Amoro Japheth

Amoro Japheth GOD FIRST 🙏🥇,HOT 🥵 STORIES
IPO SIKU NITAKUWA BIGWIG✊
JUST AN ICON LIVING ⭐
(2)

🔥 NADIA — PART 11  💞,🙆‍♂️💔🙆‍♂️ Wakati mwingine, ahadi hupimwa si kwa maneno, bali kwa maumivu yanayojaribu moyo uliowahi...
24/10/2025

🔥 NADIA — PART 11 💞

,🙆‍♂️💔🙆‍♂️ Wakati mwingine, ahadi hupimwa si kwa maneno, bali kwa maumivu yanayojaribu moyo uliowahi kuamini.” 💭
Asubuhi ilikua na utulivu wa ajabu. ☀️
Mvua ilikuwa imekoma, anga limejaa mawingu mepesi yanayoelea taratibu, kana kwamba dunia haijui k**a iendelee kutabasamu ama ilie.
Nadia alikuwa amevaa T-shirt yangu, ile nyeupe aliyoinunua siku tulipokutana kwa mara ya pili. Alionekana mrembo — simple but glowing, k**a mtu ambaye amepata amani ya moyo. 💫

Nilimtazama kwa upole, akiwa jikoni akicheka pekee yake huku akijaribu kuandaa kahawa.
Nilihisi moyo ukinicheka ndani… “Huyu ndiye kila kitu changu.”
Me: “Weeh mrembo, hiyo kahawa si utaichoma bana?”
Nadia: (akigeuka, akitabasamu) “Relax babe, najua kufanya. Si kila kitu lazima uogope k**a first date.”
Me: “Sio hofu, ni vile nataka kila kitu ikuwe perfect — k**a wewe.”
Nadia: (akicheka) “Na wewe unajua tu kusema maneno matamu. Umejifunza wapi hivo?”
Me: “Kwa moyo wako, every beat ni somo.” ❤️‍🔥

Tulicheka, tukanywa kahawa pamoja. Dakika kadhaa baadaye, Nadia alipokea simu — namba ambayo hakuitazama mara ya kwanza.
Alikaa kimya, akaiangalia tena, kisha akatoka nje taratibu.

Nilimsikia akisema kwa sauti ya chini:

> “Sijui bado... tafadhali usiniletee tena hii story, nimechoka…”

Sauti yake ilikuwa na huzuni, mchanganyiko wa hofu na maamuzi magumu.
Nilinyamaza, nikajifanya sijasikia, lakini roho yangu ilitetemeka. 😔

Baadaye, nilimkuta akikaa kitandani, macho yakiwa mbali.
Me: “Nadia, kuna nini?”
Nadia: (akitikisa kichwa) “Nothing serious, Amoro… ni mambo ya zamani tu.”
Me: “Mambo gani? Kuna kitu unaficha?”
Nadia: (kwa sauti ya chini) “Si kila kitu lazima ujue sasa. Kuna vitu nikivisema, vitaharibu utulivu huu mdogo tulionao.”

Nilinyamaza. Nilihisi k**a dunia ilibadilika ghafla — ile hewa safi ya mapenzi ikawa nzito.

Usiku ulifika. 🌙
Nilikaa nikiangalia mvua ndogo ikianza tena, nikisikiliza pumzi yake ikienda taratibu.
Moyo wangu ulihisi wingu lisiloeleweka.

Kisha alfajiri, nilipoamka — chumba kilikuwa kimya.
Kitanda baridi upande wake.
Meza ndogo ilikuwa na karatasi ndogo, iliyoandikwa kwa maandishi yake ya haraka:

Usinilaumu, Amoro. Kuna mambo hayawezi kukimbia kivuli cha jana.
Nilijaribu, lakini dunia yangu ina mzigo usiokuwa wako.
Ukinipenda kweli — nitazame tu nikitembea mbali.” 💔

Nilikaa pale nikiishika karatasi, mvua ikinyesha nje — k**a dunia nayo inalia nami. 🌧️
Nilicheka kwa uchungu kidogo, nikasema kimya kimya:

> “Nadia… niliahidi kukupigania, lakini siwezi kupigana na kivuli usichotaka nikione.”

Nilitazama dirishani, nikiona miale hafifu ya jua ikijaribu kupenya mawingu.
Jua ambalo lilikuwa letu jana — leo likawa shahidi wa upweke wangu. ☀️

🕯️ “Kuna mapenzi ambayo hayafi, lakini yanapotea kwa muda — ili moyo ujifunze kuvumilia maumivu ya kukumbuka.” 💭
🌧️❤️‍🔥

🔥🙆‍♂️❤️👉Kuna mapenzi ambayo hayahitaji maneno — yanazungumzwa na pumzi, macho, na sauti ya moyo unaolia kwa upole.” 💭Usi...
23/10/2025

🔥🙆‍♂️❤️👉Kuna mapenzi ambayo hayahitaji maneno — yanazungumzwa na pumzi, macho, na sauti ya moyo unaolia kwa upole.” 💭
Usiku ulifuata baada ya mvua kuacha kunyesha. 🌙
Kilio cha dunia kilikuwa kimenyamaza, kikiwapa nafasi sauti za mioyo miwili iliyounganishwa kwa siri.
Nadia alikuwa amejiegemeza kifuani kwangu, akiwa amefunga macho, mkono wake ukichezea vidole vyangu kwa upole.

Nadia: (kwa sauti ya chini) “Unajua Amoro… kila nikikumbuka vile maisha yalianza kuwa magumu, nilijua nitavunjika. Lakini wewe… uliibuka k**a jua baada ya mvua.”
Me: “Na wewe… ulikuwa mvua yangu ya kwanza ya matumaini.” ☀️🌧️

Nilimbusu kwenye paji la uso. Busu tulivu, lenye maneno yasiyoelezeka.
Harufu ya ngozi yake, mchanganyiko wa kahawa, sabuni, na asili yake halisi — ilinifanya nihisi k**a dunia ilikuwa kimya kutusikiliza.

Me: “Unajua kitu, Nadia? Nilikua naogopa mapenzi. Nilidhani ni mchezo wa maumivu.
Lakini sasa… naona ni pumzi ya maisha.”
Nadia: (akicheka kwa upole) “Na sasa utanipumua hadi lini, Amoro?”
Me: (nikimtazama machoni) “Mpaka pumzi yangu ya mwisho.” 💞

Alitabasamu, macho yake yakijaa machozi ya furaha.
Kisha alinihisi nikimshika uso wake kwa mikono yote miwili, nikimvuta taratibu.
Midomo yetu ilipokutana, dunia ilibaki kimya.
Hakukuwa na sauti zaidi ya pumzi zetu — zikizungumza kwa lugha ambayo mioyo pekee huielewa. 💋🌧️

Kwa muda, hatukuwa jeff na Nadia.
Tulikuwa nafsi mbili zilizopoteana, na hatimaye zimepata njia ya kurudi nyumbani.

Mvua ikaanza tena — ndogo, ya kimahaba.
Nuru ya mwezi ilipenya kupitia pazia, ikimulika miili yetu iliyoshikana kwa upole, kana kwamba hata mwezi ulikuwa shahidi wa ahadi yetu. 🌙💫

Nadia: (akiwa amelala kifuani kwangu) “Tukienda mbali, Amoro… dunia ikitupinga, bado utanishika?”
Me: “Nitakushika hadi mwisho wa mwisho.
Hata k**a mvua itageuka kuwa mawe — nitabaki nikipigania mwanga wako.” ☔❤️‍🔥

Aliinua uso wake, akaniangalia kwa muda mrefu.
Nadia: “Nataka hii iwe mwanzo, sio mwisho.
Mwanzo wa hadithi yetu — si ya siri tena, bali ya upendo wa kweli.”

Nilimbusu tena, taratibu… na wakati huu, ilikuwa k**a dunia nzima imetulia kuandikia ahadi yetu hewani.

🌧️ “Mvua iliposhuka, haikunyesha maumivu — ilimimina ahadi.
Na tulipoamka asubuhi, jua lilitabasamu juu ya upendo wetu.” ☀️💞

Nadia episode 10

Saa hii nimeamua sitaki stress 😎.Nilitoka kwa nyumba nikapiga kofia nyuma, nikavaa shades k**a agent wa love mission 😎💔....
23/10/2025

Saa hii nimeamua sitaki stress 😎.
Nilitoka kwa nyumba nikapiga kofia nyuma, nikavaa shades k**a agent wa love mission 😎💔.
Nikapita base ya mtaa, wasee wakanicheki wanasema,
“Eh Amoro Wewe ndio ule hana fundamentals ama ni mtu wako ana panic?” 😂

Nikawaambia tu kwa utulivu,
“Bro, fundamentals si maneno — ni performance kwenye field!” ⚽🔥

Nikarudi nyumba jioni, nikaona madam yuko hapo sofa, amevaa T-shirt yangu moja, ile ndefu inamfika magotini 😏.
Nikamwambia, “Leo tunacheza friendly match, bila VAR, bila red card.” 😅

Akacheka kidogo akasema, “Amoro, leo unataka tuanze na warm-up ama straight first half?” 😋

Nikajua apo si mchezo!
Nilipiga corner kidogo — nikawasha slow jam za Otile Brown, nikazima taa, nikawasha candle moja k**a referee wa feelings 🕯️💞.
Halafu nikamwambia, “Tuanze half time review kwanza, nikuulize... ile issue ya gazeti ilikuwa training ama misunderstanding?” 😂

Akacheka akasema, “Watu wa ploti hawana kazi, wameshindwa kuelewa fundamentals zako.” 😎

Na hapo ndipo referee wa moyo akapuliza filimbi ya Kickoff 💥🔥
Na bro, hiyo mechi… ilikuwa goal goal (GG) hadi final whistle 😜

Her: hey 😌 you texted me “hi beautiful” … do we know each other?Him: not really 😅 but I feel like we should know each ot...
22/10/2025

Her: hey 😌 you texted me “hi beautiful” … do we know each other?
Him: not really 😅 but I feel like we should know each other 😍
Her: huh? and why’s that? 🤔
Him: coz my heart said that’s her, the one I saw in my dreams last night 😩💭
Her: 😂 bro, are you okay?
Him: yeah I’m fine, just emotionally employed by your beauty 😭❤️
Her: stop it 😂 I have a boyfriend!
Him: that’s okay, I’m open to internship 😌
Her: 😭 internship in someone’s relationship?
Him: yeah, I’ll just assist where needed 😂
Her: you’ll assist cleaning dishes or heartbreaks? 🤨
Him: both 😎 I multitask
Her: haha you’re unserious… go find your own girlfriend 😅
Him: I’m trying, but all the good ones are taken 😭
Her: so now you want to steal someone else’s? 😡
Him: not steal… just borrow small time 😜
Her: 😂😂 get lost before my boyfriend sees these texts!
Him: too late, I already sent him a friend request 🫣
Her: WHAT?! 😳
Him: relax 😅 I just wanted him to know I’m loyal too 🤭
Her: you’re finished! 😭😭
Him: Love is war 💔 and I’m a soldier 😂

Follow “Amoro Japheth” for more crazy chats 🔥😂

🔥“NADIA — PART 9 💞🕯️ “Wakati mwingine, mapenzi huleta amani — lakini nyuma ya ukimya wake, hubeba maamuzi magumu kuliko ...
22/10/2025

🔥“NADIA — PART 9 💞

🕯️ “Wakati mwingine, mapenzi huleta amani — lakini nyuma ya ukimya wake, hubeba maamuzi magumu kuliko vita.” 💭
Asubuhi ilipokua ☀️, nilisikia harufu ya kahawa ikitanda chumbani. Nadia alikuwa amevaa shati langu, lile jeupe nililovaa jana — na jinsi lilivyomkaa, moyo wangu ulijawa na mchanganyiko wa furaha na hofu.
Alikuwa amenyamaza, akichezea kijiko kwenye kikombe, macho yake yakiwa mbali k**a mtu anayepambana na mawazo yasiyo na mwisho.

Nilimsogelea taratibu.
Me: “Umemka mapema sana leo, mrembo wangu.”
Nadia: (akicheka kwa upole) “Sikuweza kulala vizuri… kuna mambo yananizunguka kichwani, Amoro.”
Me: “Ni kuhusu Kevin, sio?”
Alinyamaza. Kisha akaweka kikombe chini, machozi yakaanza kujikusanya taratibu kwenye kope zake. 😢

Nadia: “Najua nilikosea… lakini moyo hauna ramani. Nilijaribu kuachilia, lakini kila nikijaribu, nakuona zaidi.”
Me: “Na mimi nilijaribu kusahau, lakini kila mvua ikinyesha, ninakumbuka pumzi yako.” 🌧️

Alinisogelea, akashika mikono yangu, sauti yake ikatetemeka:
Nadia: “Amoro, k**a dunia ingeuliza kwanini napigania haya mapenzi, ningesema… kwa sababu ni ya kweli. Lakini ukweli mwingine ni kwamba, bado kuna kitu nilificha.”

Nilihisi baridi ikipanda mwilini.
Me: “Kitu gani, Nadia?”
Alinitazama moja kwa moja machoni. Sekunde zikawa nzito kuliko saa.
Nadia: “Nilipokuwa kwa Kevin… nilikuwa na ujauzito.” 😳💔

Nilihisi moyo ukiganda. Dunia ilikoma kwa muda.
Mvua ilianza tena — ndogo, ya taratibu, k**a machozi ya anga. 🌧️
Nadia aliendelea, sauti ikivunjika:
Nadia: “Lakini nilipopata mimba, nilijua haikuwa yake… ilikuwa yako.”

Nilichukua muda kunena. Nilimwangalia, machozi yakiwa yamejaa machoni kwangu pia.
Me: “Ulisema nini?”
Nadia: “Ni kweli, Amoro. Siku ile ya ule usiku wa kwanza… nilihisi. Nilijua ni tofauti. Na nilihifadhi siri hiyo kwa sababu nilihofia… nitakupoteza.”

Nilimkumbatia kwa nguvu, k**a mtu anayeshika pumzi yake ya mwisho.
Tulilia wote wawili — si kwa huzuni tu, bali kwa mzigo uliokuwa umebeba upendo wetu kwa muda mrefu. 😢❤️‍🔥

Me: “Basi tutalilea. Hata k**a dunia itatupinga, tutalilea, Nadia.”
Nadia: (akiwa amening’inia kifuani kwangu) “Sijui k**a nitakuwa na nguvu, lakini najua nitakuwa na wewe.”

Mvua ikaendelea kunyesha — lakini safari hii, haikuwa mvua ya maumivu.
Ilikuwa mvua ya uhai mpya, mvua ya mwanzo wa maisha mapya. 🌧️👶

💞 “Upendo wa kweli haukimbii mvua — unacheza ndani yake, hadi jua lirudi

Mpee 200+likes na usipanduke

🔥🤦‍♂️👉NADIA — PART 8  💞🕯️ Kuna mapenzi ambayo hayahitaji maneno  moyo husema, mwili huthibitisha.💭Alfajiri ilikuwa tuliv...
21/10/2025

🔥🤦‍♂️👉NADIA — PART 8 💞

🕯️ Kuna mapenzi ambayo hayahitaji maneno moyo husema, mwili huthibitisha.💭
Alfajiri ilikuwa tulivu 🌅. Mvua ilikuwa imenyamaza, ikiacha dunia ikiwa safi, tulivu, na yenye hewa ya upya.
Nilikuwa bado nikiishika ile bahasha mkononi 💌, lakini macho yangu yalishindwa kuondoka kwa Nadia aliyekuwa amelala pembeni — akiwa amejifunika shuka langu, nywele zake zikiwa zimelegea kifuani kwangu 😍.

Nilimsikia akipumua polepole, kwa utulivu wa mtu aliye huru kwa mara ya kwanza.
Niliiweka bahasha kando, nikamwangalia kwa upole… na nikajua — hakuna siri muhimu kuliko hii tuliyonayo sasa ❤️‍🔥.

Nilimgusa taratibu usoni, akafumbua macho yake — macho ya kahawia yenye joto la upendo halisi.
“Amoro…” akaniita kwa sauti ya chini, “sasa hivi dunia nzima haina maana bila wewe.” 😢❤️

Nilimshika mkono, nikamvuta karibu.
Miili yetu ikakutana tena Na kufanya mãpenzï— si kwa haraka, bali kwa utulivu wa roho mbili zinazojua zinapendana kweli 😌💞.
Hakukuwa na haraka, hakukuwa na maneno — tulicheza Mechi kimya, k**a vile mvua ilivyokuwa ikicheza usiku wa jana.

Kila pumzi yake ikinipiga kifuani, nilihisi maisha yakirudi ndani yangu.
Kila busu lake lilikuwa ahadi mpya — ahadi ya kutosahau, ahadi ya kupona pamoja ❤️‍🔥.

Tulipendana tena, kwa utulivu, kwa heshima, kwa hamu ya moyo na siyo tamaa.
Machozi madogo ya furaha yakamwagika, yakichanganyika na joto letu 🌧️💋.
Kila sauti yake, kila mshiko, kila mguso ulikuwa tu naskia rãha — ulikuwa k**a muziki laini unaochezwa kwenye moyo.

Baada ya kucheza mëchi Kwa muda, tulilala tukiwa tumeungana, dunia ikiwa kimya kabisa.
Hakukuwa na Kevin, hakukuwa na bahasha, hakukuwa na woga — ni sisi wawili tu kïtãndani , tukisikia mapigo ya moyo mmoja yakipiga kati yetu.

Nadia alinong’ona taratibu:
“Usiwe na hofu ya kesho, Amoro. Hata ikinibidi niende, roho yangu itabaki hapa — kwenye kifua chako.” 💞

Nilimwangalia, nikambusu paji la uso, nikamjibu polepole:
“Usiende. Tumevumilia sana kufika hapa. Hii mvua ya upendo, haitakoma tena.” 🌧️❤️‍🔥

Na pale, tukiwa tumelala kitandani, jua likianza kupenya madirishani, nilijua — huu ndio mwanzo wa maisha mapya, si story tena.
Ni mãpenzi halisi. Ni Nadia. ❤️
Mnipee 200+likes Na reaction and share to groups

🔥💞🌧️🏙️  👉 “Mapenzi ya kweli huwa k**a mvua ya usiku — haionekani ikianza, lakini huacha dunia yote ikiwa imechangamka.” ...
20/10/2025

🔥💞🌧️🏙️ 👉 “Mapenzi ya kweli huwa k**a mvua ya usiku — haionekani ikianza, lakini huacha dunia yote ikiwa imechangamka.” 💭

Siku iliyofuata, jiji lilikuwa kimya.
Mvua ilikuwa imeacha manyunyu madogo tu, k**a kumbukumbu ya usiku wa jana ☔.
Nilikuwa bado kitandani, nikihisi harufu ya Nadia kwenye blanketi 😌.
Kila kitu kwake kilikuwa na utulivu — lakini maneno yake ya jana bado yalinicheza kichwani:

> “Kuna bahasha ya pili… usifungue usiku.” 💌

Niligeuka upande wa droo, nikaiangalia.
Bahasha ndogo ya waridi, imeandikwa kwa wino mweusi:
“Kwa moyo ulionipenda bila masharti.” ❤️

Nilicheka kidogo, nikajisemea, “Nadia na hizi mystery zake…”
Lakini moyo ulipiga haraka, nikaihisi k**a siri mpya ya mapenzi.

Niliifungua taratibu — ndani kulikuwa na picha ndogo yetu tuliyopiga siku ya mvua, nyuma imeandikwa:

> “Ikiwa siku moja nitapotea, kumbuka huu ulikuwa mwanzo wa maisha mapya — si mwisho.” 😭💞

Nilihisi machozi yakijaa.
Lakini kabla hata nimalize kuisoma, simu ikaita 📞 — “Nadia ❤️💋”.

“Hello love…” nikaongea kwa sauti ya chini.

Upande wa pili, sauti yake ilikuwa nyororo k**a asubuhi.
“Amoro… njoo balcony. Kuna kitu nataka kukuonyesha.”

Nilitoka mbio.
Nilipofika nje, nilimkuta amevaa hoodie yangu nyeusi, akisimama chini ya mwanga wa jua la asubuhi 🌅.
Nywele zake zikiwa zimeachwa bure, upepo ukicheza nazo taratibu 😍.

“Nadia…” nikaita kwa sauti ya mshangao.
Akaniangalia na tabasamu ya kupendeza, ile ya mwanzo iliyonifanya nipotee.
“Nilitaka nikuonyeshe kitu, before dunia ijue tena uchungu.”

Akanikaribia, akashika shati langu kwa vidole viwili, macho yake yakiwa ndani ya yangu 😳.
“Nilijua bahasha ya kwanza ilikuumiza,” akasema, “lakini hii ya pili ilikuwa nataka ikupone.” 💋

Bila maneno mengi, aliniinua uso na kunibusu tar
Episode 7
Mnipee 200+likes ,share &react

🔥💔🙆‍♂️ 👉Nilipiga corner ya barabara ya Westlane nikiwa na moyo mzito 😔. Mvua ilikuwa inanyesha k**a ina hasira, ikinigon...
20/10/2025

🔥💔🙆‍♂️ 👉Nilipiga corner ya barabara ya Westlane nikiwa na moyo mzito 😔. Mvua ilikuwa inanyesha k**a ina hasira, ikinigonga usoni hadi macho yanawasha ☔💨.
Nilijua Nadia alikuwa huko — kwa Kevin. Na k**a kweli alikuwa ameamua kumaliza hiyo “historia”, basi nilitaka kuwa sehemu ya mwisho wa ukurasa huo, iwe kwa upendo au kwa uchungu wa mãpenzï.

Nilifika pale kwao Kevin, nyumba ya kijani yenye nambari 47. Nilihisi damu ikipiga kwa nguvu 😤. Nilipiga hodi mara mbili alafu.
Kisha mlango ukafunguliwa kidogo...tu
Nadia 😢.

Alikuwa amevaa sweta yake nyeupe, nywele zikiwa zimekolea maji ya mvua, macho mekundu.
“Amoro... mbona umenifuata?” aliuliza kwa sauti ya chini.

Nilimsogelea polepole.

Mimi: “Kwa sababu siwezi kukaa nione ukiumia peke yako. K**a ni maumivu, basi tuyabebe wote.” naküpendã😔

Macho yake yalitetemeka. Alijaribu kusema kitu, lakini kabla hajaendelea,

Kevin : akatokea nyuma yake — akionekana mnyonge, uso wake umechoka, kana kwamba muda umemkalia 😶.

Yeye; “Amoro, najua nimeharibu sana,”
Kevin akaanza. “Nilitoroka kwa woga, lakini sijawahi kupendãnã yeyote k**a Nadia…”

Nilihisi moyo unaniungua ndani Na hãsirã💔.
Lakini Nadia aligeuka akamwangalia Kevin kwa macho yaliyobeba huzuni na maamuzi Kwa Moyo wake.
Nadia ;“Kevin… nilijaribu kusamehe, lakini moyo haukubali. Na sasa nimegundua kitu — mapenzi si kuhusu nani ulianza naye, bali nani hakukuwacha wakati ulimwengu wote ulikukimbia.” 😢

Alinigeukia — macho yake yakining’aria chini ya taa ya mvua.
“Amoro… wewe hukukimbia.”nak

🇰🇪 Happy Mashujaa Day! 🌧️❤️Wengine mashujaa wetu hawavai uniform…Ni wale wali tubeba wazazi wetu  , wakitabasamu ilhali ...
20/10/2025

🇰🇪 Happy Mashujaa Day! 🌧️❤️
Wengine mashujaa wetu hawavai uniform…
Ni wale wali tubeba wazazi wetu , wakitabasamu ilhali ndani walipigana vita wasituonyeshe 😔💭
Wale walitushika mkono tukiwa tunavunjika, wakaona thamani yetu hata tulipojiona hatufai 💔

Leo si kuhusu majina kwenye vitabu,
ni kuhusu wale waliokoa roho zetu hakika.

Tag huyo mtu —mimi hapa Shujaa wangu ni babangu iwapo umesoma Na Kuna huyu hapa ndiye shujaa wangu,,, Tag shujaa wako mwambie “wewe ndiye shujaa wangu wa kweli.” 🙏🇰🇪

Mpee 200likes Na reaction story ya Nadia itaendelea, iwapo umesoma hii post isipite bila likes

🔥💥 Vanessa – Part 21 (finale) 💥“Ukweli hauhitaji kurudiwa – unapoishi ndani ya watu, unakuwa sauti ya milele.”Siku mbili...
19/10/2025

🔥💥 Vanessa – Part 21 (finale) 💥
“Ukweli hauhitaji kurudiwa – unapoishi ndani ya watu, unakuwa sauti ya milele.”

Siku mbili baada ya ile note ya Vanessa, mtaa ulikuwa kimya ajabu. 🌃
Hakukuwa na milio ya bastola, wala kelele za magari ya kufuatilia watu. Ila ndani ya ukimya huo, kulikuwa na mabadiliko.
Watu hawakuwa wale wale. Walitembea wima, wakizungumza kwa ujasiri. Tulijua — clip moja ilibadilisha kizazi kizima.

Nilikuwa nimekaa kwenye benchi nje ya kanisa lililokuwa limechomeka nusu, nikiwa na Denno na Lewamo.

> “Mtaa umejua kusema,” Denno akasema, akitazama anga.
“Lakini system bado ipo,” Lewamo akaongeza.
Nikawatazama, nikatabasamu.
“System haifi kwa risasi, inakufa kwa kumbukumbu. Na hiyo tayari tumeiandika.”
Mchana wa leo, taarifa zilienea mitaani kuwa Evans amejitoa hadharani.
Alikubali yote – video, mikataba, na rushwa. Alisema hakukuwa na system tena, bali watu walioogopa kuishi bila uongo.
Kwa mara ya kwanza, nilihisi hewa ya mji ikibeba uzito wa ukweli.

Usiku ule, Vanessa alitokea kimya kimya kwenye base. Hakuwa amevaa glam wala make-up – alikuwa yeye, yule mwanamke wa kweli, macho yake yakiwaka k**a moto wa matumaini.
Aliniangalia, akasema:

> “Tuliianza hii vita tukiwa wawili. Leo, tuna mtaa mzima nyuma yetu.”

Nilihisi pumzi yangu ikipungua, lakini moyo ukijaa.

> “Na kesho?” nikamuuliza.
“Kesho hatupigani tena. Tunajenga.”

Saa nne usiku, tulipanda kwenye paa. Tukiangalia taa za mji zikimetameta, tukijua hatutakuwa majina kwenye headlines, bali roho kwenye historia.

> “Amoro,” Vanessa akanong’ona, “ukweli ukifika kwa watu, hauna mmiliki tena. Unakuwa wao.”
Nikageuka nikamwangalia.
“Na huo ndo ushindi halisi.”

🌧️ MWISHO – VANESSA 🌧️
Kwa kila aliyechagua kusema, hata alipokuwa anaogopa. Kwa kila aliyeamka, hata akiwa amechoka. Kwa kila aliyeamini – kwamba system inaweza kuvunjwa, si kwa nguvu, bali kwa ukweli.

The End--

🔥 Vanessa – Part 20 🔥“Ukishaipasua system, si mwisho wa vita – ni mwanzo wa kuwa target.”Siku tatu zimepita tangu clip i...
19/10/2025

🔥 Vanessa – Part 20 🔥
“Ukishaipasua system, si mwisho wa vita – ni mwanzo wa kuwa target.”

Siku tatu zimepita tangu clip ishuke. Mtaa umebadilika. Vichochoro vimejaa maneno mapya – watu wanazungumza kwa sauti, si kwa visirani. Waliokuwa wananyamaza sasa wanauliza. Waliokuwa wanapiga magoti kwa system, sasa wanaisimanga. Lakini ukweli ukishatoka, hauachi majeraha.

Mimi, Amoro, sijalala ndani tangu usiku ule. Vanessa alitoroshwa na watu wetu kwenda upande wa pili wa jiji – not because she's weak, but because she's valuable now. Lewamo na Yobra? Wako chini ya rada, wakifuatilia minong’ono mitaani – maana clip ilivunja system, lakini haikuizika.

Asubuhi moja, nikiwa najificha kwa base ya ghetto kwa rafiki yetu Denno, mlango ulipigwa kwa nguvu. Nilijua instantly — hawajaja kunihoji, wamekuja kuni-stamp. Nikaweka simu kwa kibati cha maji, flash moja ya backup ndani ya kiatu, na nikapiga hatua ya mwisho k**a mwanamume.

Walikuwa watatu – black boots, black hoodies. Walinichukua kimya. Nikaambiwa, “Uko needed juu.” Bila resistance, niliingia gari. Safari ilikua kimya, lakini kichwa kilikua na kelele – nani bado yuko ndani ya system? Na je, walikuwa wakinipiga round ya mwisho au kunihusisha kwa mpango mpya?

Nilifikishwa kwenye ghorofa moja kubwa, na mlango wa chuma ulifunguliwa. Ndani? Evans. Hai. Ila si yule Evans wa part 1. Huyu alikuwa broken, macho mekundu, beard haijashughulikiwa. Aliniangalia bila tabasamu.

> “Unafikiria ulishinda?” akasema kwa sauti ya mtu aliyechoka.
“Ulishinda headlines, Amoro. Lakini system haifi kwa link moja.”

Nilimjibu kwa sauti ya utulivu:

> “System yenu si ngome, ni mzoga. Mliishi kwa siri, sisi tutaishi kwa sauti.”

Evans alicheka, lakini macho yake yalilia.

> “Kuna wengine nyuma yangu. Ukiendelea hivi… hawatakuja kukuuliza. Watakuja kukumaliza.”

---

Siku hiyo usiku, Vanessa alinitumia note fupi:

> “Mtaa umeamka. Na kwa mara ya kwanza, wanaogopa sisi. Sio kwa sababu tuna silaha, bali kwa sababu tuna sauti.”

🔥 TO BE CONTINUED...? 🔥
Mnipee 200likes niendelee hi story na reaction pia

🔥💔🌧️🏙️👉Siri zikikaa gizani, huwa zinamea mizizi. Na mizizi ikikomaa — huvunja kila amani.” 💭Usiku ule haukupita kawaida ...
18/10/2025

🔥💔🌧️🏙️👉Siri zikikaa gizani, huwa zinamea mizizi. Na mizizi ikikomaa — huvunja kila amani.” 💭
Usiku ule haukupita kawaida 😔.
Nilikaa macho hadi alfajiri, nikingoja sauti yoyote nje — lakini kilichosikika ni sauti ya mvua tu, ikicheza kwenye mabati k**a muziki wa huzuni ☔.
Nadia aliponiamkia, macho yake yalikuwa mekundu 😢.
Nilijua hakuwa amelala.

“Nadia,” nikaanza kwa sauti ya chini, “niambie ukweli… huyu Kevin ni nani kwako sasa?”

Alinyamaza kwa muda mrefu.
Kisha akasema kwa sauti dhaifu, “Amoro… kuna kitu sikuwahi kukuambia.” 😔
Nilihisi pumzi yangu ikiganda.
Alinyanyuka, akaenda kwa droo, akatoa bahasha ya zamani yenye picha na karatasi chache 📄.
Akanipa.

Nilipoifungua, niliona picha mbili — Nadia akiwa amekumbatiwa na Kevin, wakiwa kwenye maternity shoot 🤰💔.
Nilishtuka.
“Kulikuwa na mtoto?” nilinong’ona.

Alitikisa kichwa taratibu 😢.
“Nilimkosa. Nilipata mimba kabla hatujaachana. Nilimwambia Kevin, lakini akatoweka. Nilidhani amesahau, hadi aliponipigia ile siku...”

Nilihisi dunia ikinisonga.
Nilitazama Nadia — machozi yakitiririka usoni mwake k**a mvua nje.Siku tatu zilipita kimya.
Tulikaa nyumba moja lakini mioyo miwili tofauti 💔.
Nilijaribu kuelewa, lakini picha ya Nadia na Kevin haikuondoka kichwani.

Kisha, siku ya nne, niliamka asubuhi na nikapata karatasi mezani:

> “Amoro, nenda kazini leo bila mimi. Kuna kitu nataka kumaliza mwenyewe.”
Nilijaribu kumpigia — simu ikawa off 📵.

Jioni, nilirudi home haraka.
Hakukuwa na mtu.
Niliona tu bahasha ndogo mezani na harufu ya perfume yake hewani 😔.
Nilipoifungua, kulikuwa na message moja ndani:

> “Usiogope nikikosa kwa muda. Nimeenda kumaliza historia yangu na Kevin. Nitarudi — ama sitarudi.” 💔
Nilishika bahasha kwa mikono ikitetemeka 😢.
Mvua ikaanza tena, kwa nguvu kuliko jana ☔💨.
Nikachukua koti langu, nikatoka nje — nikajua safari hii, lazima nimfuate.

Nilijua mwisho hauko mbali.
Na k**a kuna mvua ya kumbukumbu, basi hii ndiyo itakayefuta ama kutuunganisha moja kwa moja. 🌧️💔
Nadia-part 5

Part 6 Loading... 🔥😭

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amoro Japheth posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share