RADIO SAUTI KENYA

RADIO SAUTI KENYA The feture is bright

 Rais Ruto, akiandamana na Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdullswamad Sherrif Nassir, alihutubia Wakenya katika mji wa Mom...
25/07/2024


Rais Ruto, akiandamana na Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdullswamad Sherrif Nassir, alihutubia Wakenya katika mji wa Mombasa na eneo la Changamwe.
Ruto amewaomba wakaazi wa kaunti hiyo kumruhusu kufanya kazi na Hassan Joho ambaye alimteua kuwa waziri wa madini, ameahidi kupiga jeki wavuvi ili kuinua sekta hiyo.

Kiongozi wa mashtaka kwenye Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita  ICC ,  Karim Khan , anaomba ushahidi kutumwa kwe...
12/06/2024

Kiongozi wa mashtaka kwenye Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC , Karim Khan , anaomba ushahidi kutumwa kwenye Ofisi yake kuhusu visa vya uhalifu dhidi ya binadamu unaoendelea kwenye eneo la Magharibi la DARFUR , kufuatia mashambulio yanayoendelea kutekelezwa na wapiganaji wa RSF kwenye mji wa ElFasher

Tangu mwezi Mei tarehe 10, mji wa ElFasher umeshuhudia vifo vya watu karibu 200 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 1200 kwa mujibu wa Shirika la Madaktari wasiokuwa na mipaka MSF.

Eid Mubarak!Siku kuu ya Eid-ul-Adha inanukia, huku shamra shamra za maandalizi ya kuchinja kwa ajili ya siku kuu hii zik...
12/06/2024

Eid Mubarak!
Siku kuu ya Eid-ul-Adha inanukia, huku shamra shamra za maandalizi ya kuchinja kwa ajili ya siku kuu hii zikiendelea. na SAUTI KENYA inakupa nafasi mahsusi shabiki wetu kutuma salamu za kheri njema kuadhimisha siku hii ya furaha. Enhee! salamu zako Eid-ul-Adha zimuendee nani?
Unaweza pia kutuandikia nambari yako ya simu tutakupigia uzipeperushe moja kwa moja📞 📻

  Mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Kenya na Umoja wa Ulaya (EPA) unatazamiwa kuanza kufanya kazi wakati wowote...
02/06/2024

Mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Kenya na Umoja wa Ulaya (EPA) unatazamiwa kuanza kufanya kazi wakati wowote kutokea sasa baada ya baraza la Jumuiya hiyo kupitisha na kuhitimisha mchakato wa maridhiano.

Mkataba huo utaiwezesha Kenya kuuza bidhaa zozote isipokuwa silaha kwenye soko la Ulaya bila vikwazo na bila kulipishwa kodi. Kwa upande mwengine, Ulaya nayo itapata soko jipya nchini Kenya litakalofunguliwa kwa awamu.

Umoja wa Ulaya na Kenya zilitiliana saini mkataba huo wa ushirikiano Desemba mwaka uliopita. Mwaka 2021, Jumuiya ya Afrika Mashariki chini ya uenyekiti wa Kenya, iliridhia kwamba kila nchi mwanachama itekeleze kivyake mkataba huo wa ushirikiano wa uchumi na Umoja wa Ulaya.

 : Mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 32 za muungano wa kijeshi wa NATO wanakutana mjini Prague, nchini Jamuhuri ya Cz...
02/06/2024

: Mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 32 za muungano wa kijeshi wa NATO wanakutana mjini Prague, nchini Jamuhuri ya Czech kujadili jinsi watakavyoratibu misaada ya kijeshi kwa Ukraine.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken, alipokutana na mwenzake wa Czech kabla ya kuanza mkutano huo amesema Jumuiya ya NATO iliyoungana ina uwezo mkubwa wa kuzuia uchokozi, wa aina yoyote.

Meli moja ya mizigo imeligonga daraja kubwa kabisa lililoko Baltimore nchini Marekani mapema leo na kusababisha daraja h...
26/03/2024

Meli moja ya mizigo imeligonga daraja kubwa kabisa lililoko Baltimore nchini Marekani mapema leo na kusababisha daraja hilo kubwa kabisa kuangukia kwenye maji.

Baadhi ya magari yaliyokuwa yakipita kwenye daraja hilo la Francis Scott Key Bridge pia yalitumbukia majini na vikosi vya uokoaji vimeendelea kuwatafuta manusura, baada ya kuwaokoa watu wawili hadi sasa.

Mamlaka bado zinaangazia sababu za ajali hiyo kwenye daraja hilo.
Wasiliana Nasi 0712686894

Mgombea wa urais wa upinzani nchini Senegal Bassirou Diomaye Faye, ambaye ameshinda uchaguzi wa rais ameahidi kutawala k...
26/03/2024

Mgombea wa urais wa upinzani nchini Senegal Bassirou Diomaye Faye, ambaye ameshinda uchaguzi wa rais ameahidi kutawala kwa unyenyekevu na uwazi.

Faye, anayetarajiwa kuwa rais ajaye baada ya mpinzani wake mkuu kumpigia simu na kukiri kushindwa, amemshukuru Rais Macky Sall na wagombea wengine kwa kuheshimu utamaduni wa demokrasia wa Senegal kwa kutambua ushindi wake mapema kabisa kabla ya matokeo rasmi kutolewa.

Katika hotuba yake ya kwanza baada ya uchaguzi, Faye amewaambia waandishi habari kuwa katika kumchagua yeye, watu wa Senegal wameamua kuwachana na yaliyopita.

Tume ya uchaguzi imesema matokeo ya awali yalionyesha Faye akiwa na karibu asilimia 53.7 ya kura na Amadou Ba akiwa na asilimia 36.2 kwa kuzingatia hesabu kutoka asilimia 90 ya vituo vya kupigia kura katika duru ya kwanza ya uchaguzi. Ba na Sall wote walimpongeza Faye, ambaye jana alisherehekea miaka 44 ya kuzaliwa kwake.

Wasiliana nasi 0712686894

Hivi karibuni, ndoa na mahusiano mengi ya kimapenzi hasa ya vijana zinavunjika katika kiwango cha kutisha katika nchi za...
26/03/2024

Hivi karibuni, ndoa na mahusiano mengi ya kimapenzi hasa ya vijana zinavunjika katika kiwango cha kutisha katika nchi za Afrika Mashariki.

Licha ya ndoa kutajwa kuwa muhimu miongoni mwa jamii nyingi za Afrika, zinaonekana kuyumba ama wakati mwengine wapenzi kutengana kabisa.

Je, ndoa au mahusiano ya kimapenzi yamepoteza mvuto miongoni mwa vijana?

Zipi sababu za mahusiano kutodumu nyakati hizi tofauti na wazee wetu? Tujadiliane kwenye Kurunzi la mapenzi Live.
Wasiliana nasi 0712686894


01/02/2024

Testing news 5:00

Arsenal have discussed a loan move for 36-Year Old Frenchman and former Real Madrid star, Karim Benzema and are consider...
18/01/2024

Arsenal have discussed a loan move for 36-Year Old Frenchman and former Real Madrid star, Karim Benzema and are considering a move for the striker.

TAG A JOURNALIST FRIENDSRADIO SAUTI KENYA is giving the opportunity any youth who is volunteer working With us.Under   P...
18/01/2024

TAG A JOURNALIST FRIENDS

RADIO SAUTI KENYA is giving the opportunity any youth who is volunteer working With us.Under Production
*Our broadcasting it will be done whenever you're
*We give any person from different tribe to join us as we weit for the launch of the production
*Our Technical bench leading by Dipay Mark are trying there best to open the Radio through zeno App

We are invited you all to join the grew

You can conduct us via WhatsApp
0712686894

From CEO

Dorries

18/01/2024

COMING BACK SOON✍️WHAT IS THAT

Address

Dagorreti
Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RADIO SAUTI KENYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category