huwezi toa damu uko na 48kgs, mtu anafaa kutoa damu anafaa kuwa na 55kg.'' Sema mwili yangu kucheza ni k**a imepigwa radi PAAA😂😂😂!!!!!

UKIWEKA LIKE NALETA PART 41 KESHO

❤️ PAWA 🔥🎬PART 39Kuamka ilikuwa imefika asubuhi, nilikuwa a little bit relieved, kando yangu kulikuwa na nurse black beå...
23/09/2025

❤️ PAWA 🔥

🎬PART 39

Kuamka ilikuwa imefika asubuhi, nilikuwa a little bit relieved, kando yangu kulikuwa na nurse black beåuty hivi. Alitoa miwani alikuwa amevalia then akanipea chai na kuniuliza, ''what happened?😊'' Nikameza mate, nikashindwa na kumjibu coz nlijuwa nikimchapia kuhusu venye doo zilinitoka nitaaibika🤗.
Hapo nikamwambia, ''Last night i got HìV 🤣🤣 chill!!! yaani (Heavily Into Vødka} and this morning i woke up with TB yaani (Taste of Bëër) this means i have AÏDS yaani (Alcohol In De System) so i have decided to take ÃRV yaani (Another Round of Vødka).'' Nurse akasmile think so aliona huyu ni mwendawazimu akasema, ''kijana pømbe itaküùwa🙂.''

Nurse akajiendea nikabaki nikiwa nimetulia kwa bed nawaza vanye shetani amenitumia k**a example akipiga picha na maisha yangu😎. Nikiwa nawaza nurse akarudi tena, this time alikuwa na sindano kadogo. Akakam hadi penye nilikuwa then akasema, ''hey u, nataka kukudunga sindano kwa kidole chako halfu nipeleke samples ya damu kwa lab tuone k**a uko na Ukīmwī 😊.'' Kumbe venye niliongelea h.i.v nao wakashikwa na kiherehere ya kunipima.
Alinidunga then akachukuwa sample ya damu kuenda lab🤗. Alipotoka hapo ndio roho yangu ikaanza kuhisi baridi k**a panga ililala nje. Roho yangu ilikuwa like 'shetani amenizoea sana, si hapa atatumia k**a surebet.' My mind ikawa like 'na si nililàlà na sharo😫, na kuna rumours ati sharo amelãlã na josee mwenye amekonda na anashukiwa ako na hii mende.' Hapo nikapumua ndefu then nikajiambia, 'wacha ikuje vnye itakuja kwani Ukīmwī si iliumbiwa binãdamu..kwani iko nini?🤔'' Nikangoja mwishowe yule nurse akaingia this time alikaa kuwa na wasiwasi, akatoa miwani then akasema, ''wewe ndiye Amoro?😲'' Roho ikaniambia baaaaas! book supplier wa ARVs coz iko shortage sai.
Nikamwambia kwa sauti ya upole, ''ndio ni mimi mheshimiwa.'' Sijawahi kuwa mpole hivo, na sikuwa naamini nitawahi kuwa mpole hivo😖.

Enyewe this time round mende ilikuwa imetega meza. Nurse kuniona wasiwasi akasema, ''Mr Amoro you are H.I.V negative😯.'' Hapo karibu niruke juu coz ya furaha, sikuamini naweza ruka mtego k**a hiyo. Kutoka hosi, miezi ilianza kusonga bila Carol huku Sharo akaniletanisha juu🤓.
One day Sharon alienda kwa chief akidai anataka kuishi na mimi coz ati anafaa kuhudumiwa coz ako na mimba. Chief naye akanisumbua mpaka ikabidi tuishi na huyo nyangumi🙄. Namwita nyangumi coz alianza kunisumbua sana, yani tangu tuishi na yeye namfulia, nampikia yani nafanya kila kazi, nikileta kichwa anapigia chief simu🤐. Kila saa anashika kiuno, mimba nayo inatoka mbele then anasema, ''Amoro niletee chakula.'' Then analãla.
Mimi saiyo natoka mitaa kumletea chakula. Nikifka naeka food kwa meza tena nimuite na nisipo muita pia italeta vitã, akishaamka ata hasemi thanks kwa kumpelekea food yeye anaanza tu, "sasa maji ya kunywa mimi mwenyewe niendee ama unataka mtoto aishi kikamba?🤔
" Nkishaleta maji yeye bado ako tu kwa simu. Mimi huyo sasa narudi kwa sufuria kujiekea food kidogo kidogo😊. Wakati mwingine usiku ananiamsha then anasema, "Yaani vile nakuita ivi unajifanya husikii ama umemea pembe kwa hii nyumba ?''
Mimi naye kuamka namuuliza, 'nini mbya?' Gaidi anasema, ''Enda utafute mtu wa petrøl station, mtoto anataka kumnusa.'' Saa hiyo ni saa saba ya usiku😟.

All this time Sharon akinitesa the good thing alikuwa anaprovide pesa ya matumizi so sikuwa na time ya kuzurura kusaka job. Most of time Carol alikuwa ananikujia kwa kichwa sijuwi alipotelea wapi, hadi landlord alifunga nyumba yake😷.
Kwao nayo sijuwi alisema tu ni coast lakni coast ni kubwa. Siku moja alinituma tao niendee shoppoing ya nyumba. Alinipea 5000 shillings. So nilikuwa na furaha sana nikijuwa kuna kitu itabakia😬.
On way I was very careful sikutaka kufanya mistake, nilikaa k**a gangster, mtu akinikaribia namwambia, ''chunga nisikuibie pesa ...mimi nakuiba live live ukiona😷.'' Kufika tao nikaingia supermarket ingine sijawahi ingia thou najuanga ni ya matajiri peke yao. Nilichukuwa trolley nikaweka vitu zangu k**a sukari, chumvi, mkate na zinginezo🤓. Hii time yote kuna jamaa alikuwa amesimama straight hatingiziki akiniona. Nikamsalimia, akazidi tu kuniangalia👁.
Alikuwa amevalia suti ingine noma sana hadi tai na alikaa mzungu. Mimi kuona hayuko interested na smile yangu nikaendelea kupick vitu zangu. Sasa nikiwa karibu na yeye nilitaka kupick mchele but sikuona bei ya mchele, nikamwambia, ''weee jamaa hii mchele ni shillingi ngapi?🤔''
Hakunijibu kitu, nikajiambia coz anakaa mzungu labda may be hasikii kiswahili nikamwambia, 'hey you how much is this rice?'' Gaidi akanyamaza, nikakasirika sana. Nikamwambia, ''weee unaandikwa kazi hapa halfu unanyamazia customers nitakupiga kofi.'' Nikajam nikamwekelea teke akaanguka chini akapasuka mara mbili. Kugeuka nyuma mwenye supermarket akasema, ''mpumbavu kwa nini umevunja doli yangu ya ku-advertisia nguo😂😂😂😂''

WEKA LIKE 👍....PART 40 ITAKUJA.
Mnipee 300 likes Na reaction

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amoro Japheth posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Featured

Share