AYANA Updates

AYANA Updates AYANA 󱢏

30/10/2025

AYANA CITIZEN TV FRIDAY 31ST OCTOBER - FULL EPISODES

30/10/2025

Team AYANA, ndio nimepata part one sahii, wacha niunganishe then I will upload, give me 10 mins

29/10/2025

AYANA CITIZEN TV THURSDAY 30TH OCTOBER - FULL EPISODES

29/10/2025

Unaenda kutembea Kwa wenyewe, unakuta Tv📺 kubwaa na kwenyu hamna🫢 then unaambiwa chukua hiyo remote uongeze sauti Juu kiasi🤪 Juu hautaki kuonekana mshamba😁 unachukua remote unaguess ukiomba mungu🙏 then boom🔥unafinya kitu Tv 📺 inazima😳 na kumejaa wageni, hiyo ndiyo tunaita aibu ama🙄🙄🤔🤔

28/10/2025

AYANA CITIZEN TV WEDNESDAY 29TH OCTOBER - FULL EPISODES

28/10/2025

Si mnajua deski wangu Otoyo🥰.Sasa leo wakati teacher hakuwa kwa class nilikuwa nimeenda toilet kurudi kuenda kukaa Otoyo akavuruta kiti yangu nikaanguka vibaya sana k**a mkisii mlevi😌nikaamka nikasema hii lazima nitarevenge in style 😅sasa time ya Agriculture wakati Teacher alikuwa anafunza,Otoyo alikuwa analala fofofo mbaya sana, hata K**a ni wewe haungefurahia😂Kumbe Teacher alimwona 🙆sasa akaamua kumshtua na swali😁akamuuliza: 'Otoyo,tell us an example of cow's breed 🐄." Sasa juu Otoyo hakuwa amesikia juu ya ile usingizi alikuwa analala k**a marehemu maskini😂😂😂sasa me k**a rafiki mzuri nikaambia Otoyo polepole kwa maskio " Teacher anauliza eti anaitwa nani?" Otoyo akashout "Mr. K**au"😂😂 Ndio teacher akakuja akambeba juu juu kwa mabega🤭wakatoka moja kwa moja,bamba tubamba,sako kwa tako hadi kwa ofisi ya Depa. Sielewi sana nini inaendelea huko but nimeona kuna Form one ametumwa viboko akabebea kwa wheelbarrow akipeleka 😹😹😹Tangu saa nne bado tu Otoyo hajarudi. Akikam nitawaambia🥴

27/10/2025

Kumbe kusota ni mbaya hivi🙄 mwingine nimemuuliza Ni saa ngapi 🕰️ akaniuliza K**a nataka kuwika 🙄 nikamwambia apana ni vile sitaki masaa ya kutaga ipite nikatage 🙄😂💔.

26/10/2025

Whites: We are drunk let's go home

Kenyans: twendeni club ingine😂😂😂

25/10/2025

Niliacha kuishi plot za mabati siku fulani yenye jirani yangu alikuwa anapika chapoo na stew ya kuku 😋.nikaamua nichungulie kwa kashimo kanakuanga kwa mabati ndiyo angalau nikule kwa macho.....lakini kufika kwa kale kashimo tulipatana macho kwa Macho na yule jirani yangu .....kumbe hata yeye Huonea news kwa tv yangu kupitia hako kashimo🙆💔 ilibidi tuangaliane na kucheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

24/10/2025

Sai nimeenda kwa duka nikapata mwenye duka ananyonga panya🐭,, nikamuuliza Nini mbaya🤔,,,,, akaniambia huyu mjinga amenikosea sana😠,, nikamuuliza ki aje🤔 ,,akanijibu hapa kwa duka Kuna peremende,, biscuit,,, na vitu zingine but uyu panya ameona tu ale kitabu changu Cha madeni😠,,, nimenyamaza tu nikatoka pole pole🚶,, juu pia Mimi niko kwa hyo list📃😊🏃‍♂️

23/10/2025

Ushawahi kula mapera, ikafika majioni, ukakazwa kuenda choo?🤔🤔unatembeanga taratibu ukifika kwa choo, kuinama ni polepole ukiwa na respect sana😂😂...push 1 inakataa, push 2 inakataa, push 3 bado...unatokwa na jasho, mizizi inajichora mpaka kwa ulimi😂😂unasimama unatembelea vidole😅unavunja kijiti unarudi ndani
😂😂😂Unajaribu kusokota, wapi!😂Unajaribu aiiii bado!😂😅Unaanza kuirudisha ndani sahio ume sweat mpaka fungriompities imekuwa moto😂😂😂Unaileta kadogo kadogo, unapush polepole😡🫤😞😅woioiiiii mtoto wa mama unabahatika msukumo inaanguka Mbuuuuuuum mpaka mtetemeko wa ardhi inatokea😂😂😂unapumzika karibu 16 mins ukiwa kwa choo tu, macho imekuwa nyekundu🥵 mizizi kila mahali!!😂Unatoka ndani ukiwa unafeel president, unatembea nk**a umejenga magorofa aina mingi😂😂unaanza kuimba wimbo k**a vile, '' mi amor, te amooooo......
😂😂😂

Huwezi niambia ww ni ninja na hujafanya hii,, bure kabisa😂😊😊

22/10/2025

Kelvin ni mtoto mdogo na aliona baba na mama yake wakishiriki mechi🍆🍎💦 akauliza " Dad ni nini unafanya juu ya mom?" Babake akamjibu nampiga mama yako🤣🤣🤣Kelvin after kufikiriia akauliza mama yake 🤔🤔 "mom, kwani ni makosa gani umefanya leo ikabidi upigwe na wanaume wanne siku moja? Juu ulianza na Martin yule wa boda,,😒😒 Charles yule wa kuuza malimali😒😒 Bernard wa kuuza mitura😒😒na Dad sasa anakupiga"🤔🤔🤔

Currently as we're talking😅Kelvin anaishi na nyanya yake😂😂🤣 baba yake ako kwa cell akingoja kufunguliwa mashtaka🤣🤣😂 naye mama yake atazikwa next week😂😂😂🤣🤣

Address

Nairobi West

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AYANA Updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share